Nyimbo za Kombe la Dunia Waka Waka itabaki kuwa the best generation to generation, kwani ndiyo wimbo pekee wa Kombe la Dunia ambao haujawai chuja.
Mtunzi alipiga cha Arusha wakati anatunga!
Habarini wana jamvi,
Ninaomba mnisaidieni kwa yoyote anayefahamu sehemu ya kupata movie ya Vuta N'Kuvute au Tug of War anifahamishe au kama ana link anisaidie maana nimeitafuta sana lakini sijaipata.
RIWAYA: HATARI
Imeandikwa na Halfani SUDY
SIMU 0629 360357
Hii ni sehemu ya kwanza.
MLANGO wa ofisi yake ulisukumwa kwa nguvu, kwa haraka, macho mawili ya Daniel Mwaseba yaliangalia pale...
Nitajie ngoma ambazo/ambayo ni ya Marehemu Albert Mangwair, au Awe ameshirikishwa. Na kwenye hiyo ngoma amefunikwa na huyu msanii mwingine. Ni ngoma gani hiyo?
Ulisikiliza halafu ukasema humu...
Wakale wenzangu tujikumbushe enzi za kusikiliza muziki wa kilingala, ambao pamoja na watu kutojua kinachoimbwa kutokana na watu kutojua lugha hiyo, bado ilikuwa ni burudani ya aina yake. Enzi...
STORI FUPI: MFALME MWENYE MBWA 10 WA KUUWA WATUMISHI WAKE WAKIFANYA KOSA.
Aliishi mfalme mmoja aliyekua na mbwa 10. Mfalme muda wote alifikiri kila afanyacho yupo sahihi, Kama mtu yoyote...
hivi hii nyimbo aliimbaga nani
verse ya kwanza:
Mara ya kwanza kukuona ilikuwa coco beach
washkaji kulizia wakasema we m bichi
wakanipa story zako kwamba uko form six
shule moja maarufu hapa...
Wakuu kwema? Poleni na majukumu ya hapa na pale. Naomba tuzungumze kidogo.
Moja kati ya ngoma ambayo tokea imetoka inasumbua sana ni KONTAWA FT NAY WA MITEGO.
Ngoma inaitwa CHAMPIONS. Biti...
Ukiachana na ile michezo ya ku bet kwa wahindi na kampuni nyingine kwa njia za mitandao ambayo kwa sasa jamii kubwa ni kama imeelewa na kuondoa ile hali ya kuwa na matumaini makubwa ya kushinda na...
Sasa madhara ya betting kwenye mpira yanaanza kuonekana. Kila mtu alibet yanga kushinda. Betting company wakaona yanga ikishinda watakula hasara. Wakageuza kombe, kumbuka hao hao ndio wadhamini wa...
Mtunzi: Muddyb Mwanaharakati
Imetolewa: Mei, 2020
Mawasiliano: 0713538427
MOJA
MIADI!
Miadi ikisogea moyo huhakaika, kwa kasi na haraka huwa kama kidonda kinachopwita, pwi-pwi, pwi! Kufanya hivyo...
Inasemekana nguli wa muziki wa Rhumba Francois Lwambo Makiadi aliachia zaidi ya nyimbo 1000 akishirikiana na bend Yake ya Tout Puisant Ochestra Kinshasha ( T.P.O.K).
Kusema ukweli wengi wengi...
Baada ya kusikiliza Singeli, Taarabu na Vijembe kwa miaka takriban Sita hii RnB niliyoanza kuisikia sasa ni njema na good for a change....
Sijajua kama ni kweli RnB ni bora kuliko zile kelele...
Poulenc is one of my favorite post-Ravel composers. His concertos, chamber music (especially the violin and the clarinet sonatas), opera, sacred music and melodies (Les chemins d'amour anyone ? )...
Is it the bodyguards around you?
Is it the high walls where you live?
Or is it the men with the gun around you
Twenty four hours a day
That make you ignore the crying of the people?
Farmers get...
𝗧𝗛𝗘 𝗠𝗢𝗗𝗘𝗥𝗡 𝗪𝗔𝗥
(𝗩𝗶𝘁𝗮 𝘆𝗮 𝗸𝗶𝘀𝗮𝘀𝗮)
𝗠𝘁𝘂𝗻𝘇𝗶:𝘀𝗮𝘂𝗹 𝗱𝗮𝘃𝗶𝗱
𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗮𝗽: 0756862047
𝗨𝗧𝗔𝗡𝗚𝗨𝗟𝗜𝗭𝗜...
"Mwanzo ilikuwa ni vita rahisi sana, vita dhidi ya ndugu yangu wa damu aliyeenda kinyume na kanuni za maisha...
Shaloom wakuu,
Tasnia ya muziki wa injili kwa vikundi vya kwaya hapa Tanzania ni tasnia kongwe na iliyotawala zaidi kwenye chati za nyimbo za dini ya Kikristo mpaka ilipofikia miaka ya 2000's...
"Hakuna njia nzuri na rahisi ya kushoot scene za namna hii. Ila lengo kuu ni kuhakikisha wahusika wameridhika na wako comfortable na tukio. Tunawapa actors uchaguzi wa kuachana na kuondoka kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.