Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Wale wapenzi wa game of thrones tunaendelea na series yetu GOT (house of the dragon) House of the dragon will be about four character there is king,his brother, king daughter and her best...
2 Reactions
7 Replies
559 Views
Wanajamvi hasa wale walioenda umri kidogo tukumbuke bendi zetu za musiki wa dansi. Kwa uchache dar kulikuwa na Bima Lee, Vijana Jazz na Arusha kulikuwa na Kurugenzi.
0 Reactions
23 Replies
10K Views
Jamani wana jf naomba mtu yoyote anayezijua nyimbo za kusifu na kuabudu aziwekeke hapa ili nifanye mpango wa kuzitafuta. Zinanigusa mnoo nikizisikiliza. Mbarikiwe wote
0 Reactions
10 Replies
11K Views
Habari za jioni wakuu na poleni kwa majukumu ya kazi. Napenda kuwakaribisha kusikiliza wimbo wangu wa kwanza kuandika mwenyewe unaohusu Sensa, pongezi kwa serikali ya awamu ya sita pamoja na sifa...
1 Reactions
0 Replies
864 Views
Did you know that swimming improves health and is a good skill in life, it is also entertainment, Welcome to enroll your son in the swimming class this holiday season, the class will start on July...
1 Reactions
0 Replies
307 Views
Chelsea wamefufua nia yao ya kumnunua mlinzi wa Sevilla ya Ufaransa Jules Kounde, 23, baada ya Manchester City kuamua kutomuuza mlinzi wa Uholanzi Nathan Ake, 27 kwa timu ya Thomas Tuchel...
3 Reactions
4 Replies
666 Views
Mimi ni mpenzi wa Azam Tv kwa ujumla wake ila yapo mambo ambayo nadhani bado ipo fursa ya kuboresha zaidi. Kwanza niwashukuru Azam TV kwa kuboresha movie za ndani. 1. Waboreshe wigo wa kuchagua...
2 Reactions
1 Replies
773 Views
Siku Fid Q akiimba ngoma kali kuiizidi hii Professional naomba mnishtue...Hii ngoma level nyingine kabisaaa[emoji119][emoji119][emoji119]
5 Reactions
83 Replies
5K Views
Habari Wana jukwaa, Nimejaribu kutafuta series ya the duo bila mafanikio ni Korean series ya pori Nimeingia sites kama nkiri, bila mafanikio, kwa mwenye anayejua site au njia rahisi ya kuipata...
0 Reactions
1 Replies
459 Views
Nafikiri kati ya animations bora kutoka mwaka hii, hii namba moja. Story yake, waigiza sauti na action zote ni za kiwango cha juu. Kitendo cha kumtumia binti mweusi ni safi sana. Hizi vitu huwa...
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Nadhani aina ya music wa dansi wa Sasa hautengenezi kizazi Kipya na Hata hao Wasanii wa kufokafoka wanatoka Kwa Juhudi zao na sio kwamba wanatengenezwa kama ilivyokuwa THT.
0 Reactions
0 Replies
618 Views
Jana nilicheki hii movie. Ina actions nzuri, lakini mambo mengi ni kama yaleyale na story haina jipya. Ila kuna sehemu nilisikia kama wanaongea Kiswahili. Pale wameingia kwenye soko la magendo la...
3 Reactions
11 Replies
679 Views
Wadau wa betting watakua wamenielewa. Kuna mtu aliwai kununua odds za namna hii na kwakua alikua hajui kubet, akaomba nimsaidie. Alinunua mechi mbili zikiwa na matokeo ya 2-1 & 2-0. Baada ya mechi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wimbo wa Fid q ft taz _walk it off ni wimbo ambao umetoka miaka 6 iliyopita Lakini huu wimbo haupewi airtime sana kama wimbo bora wa hip hop mda wote(according to me) ukichek jins fid alivyofloo...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwa wale wenye umri umeensa kidogo Nakumbukia ukumbu wa Agip Motel miaka ya 80 Huku DJ akirusha hewani nyimbo ya Lionel Richie-All Night Long
3 Reactions
26 Replies
10K Views
Wadau hapa Mbeya Jijini huwa mnaenda wapi? Mi mgeni naona pamekaa hovyo hovyo tuu sijui hata pa kuanzia. Please advice!
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Kama wewe ni mpenzi wa comedian basi sizani utashindwa kumjua gwiji wa vichekesho Rowan atkinson maarufu kama Mr bean Sasa Mzee amekuja na hii short series inaitwa man Vs bee humo Luna vituko na...
5 Reactions
10 Replies
914 Views
Kwa upande wangu T-bagwell ndio alinivutia Sana namna alivyocheza kuanzia season 1 mpaka ya 4.zile swaga zake anazofanya akiwa anataka kitu muhimu alikuwa ananichekesha Sana, Jamaa alikuwa...
12 Reactions
224 Replies
22K Views
Na : ATHUMANI RUVULY Binti mmoja ambaye alitokea katika Familia ya kimasikini sana, alifanikiwa kusoma kwa shida mpaka kufanikiwa kuwa mwanasheria. Alipata kazi nzuri, akaishi katika nyumba nzuri...
0 Reactions
0 Replies
921 Views
Naelewa hii mada imeongelewa sana ila naomba nije kwa namna nyingine Najua naeza nikawa naandika kitu ambacho labda kishapitwa na muda kutokana na serikali yenyewe pamoja na watu wake kuliweka...
0 Reactions
0 Replies
566 Views
Back
Top Bottom