Wadau wa mobile and pc flight games natumaini mkoa poa. Nataka kufahamu kutoka kwenu ni flight games zipi kwako ni bora .tupeane uzoefu.
Kwangu mimi kuna
1. Realflight simulator
2. Airline...
Ni Tamdhilia ya Mexico, inamagwiji wenyekujua uhusika wao kwa kiwango cha juu.
Siasa, Misukosuko ya familia, Mahisiano hapa ndipo mahali pake.
Gavana Alonso, Seneta Martnez, Mzee wa Mujini...
Yaani mpaka muda itoshe kusema kwamba WCB ndio the best Music label Tena yenye ushawishi mkubwa kuliko zote katika ukanda wa Africa Mashariki na Kati.
Kwa Tanzania zipo music Labels kadhaa ambazo...
Nakutajia baadhi ya nyimbo kali ambazo zilistahili kuwa kubwa lakini hazikupewa nafasi kwenye mainstream.
All my love - Ryan Leslie
Never die- DJ Drama
Going down- DJ Drama
Hiphop - DJ Khalid...
Wanajamvi Naomba msaada wa nyimbo za kiswahili za kusisimua/kuchochea feelings za kufanya sex. Nataka nimiliki hiyo midude kwenya simu yangu ili siku demu akija ndani hasa mida ya usiku,nawasha...
Habarini wanajamvi. Natumaini mko salama na mnaendelea vizuri na pilikapilika za kutafuta riziki.
Mimi ni kijana wa kiume, naishi Dar es Salaam.
Mimi ni mdau wa muziki na mtunzi wa nyimbo ingawa...
Kiukweli TZ tulibarikiwa sana vipaji kwenye kiwanda chetu cha muziki ( Bongo Fleva).
Miaka ya nyuma tulikuwa na vipaji vingi sana lakini kadri miaka inavyozidi kwenye vipaji vinazidi kupotea...
Siku nyingi kidogo nimeacha kufatilia Hip-hop ya Bongo nadhani uzee unaninyemelea ubongo umeanza kupenda vitu laini, mara ya mwisho niliwasikiliza sana Tamaduni Music kina Nikki Mbishi, One...
WASANII WANGU 10 BORA WA HIP-HOP KUWAHI KUWASHUHUDIA HAPA BONGO.
1. PROFESA JAY
2. ALBERT MANGWAIR(r.i.p)
3. JAY MOE
4. JUMA NATURE
5. MWANA FA (Mwanafalsafa)
6. FID Q
7. AFANDE SELE
8. CHID BENZ...
YouTube wametoa orodha ya wasanii waliofanya vizuri kwa kupata watazamaji wengi mwezi February. WCB ( wasafi ) .......+ NLM (next level music). Wameendelea kukiwasha
Orodha ni Kama ifuatavyo:
1...
SIKU moja mbwa wa mwitu alikuja anywe katika kijito cha maji, akamkuta mwana kondoo mchanga akasimama karibu na kijito. Mbwa wa mwitu akataka kugombana naye apate kumua. Akamwambia, “Mbona...
#TBT
Kati ya hizi ngoma mbili,ni ngoma ambazo zimesumbua saana wakati ule je unaweza kuniambia ipi ilikuwa kali zaidi.
Albert Mangwair ft Dark Master__SHE GOT GWAN.
VS
T.I.D ft Jay Moe_ZEZE...
Kila mtu anapenda kufanikiwa kwenye maisha, kila mtu anapenda kupiga hatua zaidi kwenye kila eneo la maisha yake, kuanzia kwenye afya, kazi, biashara na hata mahusiano.
Ni rahisi sana kuweka...
Habari ndugu wananchi wa jamhuri ya Ukraine na Urusi.
Nitangaze kuwa Mimi Ni mdau mkubwa wa vipindi vinavyorushwa na startime's channels St Swahili na St Mambo.
Kilichonileta hapa jukwaani Ni...
50 CENT, GHETTO ECONOMICS NA MUZIKI WA RAP - 2
YO! Peace,
Karibu ufuatilie sehemu ya pili ya mfululizo wa maandishi juu ya 50 Cent, Ghetto Economics na Muzikiwa Rap. Maandishi haya...
Njaa ilipozidi huko Gombe, wazee wakakaa kikao ili kupata ufumbuzi. Baada ya majadiliano ya muda mrefu, wakakubaliana watafute sokwe mrembo. Wamkate mkia na kumremba na kisha wamuoze kwa binadamu...
Nimepita twitter nimeona kuna mtu amemtaja Arturito wa kwenye TV Series ya Money Heist kama "character" ambaye amewahi kumchukia tangu aanze kuangalia "movies" na "tv series".
Inawezekana wapo...
Simulizi : ELIZABETH NEVILLE
Mwandishi : HALFANY SUDY
Imeletwa kwenu na: BURE SERIES
SEHEMU YA 1
Ni asubuhi na mapema ndani ya mji wa Mafinga uliopo mkoani Iringa, Tanzania. Baridi likiwa kali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.