Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Youtube inachukua asiliamia 30 kama income tax (withholdtax) ambayo sidhani kama inafika ama kurudi hapa nchini kwetu. Mfano: wimbo mmja wa DIAMOND PLATNUMZ uliwahi kufikisha Milioni 100 za...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Katika kanda ya Video iliotokea katika mtandao wa kijamii wa YouTube, diamond alitokea wazi na kuelezea ni kwanini alizungumza na mama watoto zari aka Boss Lady licha ya kuonyesha dalili ya...
1 Reactions
3 Replies
863 Views
Naomba niwasalimu wote mliomu humu... Kwanza kabisa naomba niwape taarifa ya juu ya mchezo wa leo kati ya Simba na Yanga. Kuna njia nyingi huwa zinatumika kupanga matokeo katika michezo hasa...
7 Reactions
44 Replies
12K Views
Ngoma ya Essence ya Star Boy imeuza mauzo ya Double Platinum ndani ya U.S.A. Hakuna ngoma kutoka afrika iliyowahi kufanya hivyo ndani ya Marekani.(double platinum) Kuna cha kujifunza hapa...
7 Reactions
17 Replies
2K Views
Nasibu Abdul Juma Issack, popularly known by his stage name Diamond Platnumz, is a Tanzanian bongo flava recording artist, dancer, philanthropist and a businessman of Ha heritage. He was born and...
2 Reactions
11 Replies
953 Views
Mambo ya mtaa wa mangoma nonstop OLD IS GOLD 1980's mp3
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ndug mwana jukwaa habr za mudaa huu, Ningependa kujua hik king'amuz cha star times kiko vipi katika gharam, na je kwa matumiz ya nyumban kinafaa?
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Juzi wizara husika kwa kushirikiana na vyombo vengine vya kisanaa vilitangaza shortlist ya majina wanaogombea tuzo mbalimbali ikiwemo tuzo za wasanii bora wa muziki Tanzania. Kinachoshangaza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Karibu wote wamezeeka sana, leo nimepata taarifa kwamba Churck Norris ametimiza miaka 82! Ukifuatilia utagundua Anord Schwazenigger, Van Dame na wengine kibao ni zaidi ya miaka 70, Hivi ni nani...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Wengine wanaweza wasikubaliane nami kuhusu hili kwa kuwa kuna wakongwe kama Luambo Luanzo Makiadi, Pepe Kalle, Kanda Bongoman na wengineo ambao walivuma kipindi cha nyuma. Ila huyu mwamba tangu...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Simulizi kutoka kwa Halfani sudy Inaitwa; Red Butterfly Mawasiliano; 0652212391 Sehemu ya kwanza Ulikuwa ni usiku wa saa nane kamili. Usiku tulivu huku kelele za miti na ndege ndizo zikizosikika...
6 Reactions
49 Replies
14K Views
Baraza La Sanaa La Tanzania, Limetoa Vipengele Vya Wasanii wanao Wania Tuzo Za Mziki Tanzania, Pamoja na Majina Ya Wasanii Wanao Wania Tuzo Hizo. Ni List yenye Vituko Vingi Sana. Nimeshindwa...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Meneja wa msanii Alikiba akijibu swali la mmoja wa mashabiki mtandaoni aliyeuliza swali la "Kwa nini albam ya Alikiba haiuzi sana mtandaoni pamoja na kuwa anafanya vizuri? Meneja huyo amejibu...
4 Reactions
3 Replies
1K Views
Soul for Real, is an R&B group from Wheatley Heights, New York, currently living in Atlanta, Georgia made up of brothers Christopher Sherman Dalyrimple a.k.a. Choc, Andre "Dre" Lamont Dalyrimple...
2 Reactions
7 Replies
740 Views
Soul 4 Real, linatambulika kwa ngoma ya "Candy Rain" pamoja na "Every Little Thing I Do". ... Hi-Five, linatambulika kwa ngoma ya "I Like The Way (The Kissing Game)" pamoja na "She's Playing Hard...
1 Reactions
2 Replies
590 Views
Ijumaa hii ya tarehe 11, Diamond Platnumz anaachia ep yake ya kwanza tokea aanze mziki... Ep hiyo kaipa jina la FOA (First Of All) ambayo hash tag yake #FOA imejizolea umaarufu kwenye mitandao...
9 Reactions
359 Replies
27K Views
wakuu kwema? Leo nakutana na mtu ananiuliza eti kati ya Juma nature na Diamond nani zaidi? nikamuangalia nikamuuliza una umri gani kaniambia kazaliwa 2002, nikacheka sana halafu ni mbishi mpaka...
6 Reactions
49 Replies
3K Views
UTATU ‘MTAKATIFU’ The Gangsters HAROLD Jeff, aliacha ghafla kumsikiliza mtu aliyezungumza naye. Alifanya hivyo baada ya kumwona mwanamume aliyekuwa ametoka kwenye lifti iliyopo ndani ya hoteli...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
RIWAYA: UKURASA WA TISA NA: BAHATI K MWAMBA SIMU: 0758573660/0658564341 Sehemu moja maarufu ndani ya jiji la Dodoma kulikuwa na kundi kubwa la watu pembezoni mwa barabara wakiwa wamesimama...
3 Reactions
15 Replies
4K Views
Mi si mtaalamu wa mpangilio wa sauti kwenye muziki, ila nikisikiliza huu wimbo, naona umepangiliwa vizuri na hauchoshi kuusikiliza; najikuta mara kwa mara naurudia tu.
0 Reactions
4 Replies
765 Views
Back
Top Bottom