Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Polisi wanawashikilia Watoto Wawili wa Mwigizaji John Okafor, maarufu kama #MrIbu, kwa madai ya kuiba Tsh. 153,609,096, fedha za Michango ya matibabu yake na kujaribu kutorokea Nchini Uingereza...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Msanii Harmonize amepost video inayomuonyesha akifanya jambo ambalo sio la kawaida kwa walio wengi. ANGALIA VIDEO HAPA Je, wewe unaweza kukunja nguo za mpenzi wako na kuzipost mtandaoni...
2 Reactions
31 Replies
2K Views
Nimeona video ya dokii YouTube alipelekwa na mzee Mengi hadi south Afrika kusomeshwa akapewa na u$d 8500 (tshs million 17) ya ada na matumizi achilia $2000(tshs milioni 4) au $4000(tshs milioni 8)...
70 Reactions
389 Replies
44K Views
Jamani wana Darisalaamu huyu mwamba wa Misungwi Dudubaya Aka Konki3 master mwanaharakati wa Instagram mnamuonaga huko? Ni takriban miaka 2 huyu mwamba hajapost chochote huko Mitandaoni wafuasi...
4 Reactions
30 Replies
4K Views
Msanii anaefanya vizuri kwenye kiwanda cha BongoFleva Whozu, amesema kuwa endapo kama ataachwa na mpenzi wake Wema Sepetu basi atajiua kwa kujitosa baharini. Akifanya mahojiano na East Africa...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Free that man from house Arrest. Grave Digger Mountain
1 Reactions
3 Replies
477 Views
nilikuwa namchukulia poa misso misondo wakati anatrend mwanzoni. ila nimegundua sio mtu poa huyu kijana. kila siku anabuni biti mpya na unakuta kali kuliko ile ya zamani. ushauri wangu kwake...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Msanii kutoka kambi ya wakimbizi nyarugusi Founder Tz . Nilikuwa naomba Jamii tumtazame kwa jicho la tatu anakitu cha ziada. Amefanikiwa kutoa Hints songs Kali ya kwanza iliitwa nitatokaje na...
1 Reactions
3 Replies
463 Views
Msanii anaefanya vizuri kwenye mziki wa Amapiano nchini Chino Kidd, amelalamika kukosa ushirikiano toka kwa wasanii wenzake kwenye Tamasha lake la Wanaman Experience. Kupitia ukurasa wake wa...
3 Reactions
30 Replies
3K Views
Nadhani watu wengi wanajua kwamba wimbo wa Forever Young, Jigga alimaanisha kwamba hazeeki, still ana muonekano wa ujana. Yes hii ndio maana inayojulikana na wengi sana huko mtaani, hebu tusome...
29 Reactions
63 Replies
9K Views
Kama tunavyofahamu, Vanessa na mchumba wake Rotimi wamefanikiwa kupata watoto wawili, wa kiume Seven na wa kike Imani. Kwa kitambo, Vanessa na mwenzi wake hawakuwahi kuwaonesha watoto wao katika...
20 Reactions
142 Replies
12K Views
Star wa Africa Diamond Platnumz aendelea kuonyesha ubabe na ufalme kwenye muziki wa bongo fleva. Na hili limeendelea kuthibitishwa na wimbo wake mpya wa "Mapoz" kutokana na streams lakini pia...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Kama wewe ni shabiki wa Chid Benz na umekuwa ukifuatilia mahojiano yake utagundua kuwa hayupo sawa. Chid Benz amekuwa na Interviews nyingi ambazo zimekuwa zikitumiwa kama kichekesho kwa baadhi ya...
2 Reactions
7 Replies
856 Views
Huu ni ukweli wakuu hii ni nyimbo ambayo hata ukiiskia tu hisia za kulia inakujia hii nyimbo ni nyimbo ambayo haitowahi kutokea kwenye muziki wa bongo flava 🙌🥲 hakuna na haitowahi kutokea nyimbo...
19 Reactions
116 Replies
5K Views
Aliewahi kuwa Mke wa Kaka wa msanii Diamond Platnumz mwanadada Malaika, ameongeza ukubwa wa Lips zake. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Malaika amepost video inayomuonyesha akiwa na Lips nene...
1 Reactions
37 Replies
2K Views
Mnaofahamu naomba mnijuze tafadhali! Walipatana hao watu kwenye hicho kibao si mchezo. Pia ni nani alikuwa analizimua lile goma pale mwishoni walipoanza kuimba kwa kimakonde? R.I.P Tongolanga...
1 Reactions
20 Replies
883 Views
Actor Barkhad Abdi only received $65,000 for his award - winning supporting role in the film captain Phillips. After production he returned to selling mobile phones in his brother's shop.
5 Reactions
22 Replies
1K Views
Nyota ya Kikundi cha Burudani Misso Misondo inaendelea kung'aa kimataifa baada ya kupostiwa na Msanii mkubwa wa nchini Marekani Chris Brown. Hii ni hatua kubwa kwao kama kikundi cha Burudani...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Angalia hapa jinsi Dj Ally anavyotamba na Mandinga yake. Anakwambia tafuta hela ili uwe na machaguzi mengi.
5 Reactions
85 Replies
5K Views
Haji Manara amejibu swali la wadau wengi walioliza kuhusu kufanyika kwa sherehe ya ndoa yake aliyofunga na Mrembo Zailyssa. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Manara amesema, "Naulizwa sana...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Back
Top Bottom