Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Wananzengo kama kichwa hapo kinavyoeleza, naomba mnisaidie! App ya kutenganisha intrumental na wimbo!
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Nilikuwa nacheki bongo movie mchana wa leo kupitia azam 😁 dah ni fedheha sana, ni aibu mno, mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa ERTUGRUL na kwa sasa OSMAN, kwakweli waturuki wapo mbali sana, hii...
9 Reactions
47 Replies
5K Views
Yeroo subhai Game ya watani wa jadi mwenyeji YANGA SC dhidi ya SIMBA FC naona muamuzi wa kati Ramadhani Kayoko anatembeza kadi za njano hatari,huu mchezo una msukumo mkubwa sana kwa wachezaji...
0 Reactions
0 Replies
310 Views
Yapata wiki mbili sasa toka kwa Rapa mkali hapa bongo Young Killer atoe albamu yake ya kwanza toka ameanza kuimba muziki. Nyimbo zote zinazopatikana kwenye albamu yake nimezisikiliza, kiukweli...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Kuna huyu mwamba raia wa Sweden anazitendea haki ngoma za asili hususani zile za kabila kubwa la nchi hii. Huyu mswidish kabadili hadi jina lake la kiswidish anatumia jina la kisukuma ambalo ni...
1 Reactions
4 Replies
366 Views
Habari wakuu, mimi ni mpenzi wa nyimbo zote nzuri. Mwezi Septemba Barnaba na Marioo walitoa wimbo wao unaitwa "Marry Me". Kwakweli ni wimbo mzuri sana. Unaweza kuusikiliza ukiwa sehemu yoyote na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mashabiki wa mtayarishaji wa muziki (Producer), mwenye uwezo wa kipekee, aliyetayarisha wimbo wa Leka Dutigite wa Kigoma All Stars na zingine nyingi, Tudd Thomas, wamekuwa wakiulizana maswali...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
99.9% ya Nyimbo za Singeli zimejaa Maudhui ya Matusi tupu na nimeshangaa kuona Msanii wa Nyimbo za Singeli Sholo Mwamba akipewa nafasi ya Kutumbuiza katika Hafla za Rais Samia huku Matusi...
2 Reactions
26 Replies
4K Views
Filamu ya Kitanzania imeorodheshwa kuwania Tuzo hiyo, na hivyo kuhitimisha subra ya takriban miongo miwili kwa nchi hiyo kushiriki katika tuzo hiyo. Filamu ya Vuta N'kuvute - inayomaanisha...
7 Reactions
25 Replies
2K Views
Zamani enzi hizo, nimepiga viwalo vyangu mkanda nje suruali nimeifungia tumboni, wenyewe tunaita Mayenu.
3 Reactions
6 Replies
14K Views
Kwa wale wa wapenzi wa aina hii ya muziki tukutane hapa. Baadhi ya nyimbo ningependa usikilize pia; 1. Hollow Coves - coastline, these memories 2. Haevn - we are, the sea 3. Out of my hair - In...
0 Reactions
0 Replies
323 Views
Intro: Yeah, Biiizy Babloon/ Herry Samir, Mr. Blue (waelezeeee) Aaahhh Nimetoka Mbaaaaali Mbaliiii mbali mbali ( waelezeeee, waambie ukweli) What's up!! What's up!! Sayi Records (Records), Lazima...
5 Reactions
10 Replies
3K Views
Manara tokea ameingia Yanga hakuna alichoongeza wala kupunguza, zaidi zaidi amekuwa akipigwa mifiani na TFF pamoja na kula burn. Pesa za mshahara mnazomlipa bora mkazigawe kwa kina vigelegele...
0 Reactions
2 Replies
312 Views
Ndege ya shirika la ndege la Tanzania ilitua katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam ikitokea nchini jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.Ndege ilisimama mlango ukafunguliwa na...
7 Reactions
61 Replies
20K Views
Na Bishop Hiluka Yalikuwa yamemfika kooni baada ya kuitafuta haki yake kila mahali na kushindikana, akafikia uamuzi wa kuwaita wazazi wa pande zote mbili ili aweke wazi kuhusu msimamo wake juu ya...
16 Reactions
68 Replies
9K Views
GENGE EP1 JULAI 15, 1991 DIAMOND JUBILEE SAUTI KUBWA YA MUZIKI ilisikika kutoka katika ukumbi huo maarufu jijini Dar es salaam, katika kitongoji maarufu cha Upanga. Ni harusi ya kukata na...
6 Reactions
70 Replies
23K Views
Sikia hii! UTANGULIZI Huyu bibie ni classmate o level miaka hiyoo, nilianza kufahamiana naye kipind nipo 4m III darasa la science A. Tulifahamiana ghafla tu mara tukawa marafiki wakubwa, huyu...
8 Reactions
93 Replies
6K Views
Mzuka wanajamvi? Sina mengi ila nilitaka kushare haka kataarifa kafupi niliko nako kuhusu hii movie ya Action, Crime na Drama. Kuna yule mtoto katika hii filamu anatumia jina la Vee ambaye mama...
0 Reactions
5 Replies
797 Views
Tukio la kutengeneza huu wimbo ni moja ya matukio adhimu sana kupata kutokea. Kuanzia utunzi,uimbaji na uchakati wa vyombo husika. Unanikumbusha ule wimbo wa kama Japenga.....nao ulikuwa mmoja ya...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Back
Top Bottom