Wale wapenzi wa game of thrones tunaendelea na series yetu GOT (house of the dragon)
House of the dragon will be about four character there is king,his brother, king daughter and her best...
Wanajamvi hasa wale walioenda umri kidogo tukumbuke bendi zetu za musiki wa dansi. Kwa uchache dar kulikuwa na Bima Lee, Vijana Jazz na Arusha kulikuwa na Kurugenzi.
Jamani wana jf naomba mtu yoyote anayezijua nyimbo za kusifu na kuabudu aziwekeke hapa ili nifanye mpango wa kuzitafuta. Zinanigusa mnoo nikizisikiliza. Mbarikiwe wote
Habari za jioni wakuu na poleni kwa majukumu ya kazi.
Napenda kuwakaribisha kusikiliza wimbo wangu wa kwanza kuandika mwenyewe unaohusu Sensa, pongezi kwa serikali ya awamu ya sita pamoja na sifa...
Did you know that swimming improves health and is a good skill in life, it is also entertainment,
Welcome to enroll your son in the swimming class this holiday season, the class will start on July...
Chelsea wamefufua nia yao ya kumnunua mlinzi wa Sevilla ya Ufaransa Jules Kounde, 23, baada ya Manchester City kuamua kutomuuza mlinzi wa Uholanzi Nathan Ake, 27 kwa timu ya Thomas Tuchel...
Mimi ni mpenzi wa Azam Tv kwa ujumla wake ila yapo mambo ambayo nadhani bado ipo fursa ya kuboresha zaidi.
Kwanza niwashukuru Azam TV kwa kuboresha movie za ndani.
1. Waboreshe wigo wa kuchagua...
Habari Wana jukwaa,
Nimejaribu kutafuta series ya the duo bila mafanikio ni Korean series ya pori
Nimeingia sites kama nkiri, bila mafanikio, kwa mwenye anayejua site au njia rahisi ya kuipata...
Nafikiri kati ya animations bora kutoka mwaka hii, hii namba moja. Story yake, waigiza sauti na action zote ni za kiwango cha juu. Kitendo cha kumtumia binti mweusi ni safi sana. Hizi vitu huwa...
Nadhani aina ya music wa dansi wa Sasa hautengenezi kizazi Kipya na Hata hao Wasanii wa kufokafoka wanatoka Kwa Juhudi zao na sio kwamba wanatengenezwa kama ilivyokuwa THT.
Jana nilicheki hii movie. Ina actions nzuri, lakini mambo mengi ni kama yaleyale na story haina jipya. Ila kuna sehemu nilisikia kama wanaongea Kiswahili. Pale wameingia kwenye soko la magendo la...
Wadau wa betting watakua wamenielewa. Kuna mtu aliwai kununua odds za namna hii na kwakua alikua hajui kubet, akaomba nimsaidie. Alinunua mechi mbili zikiwa na matokeo ya 2-1 & 2-0. Baada ya mechi...
Wimbo wa Fid q ft taz _walk it off ni wimbo ambao umetoka miaka 6 iliyopita Lakini huu wimbo haupewi airtime sana kama wimbo bora wa hip hop mda wote(according to me) ukichek jins fid alivyofloo...
Kama wewe ni mpenzi wa comedian basi sizani utashindwa kumjua gwiji wa vichekesho Rowan atkinson maarufu kama Mr bean
Sasa Mzee amekuja na hii short series inaitwa man Vs bee humo Luna vituko na...
Kwa upande wangu T-bagwell ndio alinivutia Sana namna alivyocheza kuanzia season 1 mpaka ya 4.zile swaga zake anazofanya akiwa anataka kitu muhimu alikuwa ananichekesha Sana, Jamaa alikuwa...
Na : ATHUMANI RUVULY
Binti mmoja ambaye alitokea katika Familia ya kimasikini sana, alifanikiwa kusoma kwa shida mpaka kufanikiwa kuwa mwanasheria. Alipata kazi nzuri, akaishi katika nyumba nzuri...
Naelewa hii mada imeongelewa sana ila naomba nije kwa namna nyingine
Najua naeza nikawa naandika kitu ambacho labda kishapitwa na muda kutokana na serikali yenyewe pamoja na watu wake kuliweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.