Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Naappreciate sana juhudi za Diamond katika kuunyanyua muziki wa Tanzania kwa kuibua vipaji vipya kama Harmonize, Raymond na watakaofuata kama wapo. Ni dhahiri kuwa kwa hili la kusimamia vijana...
31 Reactions
74 Replies
14K Views
Kijana huyu nilidhani atafika mbali lakini kwa sasa naamini kazi anazofanya ni zile za kutegemea wanasiasa walipe. Changamoto ya kazi hizi ni kwamba unafanya kazi kubwa ujira kidogo na wakati...
5 Reactions
9 Replies
1K Views
MUUZA nyago asiyeishiwa vituko Gigy Money amefunguka kuwa jina lake limekaa kipesapesa ingawa yeye mwenyewe maisha yake kutwa kucha ni kuwatumia wanaume (udangaji) ndiko kunamweka zaidi mjini...
7 Reactions
116 Replies
59K Views
MegaPyne
Wimbo wa Mugambo wanaruka na kukanyagana wa mwanamuziki machachari Juma Kassim Kiroboto Ali a.k.a Sir Nature ummemtoa kimasomaso baada ya kufanikiwa kitwaa tuzo ya wimbo bora wa afrika Mashariki...
1 Reactions
16 Replies
9K Views
Huyu alikuwa anatangaza na Millad Ayo kule Clouds radio kipindi cha amplifier kwani alihama? Nashangaa namuona huku Star search yupo na kina Salama Jabir.
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Mada inajieleza, Kuna watu waliwahi kukonga mioyo ya watu na baadae historia zao na zikapotea bila kujua ni wapi walipo mimi naanza na hawa jamaa. 1. PIERE LIQUID, mlevi maalufu aliejipatia...
2 Reactions
49 Replies
4K Views
Mwanamuziki, Lameck Ditto amewasilisha vielelezo tisa wakati akitoa ushahidi katika kesi ya madai dhidi kampuni ya Multichoice Tanzania Limited, akiituhumu kutumia wimbo wake bila ridhaa yake...
16 Reactions
66 Replies
8K Views
Bwana Yesu Asifiwe jamani nampendaga sana Mtumishi wa Mungu Christopher Mwakasege kwanza hana Scandals ,Pili anampenda Mungu kikweli kweli tatu hana mafundisho ya uongo nne hajawahi kuchuja tangu...
38 Reactions
92 Replies
18K Views
Mwenye kujua marital status yake anieleze kaolewa ama pia kama kuna yeyote ana namba yake nombeni wadau am serious about this . Au akipitia huu uzi anitafute kwa hii no 0628926348
3 Reactions
109 Replies
27K Views
Huyu mtangazaji ana sauti nzuri sana, nadhani wale wasikilizaji wa xxl ya clouds fm watakuwa wanajua. Sasa nikasema ngoja nimtafute insta nimuone alivyo, nikasema mbona haendani na sauti nzuri...
12 Reactions
186 Replies
37K Views
Inadaiwa Msanii Harmonize na team yake ya Konde Gang walienda VVIP kwa ajili ya kushuhudia mchezo wa Tanzania dhidi ya Morocco kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026, wakati wa mapumziko, jana Usiku...
5 Reactions
55 Replies
5K Views
Mwanasheria machachari na kipenzi cha wasanii wengi Albert Msando ambaye mara nyingi hujitokeza kuwatetea kwenye masuala ya kisheria, amefunguka kuhusu kuwa karibu na Gigy Money na Amber Lulu...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Sina hakika kama imeshaletwa huku au laa, ila mimi ndio nimeiona leo. Nikaona niilete hapa ili mwenye kuweza kusaidia matubabu ya mwigizaji Carina asaidie. Pengine hata tukimega pesa kidogo toka...
13 Reactions
55 Replies
9K Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu), William Lukuvi, akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro, Elias Wawalali na Rose Nyerere (katikati) baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndega wa...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Huyu Gigy Sijui alirogwa au kajiroga mwenyewe kila anapogusa ni nuksi tu, show ya watu huko imehairishwa tena chanzo kikiwa ni yeye mwenyewe, Sijui linajikutaga nani, Yan linaudhi, kila sehemu...
4 Reactions
29 Replies
6K Views
Katika kipindi cha miaka ya 80 na miaka ya 90, ngoma za dance hall, Rock na mitindo mbali mbali ndiyo ilikuwa inabamba sana, sio sasa kama ilivyo amapiano, Bongo flavor, hip hop na afro beats...
20 Reactions
48 Replies
3K Views
Naona Manara anataka kujikaanga kwa mafuta yake mwenyewe, kama alipigwa tukio na rushayna mpaka akazimia basi hapa kwa Zai ategemee maumivu mara mbili yake. Zai anajulikana ni mwanamke mapepe...
24 Reactions
86 Replies
9K Views
1. Diamond Platnumz 2. Alikiba 3. Harmonize 4. Rayvanny 5. Marioo 6. Mbosso 7. Lavalava 8. Whozu 9. Billnas 10. Jux Kubali kataa 2023
10 Reactions
155 Replies
8K Views
(hapa inakaaga salamu) Itoshe tu kusema ulistahiri TUZO hii. Tunaofuatilia kazi zako ni wengi kuliko idadi unayo kadiria. Umepeperusha bendera ya Tanzania ==== Leo nilifika mbele ya Wizara ya...
5 Reactions
10 Replies
557 Views
Back
Top Bottom