Embu kila mtu aweke nyimbo zake ambazo zinazombamba!!!!!!
Zangu...
1.Murder she wrote-Shabba ranks.
2.Always be my baby-Mariah Carey.
3.Single boy&Single girl-Ali kiba&
4.Calfornia...
Zamani nlikuwa namwona Fiq Q ni mmoja ya wasanii wanaojielewa....nlidhani kichwani ana akili. Fid Q kama upo humu. Kwa kweli nlikuwa namkubali sana..
Ila hili sakata la Steve Nyenyere limenishtua...
Mwanahiphop:
Ni B Boy (Mvunjaji) anayevunja na kuharibu mazingira Hadi kiroho kila siku.
Ni MC (Mchanaji) shujaa wa maneno ya kujenga kiroho na kiakili
Ni Graffiti (Machata) anaefikiri na kukua...
Youtube kuna full movies nyingi sana. Nyingi za zamani na chache mpya. Ni wewe na bando lako tu, na uzuri youtube haili bando kivile.
Mi napenda kutembelea channel inaitwa Wu Tang collection...
Wanajamvi
Habari za mihangaiko na poleni.
Moja kwa moja kwenye mada. Sanaa ya muziki ina nguvu kubwa sana, inapenya mioyoni na inaathiri hisia moja kwa moja.
Kwa kulitambua hili, nawaalika...
Ninasikiliza Kipindi cha 'zilipendwa', basi nimesikia Mkasa ulio nyuma ya wimbo wa Georgina wake Marijan Rajab.
Wimbo huu ni mkasa wa kweli. Mapenzi shuleni.
Marijan yaelezwa alikuwa...
Mara ya kwanza kupenda game ilikuwa 2010 na nilivutiwa sana na game kwa jina call of duty.
Trela zake kuna maneno ambayo kama ya mebeba ukweli ambayo sasa yanatumika mfano
*Game; Call of Duty 4...
Wakati Pambano Baina Ya Twaha Kiduku Na Abdallah Pazi (Dullah Mbabe) Limeanza Wengi Waliona Dulla Mbabe Atashinda Kutokan Na Rekodi Zakupoteza Katika Pambano Lililopita Ambalo Aliona Hakustahili...
Mama alipotea ghafla tu tena katika mazingira ya kutatanisha. Licha ya kutafutwa sana hawakufanikiwa kumpata,
Lakini baada ya muda akarudi.
Lakini karudi akiwa sio tena kama alivyokuwa mwanzo...
I CHEATED ON MY WIFE
Episode 1
I woke up that morning to get ready for work, it has become a ritual for me. A normal routine that I indulged every day.
My wife was still in bed beside me.
I...
Steve Nyerere ametajwa kuwa Msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania, haifahamiki aliyemteua kwenye cheo hicho ni nani, vigezo vilivyotumika kwenye uteuzi huo haramu havijulikani, wala malengo ya...
Nimeanza kuangalia series kwa mala ya kwanza 2018 na kuimaliza yote, nilianza na series hii.. YOU (2018).
Kipindi cha nyuma ilikua nimwendo wa single movies tu.
nakumbuka ilikua 2016 nikajaribu...
Maya ni mwandishi wa Habari maarufu,
Umaarufu unatikana na namna anavyo pambana kutoa taarifa za kina na ndani sana pamoja na uwazi kwenye tasnia ya habari.
Akiwa nyumbani Maya ni mama wa mtoto...
Wana mazimaombwe wanne hatari kusanywa pamoja na mtu asiyejulikana ambaye huwapa mipango ya wizi.
Mwaka mmoja baadae, wanajiita "The Four Horsemen",wanakuja na show ya mazingaombwe inayo vunja...
Wana JamiiForum mko powa
Baada ya salamu leo turudi nyuma kidogo kwenye
Lile goma la Ferooz lakuitwa Boss
Ingekuwa ni wewe ungeamua nini katika mawili ambayo jamaa alikuwa akishauriwa
1...
Diamond platnumz anachowazidi wasanii wengine wa bongo ni kufanya promotion kwenye kazi zake jamaa anafanya poa sana ndio maana nyimbo zake zinafika mbali.
Kwa wale walizoziona prison break au breaking bad
Naomba mnisaidie kunitajia movies zingine zenye maudhui kama yale..
Yaani akili nyingi,uharifu,ubabe n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.