Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mcheza filamu wa Marekani Lena THE PLUG (miaka 32) ambae ameolewa na mcheza filamu mwenzie ADAMS(miaka 39) amefunguka kua kuhusu suala la sex kwa Sasa haenjoy sana na mumewe Kama zamani maana...
3 Reactions
62 Replies
6K Views
Wakuu pamoja na kupenda siasa za CCM ila pia mimi ni mnazi mkubwa wa muziki wa Hiphop. Tangu utotoni nimekua nikipenda Hiphop. Nimekuwa nikisikiliza nyimbo za GWM, Mr II, Dollar Soul, JCB &...
5 Reactions
56 Replies
5K Views
Young killer msodoki mwana hip hop asiye na swaga kabisa. Siku ya tarehe 2/12/2023 Ali achia album yake inayo kwenda kwa jina la too much amazing, yenye mikwaju 14. Nikaamua kujipa muda ili ni...
7 Reactions
52 Replies
3K Views
Lavelle Crawford ni stand up comedian and actor kutoka nchini Marekani. One thing I like about this guy is that tangu aanze kufanya stand up comedian kwa zaidi ya miaka 20 sasa kila akipanda...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
"Single Again" by Harmonize is a popular Afro-pop song that has taken the music world by storm. The song, which is produced by Dj Tarico and released under DK Company Ltd, is accompanied by an...
9 Reactions
22 Replies
4K Views
Msanii wa muziki Barakah Da Prince aliyewahi kutamba na nyimbo kama Siachani nawe, Siwezi na Sometimes, jana ameondoka kwa gadhabu kwenye interview ambayo aliifanya na MJINI TV. Interview hiyo ni...
11 Reactions
68 Replies
7K Views
Huyu kijana alisoma azania bwana
11 Reactions
122 Replies
10K Views
Aliyekuwa Katibu wa Uenezi CCM jijini DSM Komredi Haji Manara amesema yeye ni mtu makini, anayeheshimika na jamii na mwenye utu Manara amesema " Haji wa Social media na Haji Real ni Watu Wawili...
4 Reactions
30 Replies
3K Views
Nadhani Mwaka 2023 ndio tumeshuhudia vifo vya watu wengi mashuhuri. Iwe kwenye michezo, siasa na Sasa kwenye anga ya biashara. Ambapo siku ya Jana kulitokea kifo Cha mfanyabiashara mashuhuri...
7 Reactions
99 Replies
6K Views
Kwa wale wafuatiliaji wa Series maarufu ya THE 100 mtakuwa mnamfahamu yule muigizaji aliyejizolea umaarufu na kujulikana kwenye series hiyo kama the red queen akiigiza kwa jina la Octavia Blake...
3 Reactions
42 Replies
6K Views
Diamond amenza kufulia kimuziki. Anatengeneza kiki za kijinga. Jana ameibiwa Kofia Lengo ili atrend mtandaoni. Bado anachakujifunza kutoka kwa wakina Davido ,Rema
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu natumaini mko poa. Nawasalimu katika jina la CCM. Mimi nikiwa kama mdau wa elimu nimefurahishwa sana na nilichokiona leo mtandaoni. Nimeona matokeo ya mitihani ya kidato cha nne ya...
22 Reactions
124 Replies
9K Views
Kaahh..hata kama ni talaka ruhusa kidini ila Haji ni too much ...mweeee... Story za mitandaoni Haji na kashampiga talaka Tatu bi Ruby aka mama Ghalib talaka taaatu shwaaa....bila marudio ka eda...
25 Reactions
89 Replies
9K Views
P. Diddy amekumbwa na kesi nyingine ya unyanyasaji wa kingono. Nguli huyo ameshtakiwa katika Mahakama Kuu ya Manhattan akidaiwa kumnyanyasa kingono mwanamke ambaye alimnywesha dawa za kulevya...
5 Reactions
125 Replies
11K Views
SANAMU YA LWAMBO YAZINDULIWA JIJINI KINSHASA Miaka 26 baada ya kifo chake mwanamuzi nguli wa Kongo Franco Luambo Makiadi, sanamu yake imezinduliwa usiku wa kuamkia leo jijini Kinshasa kwa...
9 Reactions
23 Replies
2K Views
Huyu dada Marilyn Monroe alikuwa na nguvu isiyo ya kawaida. John F. Kennedy akiwa Rais wa Marekani huku mdogo wake Robert F. Kennedy akiwa mwanasheria mkuu wa serikali walijikuta wote wakiangukia...
5 Reactions
88 Replies
6K Views
Kwa mawazo yangu nafikiri ana depression, ana tatizo kubwa la akili.. Kwa yaliyompata yeye na mwenzake Amberlulu, sikutarajia kama atajisifia kwamba ni muuzaji wa mwili.. Hivi karibuni pamekuapo...
43 Reactions
619 Replies
51K Views
Mtangazaji mahiri Salim Kikeke ambaye mwezi April 2023 alitangaza rasmi kuacha kazi kwenye Shirika la Utangazaji la BBC, ameamua kurejea nyumbani Nchini Tanzania baada ya kuishi Uingereza kwa...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Kwa habari za chini ya kapeti ni kwamba mmakonde na Sarah wamwagana ila mmakonde anaona aibu kukiri waziwazi kwa kuhofia kuchekwa na watu. Kwa kifupi mmakonde bila Sarah si lolote wala si...
2 Reactions
64 Replies
9K Views
Back
Top Bottom