Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Mchekeshaji Eric Omondi kutoka Kenya ameonesha kukerwa na kitendo cha Mgombea Urais kupitia Azimio nchini Kenya, Raila Odinga kumwalika Diamond Platinumz kufanya show kwenye kampeni zake leo...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Huwenda hii ndio animation itakayouza Sana mwaka huu na Kali pia Imesetiwa na director Kyle Balda Ndan ya studio kuna watilia sauti magwiji kama Dolph iandeni, Michele yeoh na Claud Van damme...
1 Reactions
6 Replies
800 Views
Baada ya kushindwa kutoa burudani Agosti 8, 2022 kwenye Ukumbi wa Next Door Arena, msanii Kizz Daniel kutoka Nigeria alikamatwa na polisi na kuweka kituo cha Oysterbay jijini Dar es salaam. Leo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu salamu Husika na Title ya huu uzi. Tuzo za muziki za Tanzania zinatolewa usiku huu ikiwa ni miaka 7 imepita bila uwepo wa Tuzo hizi nchini Tanzania, tuzo za mwaka huu zinatolewa kwenye...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za leo Wakuu! Leo nakuja na uzi maalumu kwa wote wanaohitaji ushauri unaohusiana na suala zima la mahusiano, kwa kutumia baadhi ya maneno kutoka kwenye nyimbo za wasanii mbalimbali ( Hasa...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Weekend iliyopita ilikuwa siku nzuri kwa Diamond Platnumz wakati mgombea Urais Raila Odinga aliposimama mbele ya Wakenya na kuwaomba kumpigia kura kama Rais ajaye kabla ya Uchaguzi Mkuu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, Wanasemaga muziki ni food to the soul, na Mziki pia ni universal language kwamba unaweza usielewe lugha ya kinachoimbwa lakini nyimbo ikakugusa sana. Binafsi Kuna nyimbo...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Hello ladies in Gentlemen, how are you doing well today? I want to talk about stranger things. It's a great movie to be honest but there's one problem. it's not well thought out. and there are...
2 Reactions
4 Replies
845 Views
Yaani nacheki cheki hapa dah nimeishiwa nguvu kwanza naona yule jamaa sijui chawa anaitwa bill sepenga ndio mtangazaji akiwa na dullah. Hiyo mosi sio mbaya Pili wageni wenyewe sasa wameleta...
2 Reactions
31 Replies
2K Views
Jamani naombeni msaada eti ni channel gani ya tv naweza kutazama hizo ndondi za LFC yaani lingerie fighting championship
0 Reactions
3 Replies
569 Views
Habari za wakati huu Kwa ambao hawafahamu storyteller ni wale wasanii ambao nyimbo zao zipo kwenye mfumo kama wa simulizi flani hivi. Kifupi aina hizi ya nyimbo huwa hazichoshi kusikiliza miaka...
1 Reactions
1 Replies
559 Views
Tukisema nyie bado Sana kimataifa mnabisha [emoji28] Unaambiwa Aziz k na mayele walipoingia tulipiga kelele Kama limefungwa goli...[emoji28][emoji28] Hapa naplay Ngoma ya motra the future...
1 Reactions
2 Replies
516 Views
Tuna safari ndefu sana katika maisha na kila mmoja anakutana na mikasa yake. Lakini katika yote hayo yaani safari ndefu na mikasa ambayo tunakutana nayo kuna kitu kimoja tu ambacho kinatufanya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mwaka jana Ngowi alibuni jezi za Yanga ya Nyumban ile Kijan akaharibu sana Mwaka huu the same Jezi ya Nyumban kaharibu(tusiogope kusema ukweli wanayanga ameharibu) Mwaka Jana Vunjabei...
2 Reactions
10 Replies
937 Views
Habari za wikiendi.. Kama nilivyouliza hapo juu ni jina lipi la hadithi,kitabu au novel huwa linakuvutia sana au unalipenda. Mimi napenda sana Why men love bitches. Manipulated man. Tutarudi na...
2 Reactions
113 Replies
9K Views
Wakuu nimeanzisha uzi huu kuulizia nyimbo yoyote na kuweka link za kudawnload hapa karibuni
0 Reactions
43 Replies
37K Views
Natamani sana watu wote tuwe kama Mandonga, si kuwa watu wa kushindwa ila kuwa na ile roho ya upambanaji. Mandonga anajiamini sana, ni mtu anayekuonyesha kwamba kila kitu kinawezekana! Hutakiwi...
7 Reactions
0 Replies
1K Views
TUJIKUMBUSHE [emoji4]SENSA NA NGOSWE, "Penzi kitovu cha uzembe" KISA CHA NGONSWE NA SENSA [emoji1427][emoji1427][emoji1427][emoji1427][emoji1427] MITOMINGI; nadhani sasa mgeni amekwisha kumaliza...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari yenu jamii, mko salama jamani, inaniuma namimi, twapotea hasirani, twakosa tiba kwanini, nchi ni yako namimi, leo nahitaji nipate, afya ya uchumi. watu wanahangaika, ajira zionekani...
0 Reactions
0 Replies
425 Views
Mtunzi Nyemo Chilongani SEHEMU YA 01 Nakumbuka ilikuwa mwaka 2005, mwaka ambao nilimaliza kuchukua Diploma yangu ya Uandishi wa habari katika Chuo cha Uandishi cha DSJ (Dar es Salaam School of...
15 Reactions
269 Replies
35K Views
Back
Top Bottom