Kwa upande wa mziki wa bongo flavor huu wimbo unaweza ukawa wimbo bora.
Ni wimbo uliotulia kuanzia uimbaji hadi mapigo.Mwimbaji Amejaribu kubadilisha uimbaji tuliouzoea wa kwaya yaani...
Whitney Elizabeth Houston was an American singer and actress. Nicknamed "The Voice", she is one of the best-selling recording artists of all time, with sales of over 200 million records worldwide...
Habari wakuu;
Hii thread kwa wale wapenda Hip Hop,unachotakiwa kufanya unashusha verse yako kalii na unayoikubali kutoka ktk nyimbo yoyte iwe ya bongo au mbele alaf mwingine aje aseme hiyo verse...
Ukitaka nisikilize Radio siku nzima. Niwekee CLOUDS FM halafu ficha remote. Wala sitahangaika kukupigia simu. Hii redio imesimama sana na vipindi vyake vina mpangilio na mtiririko usiochosha...
Mimi si mpenzi sana wa hadithi ila hii nimeipenda nimeamua kushare na nyie ndugu zangu wa JF hasa wapenda stori za machombezo drama n stuffs like that tuwemo.
=======
Simulizi ya kweli: SHANGA...
Kwa wale wapenzi wa movies naomba mdondoshe Movies Kali za mwaka huu iwe actions or horror ambazo kwako wew ndio best movies in 2021 🔥
Nataka nami nisibaki nyuma natamani kuzitazama 🤝
Huyu mkuu wa wilaya ame wahakikishia Kwamba Gar bus lilo nunuliwa kwa Ajili ya Club ya Mpira wa mguu Wilayani Tunduru .. Tunduru korosho Fc Limenunuliwa kwa bei ya zaidi ya milion sabini (70) pesa...
Huwa najiuliza sana hizi filamu zinazotengezwa kuonesha matukio tatakayo tokea miaka ya baadae ni hadithi tu za kufikirika au ni vitu ambavyo wanavijua vitakuja tokea?
Ukiangalia pichaa hii ipo...
Naombeni hata link ya kudownload hii movie wadau au nitajieni website ipi nitaupata Huu mzigo maana nimetafuta kimoitv, netnaija na nkiri.com kote huku hakuna itapendeza zaidi ikiwa english subtitle
Wakuu kwema? Poleni na majukumu.
Nahitaji msaada wa hizi nyimbo 3 nimezitafuta bila mafanikio,Nimezitafuta sana.
Kama kuna mwenye nazo kwenye Pc,Kompyuta au simu naomba atume hata ukiwa na...
Habari wazee wa kukichafua..
Baada ya kujifua kwa muda mrefu, sasa nimeanza kutembelea madambwe mbalimbali kwa lengo la kugawa dozi kwenye hii michezo pendwa ya video games, nikiwa na maana ya...
Sina maneno mengi zaidi ya kusema kuwa bwana mkubwa Mond katimba hadi Minaki high school na kushoot video pendwa na bi dada Zuchu.
Heshima iliyoje wa alumni wa Minaki na uongozi wa shule.
Halafu...
Nilikuwa naitazama hii
Series (fraternity) na Shawishika kuamini kwamba hawa jamaa wa(corea) sio watu wa mchezo mchezo kabisa " watu wana tunga story Kama mizimu " story ambayo inaweza kukugusa...
Hapa tusahau kidogo kuhusu Mabaga Fresh, Solid Ground Family, Hard Blasters wale wa kipindi hicho watakua wanayafahamu.
Njoo kwenye kizazi chetu ndio mziki wetu wa kisasa unaanza kuvuma kulikua...
Nimekaa leo nasikiliza SA Gospel songs, zimenivutia sana, I rarely listen to gospel hasa hizi za bongo nyingi naona haziniingii kabisa.
Tupia list ya South African gospel kali unazozipenda...
Mimi hapa nina kipaji cha kuandika Story zenye kiburudisha na kufundisha pia
Natamani kuingia Bongo Movie ili nifanye Mapinduzi makubwa na Kuikuza zaidi Tasnia hii na kuifanya ifikie level za juu...
IMEANDIKWA NA: RICHARD MWAMBE
Simulizi: Hujuma
Sehemu Ya Kwanza (1)
Bahari ya hindi
MANOWARI ya kijeshi kubwa kabisa ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania kikosi cha wanamaji cha Kigamboni ilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.