Ridhiki haiji yenyewe hata ukilala mlango wazi/
Maisha Bora yanajengwa na juhudi yako ya kazi/
Kazi sio kushuka, kazi ni kupanda ngazi/
Ukipotea,umepotea hata ukikesha unavunja Nazi/
Haishangazi...
Habari wakuu,
Naomba msaada ili niweze kupata nafasi ya kuonyesha uwezo na kipaji changu cha kuimba ili kutengeneza nafasi ya kuweza kurekodi wimbo.
Pia connection na wadau wa muziki nahitaji...
Singida, Dodoma...
Man, I wish ungemuona, anavyojitingisha
Jinsi nyuma alivyoshona
Yeah! Singida, Dodoma...
Yeah, mtoto amenona na anavyotetemesha
Zaidi hata tranformer/ X2
(Verse 1)
Yo! Kwa...
Ni Moja ya series Bora kabisa Kwa mwaka huu humu ndani kuna visa na mikasa mingi na mauji ya kutisha
Humu ndani kuna yule mchizi aliyecheza kings man ,taron egerton
Bwana Jimmy Keene(taron...
Habari kuu wakuu. Bila shaka ni wazima wa afya tele.
Lengo la huu uzi ni kuwaleta pamoja wapenzi wa music wa Country.
Music huu ni so genuine wenye asili yake hasahasa huko Texas Marekani...
Hapa naamanisha Movies za kuangilia Never Miss. Hapa naangalia from the Actor point of view (kwamba wameitendea movie Haki) .
Story ni ya kukata na shoka na Dialogue ni ya kusisimua Kwangu...
Habari wana jukwaa,
Samahan naomba kuuliza naweza kupatawapi tamthilia zakizungu zinazoongea kwa kiswahili kama zile za azam TV (yaan sio kutafsiriwa na ma DJ) unakuta nisauti imeigizwa kwa...
Nipo nimeamka zangu nikawasha tv kila channel ninayoweka naona nyimbo za injili tu dah.
Naamini wengi wetu japo sio wote mmekuwa ni wafuatiliaji wazuri tu wa nyimbo za injili. Ukifuatilia kwa...
"Joseph mwanangu tumenzingirwa na watu nje ya nyumba yetu wakiwa na lengo la kutuua!".
"Wanataka kuwaaua...kivipi!...kwanini?!. Nini sababu?..". Maswali yalinitoka mfulilizo kwenda kwa baba...
Kuhusu Historia iliyowahi kutokea hapo zamani iitwayo Ottoman empire/Osman, nilikuja na ombi la kuongezewa muda sisi kama wadau na wafuatiliaji wa tamthilia hii inayopendwa, inayosisimua na...
Tanzania ni nchi yenye makabila takribani 120, Makabila mengi kati ya hayo ni wabantu ambao kimsingi wanapenda sana kufanya muziki na kuimba.
Kama ilivyo kwa vitu vingine, ni kawaida kwa mmoja...
Wazazi na walezi wamekua na mitazamo tofauti hisusani katika suala zima la watoto wao kujingia kataika tasinia ya Uwanamitindo (walimbwende) suala hili limekua likiwatia ukakasi mkubwa wazazi na...
Msisitizo: Riwaya imekamilika, kila siku itakuwa inatumwa sehemu moja mpaka itakapoisha. Hakuna longolongo, hakuna kuchelewesha wala hakuna kununua.
Mfalme Anataka Kuniua | Sehemu ya Kwanza...
Burudani ya muziki imekuwa chanzo cha kuleta faraja baina ya akili, mwili na roho kwa walio wengi. Muziki ni ajira kwa vijana, watoto na wazee. Muziki unaeleza zetu hisia, taswira, maono na...
Mwanamke Uliyekula Pesa Zangu Nakutafuta
Mwandishi: Mwalimu Makoba
Sehemu ya Kwanza
Nilipita siku ya Jumatatu huko Mwananyamala katika nyumba za ndani sana. Baada ya kuvuka mitaro mitatu...
Fahyma au Fahyvanny ni mwanamitindo na sosholaiti maarufu nchini Tanzania ambaye kwa mara nyingine ameibua gumzo kwenye mitandao ya kijamii baada ya kudai kwamba uzuri wake umeongezeka maradufu...
Wapenzi wa Rumba zito na tam la Franco Lwambo Makiad njoo mnikumbushe jina la wimbo anaoimbaga mwishon anamalizia "OMA" sijui jina la huu wimbo, yaani huwa nauskia tu watu wanaskiliza na...
Ndugu zangu wapenzi wa mfululizo wa movie za Marvel na super heroes hizi sasa tuna hii series mpya ambayo mpaka naandika andiko hili zipo Episode 5 season ya kwanza.
Na imebaki Episeode moja...
Ni usiku wa manane, Diamond yupo chumbani kwake, alikuwa amechoka, usingizi haumpati kwa sababu anaifikiria safari yake atakayoianza kesho kuelekea kwenye matamasha yake nchini Marekani.
Kichwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.