Habar wadau wa michezo,
Baada ya kelele nyingi za muda mrefu kua Tanzania marefa wetu Hua wanaboronga mechi kutokana na kufanya maamuzi ambayo yanaleta utata nimeona ni Bora wawawekee waamuzi...
Habari Mh Rais!
Kuhusu kinachoendelea kwenye suala la milabaha kinachoonekana mahesabu take yametengenezwa katika mazingira ya kiupigaji na kizurumati ,
Kuna wasanii wakubwa sana wa zamani...
Wadau wa Hip Hop umu JF, heshima kwenu wakuu!
Binafsi, kila ninapoitazama hii video ya 'Bongo Hip-Hop' by Fid Q ft. P Funk na kuilinganisha na videos zake zingine zote tangu yupo kwenye hip-hop...
Ni wasanii wachache sana bongo waliofanikiwa kutengeneza nyimbo ambazo ni classic. Classic ni zile nyimbo zenye uhai mrefu na uzuri wake uwa haupotei miaka na miaka. Sio kila hit song ni classic...
Kwangu mimi "it's not easy" ndo wimbo wangu bora zaidi ambao sijawahi kuchoka kuusikiliza ..
Uuuhhh! yeaahh haahh ahh
Lord of mercy!
I remember the day I called mama on the telephone
I told her...
Wapendwa,
Hakuna ubishi kuwa huu wimbo ni wa zamani sana na sijui mwaka gani ulitungwa na kuchezwa ila kwa kweli naupenda sana maudhui yake!!
Wakubwa wanasema umejaa mafumbo matupu, anayejua...
EP.01
Kaka yangu Denisi alikuwa ni dereva wa magari ya mikoani. Kupitia kazi yake hiyo, aliweza kujenga nyumba kubwa ya kifahari na mke wake ila hawakuwahi kupata mtoto kwa muda wa miaka minne...
Utangulizi.
'Mama watoto' aliridhia mimi kuandika simulizi hii kwa masharti makuu mawili. Moja nijitahidi kutoacha mlango / milango wazi itakayoruhusu watu kuunganisha dots...
Masharti mengine...
Nimepata nafasi ya kusikiliza nyimbo mpya ya mkongwe wa hip hop Tanzania Professor Jay lakini kwa mtazamo sijasikia kitu kipya ,Mkongwe huyu anapotoa track basi itakuwa ni gumzi mitaani
Hii...
Kati ya Francis Ngannou, Kamaru Usman na Israel Adesanya yupi ni MMA fighter mwenye asili ya kiafrica unayemkubali zaidi? Personally namuelewa dogo Israel The Style Bender kwa machejo yake...
Juzi kati episodes tatu za series ya Peacemaker zimetoka. Nimeikubali sana, bila shaka itakuwa series bora sana. Na ina soundtracks za ukweli. Unaipa ngapi?
Muziki wa Tanzania ni jina la kutaja muziki wenye asili ya Tanzania ya leo. Kama ilivyokuwa kwa binadamu wengine, wakazi wa eneo ambalo hatimaye limekuwa nchi ya Tanzania, walikuwa na utamaduni...
Ngoma kali sana,
Ila kama ni kweli amemuimbia Vee I doubt if it's true kwamba vee hayuko na amani wakati she seem very happy. That aside, jux ni msanii mkali wa RnB na ana fan base yake ya ukweli...
Niaje wazee? Natumai mnaendelea vema huku mkiendeleza mapambano dhidi ya janga hili la Corona. Tafadhali usipuuzie, ni serious na inaua. Usingoje serikali ikuchukulie hatua, bali chukua mwenyewe...
sehemu ya 01
Sikumbuki nillifikaje nyumbani, ila nakumbuka mara ya mwisho nilikuwa safarini kwa ajili ya likizo ndefu ya mwezi wa kumi na mbili. Ila si tu kufika nyumbani, nilifikaje nyuma ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.