Wakenya ni hatari kwenye social network
Ni kama wanashindia uko particularly masister duuh( slay Queens) yaan from TikTok, Instagram sijui zoom sijui Kwa Facebook mana uko Sina hata account
Yaaan...
Nikiwa home jioni unakuta familia inaangalia tamthilia za kibongo sijui "JUA KALI", LA FAMILIA" n.k yaan dakika 2 nyingi lazima usikie TUSI Kama sio KUNYONYANA NDIMI au mtu kageuka mbuzi (uchawi)...
Ni kweli baada ya mishe mishe kuna time ya kupata refreshments maisha ndo haya haya.
Baadhi ya actors na movies zao walizocheza 2020-2021 ambazo ni kali sana
The misfits 2021 humu unakutana na...
a. Lyrics
b. Instrument's
c. Beats
Mimi instrument + beat tamu lain hunifanya nioze mazima kwenye music
Mfano wa nyimbo zinazonimalizaga
Bryan adams - everything I do*
Harmonize - one...
Dogo mbuzii young lunya anaupga mwingiii but anachokifanya young lunya killer msodokii kakifanya miaka 10 iliyopitaa so hakuna kulinganisha young lunya ni mkalii ila kufkia levels za msodokii bado...
Kibuisa Mpimpa - Werrason, sijui hata maana yake
Werrason - Wenge Maison mère Kibuisa Mpimpa - YouTube
Yaani, to my very soul basi tu.
Na wengie mtupiepo...
Wazee wa hiphop ,jana nimeskiliza ngoma mpya ya hao jamaa hapo juu,ngoma inaitwa chelea pina
Hakika Chidi benz kakimbiza sana humo ndani..
Ngoma ni hii hapa
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Simulizi; "NITAWATETEA"
Sehemu Ya Kwanza (01)
Mwandishi; MARIAM YAHAYA
Namba; +255744654969
*****************************
RORYA
Ni katika kijiji cha Nyanchabakenye, ilikua siku ya jumamosi...
Nazitafuta sana hizi nyimbo za hii band.
Mwenye nazo naomba, nimejaribu kuzigoogle hazipo.
You tube zipo walizofanya 'live' jukwaani mimi nataka Original zao.
"Mji ule unameremeta umepambwa maua"
Katika swala ambalo Bado ni chanagamoto katika SEKTA ya FILAMU ni maendeleo ya kimtandao, wakati huo tulikua tukiangalia FILAMU kupitia chaneli zetu na baadae kuanza matumizi ya cassette (Deki ya...
Wale wa penzi wa movie, aisee tafuteni hii movie ya Death on the Nile imetoka mwezi wa pili.
Bonge la movie na bonge la story.
Sema sio kwa wale wanaopenda movie za mapigano maana humu hakuna
Bila kupoteza muda naomba niingie kwenye mada tajwa. Ninatamani sana kujifunza uandishi wa nyimbo, licha ya kujaribu ku "Google" ili kupata muongozo nimejikuta sisogei mahali popote.
Kwa...
Mabasi ya kifahari 89 yalitumika kusafirishia timu za soka na wajumbe walioshiriki katika michuano ya African Cup of Nations (AFCON) nchini Cameroon hayajulikani yalipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.