Kwa wale wapenzi wa movies hasa series basi hapa mmefika! Unachotakiwa kufanya ni kuifuata link ifuatayo then chagua series uipendayo, click hilo file (folder) ndani utakutana na episode moja...
Baraza la sanaa Tanzania BASATA limeendelea na uhamasishaji wa Wasanii Kujisajili kwenye mfumo wa Usimamizi Taarifa za Msanii 'Amis' pamoja na kuwasaidia Washiriki kujisajili kwenye Tuzo za Muziki...
NOTEBOOK: SEHEMU YA KWANZA
Mshale wa saa ulisimama kwenye 4 na dakika zake ,Carry alikuwa akijigeuza upande wa pil ili alale vizuri Ila mwanga wa jua ulionekana kumkera pindi ulipomchoma usoni...
Hii beat inazidi kuwa maarufu na wasanii wakubwakubwa East Africa wanaendelea itumia, nilianza kuisikia kwa Atilo ft Jovial such kind of love, akaitumia Diamond naanzaje, ameitumia Rayvanny I miss...
Tunakwenda kuumaliza mwaka 2021 nimekuwa kweny hii industy ya movie mwaka mzima sasa movie zote zilizotoka mwaka huu nmezifatilia kiundani na hizo ndio top 20 kwa movie kali za mwaka huu
1.outside...
Mziki wa bongo umekuwa na mkundi makubwa matatu mabayo ndio yanazungumziwa sana na mashabiki wa mziki makundi hayo ni haya [emoji116]
1. WCB
Hii ni label ya mziki ambayo inamilikiwa na DIAMOND...
Let's look up on this talented artist"Veeboiski "
Let's see what's he ghat
In joining our record deal
He dropped "slowly" in few days back, produced by blenderz
Nduguzanguni waungwana
Nimependa mnipe movie hii ya Tomb of the river ya korea nimependa trailer ikiwa na subtitle au mnipe link yake au website nitayopata hii movie angalizo isiwe na mb kubwa...
Simulizi: UKWELI WENYE KUUMA ( PAINFUL TRUTH )
Mwandishi: NYEMO CHILONGANI
Imeletwa kwenu na: BURE SERIES
SEHEMU YA 1
Msichana Happy alikuwa akilalamikia uchungu ambao ulikuwa umemshika katika...
Binafsi mimi ni mpenzi wa movie zikiwemo za kikorea kuna hiki chuma kibaitwa All of us are Dead kama uliona Train to bunsan basi hii ni yamoto nayo Ok.
Mr lee ni mwalimu wa sayansi wa shule ya...
Kiukweli Mimi si mpenzi wa tamthilia za hapa nyumbani/ bongo movie lakini Kiukweli hii tamthilia ya kombolela mtunzi na director wamejitaidi mno. Uzi tayarii
Huyu jamaa nliana kumsikia kitambo kidogo, I wasn't sure kama yuko serious na game nilimuona mtoto mmoja tu wakishua wakihindi ambaye akishiba biriani ndio anaandika mistari. I was wrong, jamaa...
Kwa washabiki wa HipHop watakuwa wanaijua ile ngoma inaitwa Futi Sita aliyotoa P the Mc kumdiss Nikki Mbishi, baada ya Nikki kuanza chokochoko kwenye ngoma yake ya Welcome to Gambosh
Ngoma ya P...
Huyu jombaa toka Canada mwenye asili ya Nigeria ni moja kati ya Hardcore rapper mnoma kinyama,,Ngoma zake Kali kichizi,,,lakini hizi views Kwa Zuchu anazipata ndani ya wiki tu,,,Sasa jamaa mwaka...
Kwa watoto wa mjini, hapa ndipo palikuwa mahali pao haswa pakuangalia movie.
Hapa sinema za mahaba ilikua mara chaaache, zilizotamba ni za 'Kung fu' za kina Bruce Lee, Bolo Yang, Angela Mao na...
Usiku wa kuamkia leo kwenye NFL walialikwa wakongwe wa West Side. Spoop, Dre, Eminem, 50cent pamoja na Marry J na Kendrick. Walikiwasha Sana Ndani Ya Dikika 14 Tuu Lakini Uwanja Mzima Ulizizima...
Hii ni korean drama iliyotoka mwaka 2017 ina episodes 18.katika series zangu Bora duniani hii inaingia kwenye Top 3 yangu si rahisi kwangu korean drama yoyote kuingia kwenye list ya best series of...
Linapokuja suala la kutajwa series Bora hizo nitakazoandika Mara nyingi hazitajwi lakini Ni Kati ya series Bora kabisa inawezekana na kutoangaliwa na watu wengi au lah!
1. Banshee
Tumezoea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.