Jana nlikuwa YouTube naangalia freestyle ya mex cortez kupitia wanene Youtube channel. Chini ya recommendations nikaona video yenye title "Rapcha- Kisanga"
Nikajua tu hizi zitakuwa za ma...
Treyzah ni msanii wa muziki wa kisasa ambaye ameweza kuweka alama yake katika anga la muziki wa Afrika Mashariki. Kupitia sauti yake iliyoshiba, mashairi yake yenye maana na usanii wake wa...
Habariiii members hii ni story moto sana naishusha wala msijali.
Hii story nitakuwa kila siku naleta vipande viwili kutokana na muda inaweza kuwa kimoja mchana na kingine usiku.
Stay tuned...
Kwahii michano ya Roma mkatoliki kwenye hii Ngoma aliyoshirikishwa na izzo bizness ya Mr Xmas
Ni halali jamaa akimbilie marekani maana ni noma Kuna watu wamechanwa humo na hawaelew kama wamechanwa...
Namuona sana,anatrend mitandaoni si Tiktok, Facebook Instagram hadi Twitter kwa video zake. Kuna Moja hiyo ameiwekea caption ya "ZA KICHWA". Nyie hii dunia...
THE KENYAN TRIO I GIVE MY DUE RESPECT (CURRENTLY)
Natamani sana kusikia kolabo inayobeba vichwa hivi vitatu ninavyovisikiliza zaidi kutoka KE kwa sasa.
Nimekuwa nikimwelewa Shinski toka enzi za...
Wakuu kwema? Naombeni leo wajuzi mnijuze hawa jamaa wana siri gani? Kiwango chao cha uimbaji ni extraordinary. Nimesikiliza sauti hizi mpaka nikafumba macho kwa utamu.
Nini siri ya hawa jamaa...
Wadau na hizi sikukuu ingependeza tungepata nyimbo zenye vibe wakati wa kupata moja moto moja baridi, si unajua pombe=nyama choma=mziki=women, ni vitu vinavyoendana. Mimi nitatupia baadhi
Pesa Mr...
Salaam kwenu.
Naulizia hiyo movie hapo juu kwa mwenye direct link au hata torrent ambayo sio CAMRip au WebCam iwe HD naomba anijuze please.
Natanguliza shukran.
KUNA LA KUJIFUNZA HAPA
Nakumbuka siku moja nilipigiwa simu kwenda kumuona jamaa fulani niliyekuwa nataka ashughulikie suala langu la N.G.O ninayotaka kuanzisha.
Jamaa akanipanga niende kuonana...
Ndugu zangu,
Mwanamziki wa kizazi kipya wakuitwa ROSA LEE ametoa wimbo mpya unaojulikana kama "I AM NOT FINE" ...Ndani ya wimbo huo ...Mimi nimependea mistari ifuatayo ambayo kiukweli ni ujumbe...
Short thread! Wadau nimezikumbuka sana ngoma za Lunduno zilizokusanya wasanii wengi sana rappers katika movement ya Tamaduni music 2005-2015. Ngoma zao nyingi zilikuwa zinatoa darasa na kumpa...
NILINUSURIKA KUCHOMWA MOTO 2
Kelele za watu wakiongea kwa nguvu apigwe! Apigwe! Apigwe! zilizidi. Wakati huo napambana sanaa kujitetea kuwa huyu mwizi mimi simjui, na sielewi kwanini...
KALI KUTOKA AM RECORDS
Hapa kuna majina mawili; MANECKY na BOB MAKNECKY na hizi ndizo kazi kali kutoka AM RECORDS;
1. NIMEDATA - JUX
2. NAPATA RAHA- JUX
3. NITASUBIRI - JUX
4. UTANIUA - JUX
5...
MKASA WA KWELI; KIBUYU CHEUSI
MWANZO
…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
Kwa majina naitwa justice simangwa mkazi wa mkoa wa songwe katika wilaya ya mbozi kijiji cha...
[14:58, 18/02/2017] Ibrahim Masimba: NITAKUPA TU
SEHEMU YA 001
Mwandishi Ibrahim Masimba
*********
Alihisi ilikuwa sauti ya mwanamke, sauti ambayo mwanzo alidhani haikuwa ya mwanamke kutoka na...
Ilikuwa ni majira ya pata saa Saba usiku,nikiwa katika hali ya usingizi mzito sana gafla nilishtushwa na sauti ya mke wangu.
Mke wangu aliipaza sauti yake kwa nguvu sana kuashiria hali ya hatari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.