Kwa wale wapenzi WA series, kuna series mpya imetoka Kwa sasa ina episodes 2 Tu Ila inaonekana kuwa Moto Sana inaitwa THE ENDGAME.
Bado hatujajua hasa kiini cha matukio haya lakini hii ni sehemu...
Ni nyimbo gani ya kibongo ambayo kwa sasa tunaweza kuishindanisha na Buga ya kizz Daniel katika kipindi hiki ambacho Buga imetoka maana naona wabongo wengi wanalalamika kuwa hii ngoma inapendelewa...
Na Bishop Hiluka
(Mwandishi wa stori za kusisimua zilizowahi kuchapishwa hapa JF za Kizungumkuti!; Laiti Ningejua!; Hekaheka!; Hadi Lini! na nyinginezo)
0685 666964
SAA 1:35 asubuhi, Samuel...
Maoni na kura yako iwe kwa vigezo hivi:
Ni bila kuangalia
_AINA YA MUZIKI
_UJUMBE
_MSANII ALIYEIMBA
_HADHIRA ILIYOKUSUDIWA
_UKUBWA WA MWANAMUZIKI
_MUDA, MWAKA, IDADI YA _MATAMASHA, UKUBWA WA...
Simulizi : MIKONONI MWA NUNDA
Mwandishi : BEN R. MTOBWA
Imeletwa kwenu na: BURE SERIES
SEHEMU YA 1
UKEKE Maulana alikuwa mzee ambaye siku zote alipingana na uzee, mzee ambaye hakukubali...
JICHO LA SANAAA
MATAA HEIST
Based on true event
"Wakati adui anahitaji nafasi moja katika kutekeleza mipango yake ya kidhalimu, vyombo vya usalama na ulinzi vinahitaji kila nafasi, kila fursa...
Jifunze sanaa ya kuishi kutoka Sri Sri Ravi Shankar katika tukio hili la siku moja BILA MALIPO.
Agosti 25, katika Julius Nyerere International Convention Centre.
Usikose fursa hii nzuri!
Hii ndio Orodha ya nyimbo za africa zilizoingia Top 50.
1. Love Nwantiti (Ah Ah Ah)- CKay.
2. Peru-Fireboy DML & Ed Sheeran.
3. Essence-Wizkid Featuring Justin Bieber & Tems.
4. Attention-Omah Lay...
Kila mwandishi wa miswada {script} hutumia njia aipendayo kuitumia katika kuandika miswada {script}si kwa nchi yetu ya Tanzania pekee hata nchi za wenzetu, kwa kukuaminisha nimeamua kukuwekea...
Nenda youtube,
Andika 'Sanura audio' na wimbo utauona chini ya Makondeko Group Musika tayari kwa kuenjoy. Mimi nimeshindwa kuupandisha humu.
Aisee ni bonge la wimbo, jamaa alikuwa anajua sana...
SABABU YAKO:
Sikulaumu wala siwezi kuja kulaumu,
Ila ni sababu yako mimi kuwa hivi,
Ni aghalabu kuona tabasam langu yani nimekuwa chakaramu,
Unapokuwa kibogoyo ni nadra kutafunia fizi,
Ila...
Wadau heshima kwenu, naomba kujua jina la huu wimbo Unaitwaje.
Nimejaribu kuimba melody yake unavyoenda natumai ukiuskia kama unaujua utaufahamu tu.
Naomba mnisaidie jina lake tafadhali.
Thanks...
Hawa commentators wanaokaa mmoja mmoja wamekuwa na favoritism na kuleta mahaba, ni vema sasa mkawa mnaweka huku mpenja pale kabombe nk nk kama tuko EPL vile wenzetu commentaries zao haziboi...nyi...
Habari wana jamvi, kama umepata kusikiliza wimbo wa marioo na country boy utakua unajua jinsi gani wameua kwenye hilo goma.
Wimbo ni mkali sana na wametembea kwenye beat vizuri
Muandishi:- Joseph .D. Migini
Call/txt:- +255766604683
Josephdeo70@gmail.com
Ndani ya chumba hichi cha wastani kilichoja samani za kufanya kuitwa sebule ya kisasa kwa waingiao. Nilikuwa nimeketi...
Jana Jumatatu Mei 3 saa 1.30 usiku ITV wameanza kuonyesha tamthilia mpya iitwayo UZALO.
Kwenye tamthilia hii waigizaji hawajatafsiriwa zikasikika sauti za Kiingereza kama ilivyokuwa kwenye EGOLI...
Kwa tuliokua Teens miaka ya 1990, Koffi Olomide alikua ni mwanamuziki ambaye tumesikiliza na kucheza sana nyimbo zake. Binafsi, album yake ya V12, yenye nyimbo kama Andrada, Bambino, Aspirine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.