Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
WADAU KWEMA? Poleni na majukumu. Wakuu nimezitafuta hizi ngoma bila mafanikio mwenye nazo kupitia kifaa chochote naomba(simu,P.C au Compyuta n.k) 1.JAY MO FT NGWAIR&BAMBOO__NISAMEHE. 2.NGWAIR...
1 Reactions
8 Replies
537 Views
Ni upande upi naweza kupata tamthilia ya familia yangu
0 Reactions
2 Replies
415 Views
Salaam Wakuu, Niliposikia huu wimbo wa Zuchu wa Mwambieni niliupenda sana ulinikumbusha Nyimbo za Saida Karoli. Nilipoona Challenges mbalimbali na mitindo ya uchezaji Instagram na Tik Tok...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Mawasiliano namba: 0718069269 Sehemu ya 01 Watu walishika vichwa vyao, vinywa wazi kuonyesha mshtuko walioupata, kila mmoja alikuwa haamini alichokuwa akikiona mbele ya macho yake. Ajali mbaya...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Jana na juzi na hata sasa , mji umezima ghafla, Rekodi inaonesha vifurushi vya internet vimenunuliwa Kwa wingi Sana siku ya juzi na hasa Jana Vijana wawili wa Diamond Platnumz wameusimamisha mji...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
MWAGIA HUMOHUMO:Sehemu Ya Kwanza (1) Toka nimezaliwa nimekuwa mwanamke mwenye mkosi kila mpenzi wangu mwanzo wa mapenzi yalikuwa motomoto. Lakini baada ya muda fulani mwanaume alinimwaga bila...
2 Reactions
20 Replies
11K Views
Madogo wameua kinyama asee.
4 Reactions
8 Replies
495 Views
Dina (sio jina halisi) ni mama wa watoto 3 ambao wote kwa sasa wanafanya shughuli zao na wako vizuri. Wakati anaolewa alimkuta mumewe na watoto wawili. Katika malezi aliwalea wote kwa usawa bila...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Kwanza natangulia kuomba msamaha kwenu wapenzi wa mpira wa miguu wa simba na yanga lakini pia naomba ukweli huu uwapenye. Inauma sana pale tunapojivuna kwa watani zetu kuwa watani zetu hawachomoi...
0 Reactions
3 Replies
849 Views
Nautafuta sana ule wimbo wa mwanadada Pauline zongo guitar girl, ndoa ya mateso, nimeshindwa kuvumilia kila mwanzo huwa na mwisho wake mwenye nao aniambie nimtumie contact yangu anitumie whatsaap.
2 Reactions
24 Replies
9K Views
Nimepakua series inaitwa Wu Tang Clan mpaka sasa nipo S02 ni kali mno kama ni mpenzi wa hizo mbanga hii si yakuacha kabisa. So naomba kama kuna series inayofanana maudhui kama ya hii Wu Tang...
2 Reactions
2 Replies
532 Views
Natafuta Korean series inayoitwa Arthdal Chronicles....! Nimehadithiwa habari yake kwa Uchache, kuhusu Igutu wenye Damu yenye rangi ya Zambarau...!!! Wapi naweza ku download hii series..!??
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Unaimbwa "ni upepo huu unavuma kila mahali wangu kipepeoo chunga usikutupie mbali mi wako ua taratibu bado nachanua" kama kunamtu anaufahamu anifahamishe jina la wimbo na msanii,mara nyingi...
0 Reactions
1 Replies
742 Views
Hatimaye mkali wa muziki wa bongofleva chini ya jangwa la Sahara....Leo amefanikiwa kufikisha views million 100 ndani ya mwaka mmoja akiwa amemshirikisha papaa mobimba .....aka koffi olomide...
3 Reactions
28 Replies
1K Views
BORA NIKAOE TANGA Bora nikaoe Tanga, tena binti wa Pangani, Yule anovaa kanga, na mitandio kichwani, Aongea kwa kuringa, na lafudhi ya kipwani, Awe na kauli njema, kwangu na kwa ikhwani. Pangani...
15 Reactions
37 Replies
4K Views
Wadau kwema? Hivi ni app gani au Website gani naweza nikapata nafasi ya kupakua zile ngoma za kitambo kuanzia miaka ya 2000 huko kwenye game ya Bongo Fleva. Mfano ngoma za kina Jay...
0 Reactions
0 Replies
731 Views
Nisaidieni kutengeneza playlist ya amapiano mpya mpya sio zile za john vuligeti. Anza kuorodhesha
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Filamu ya BINTI @bintimovie ni filamu ya kwanza ya Kitanzania kuoneshwa katika mtandao wa filamu mitandaoni kwa jina la NETFLIX. Filamu hiyo inaelimisha mabinti kutotamani maisha ya wenzao ikiwa...
6 Reactions
44 Replies
5K Views
Kama umeanza kuangalia series ya john cena ya peacemaker iliyoandikwa na kuandaliwa na James gunn kutoka DC basi ni moja ya series alizotoa boko kwanini? Series ina sexual scene yaani nusu utupu...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Hawa ndio wasanii 5 wa Hip hop bora wa muda wote 1. Afande sele- Rhymes king namuita genious 2. Proffesor jay- Real life bars legend 3. Fid Q- Analytical and critical thinker 4. Sugu- Activist /...
10 Reactions
55 Replies
4K Views
Back
Top Bottom