Wakuu wale wapenzi wa nyimbo za kale naomba kama kuna mtu anaweza kuwa na nyimbo ya Mzee Makasi -Anifa tafadhali anisaidie nyimbo ina nikumbusha mbali Sana laakini namna ya kupata nimeshindwa...
Nimeamini ushabiki ni kitu kibaya sana haina utofauti na urahibu wa madawa na pombe.
I'm so soooooooo happy today yaani naumaliza mwaka vizuri Mungu akipenda shukrani za pekee kwake Daisy Skye...
Habari waungwana,
Nimekuwa mfuatiliaji wa tamthilia ya Siri ya Mtungi tangu sehemu ya kwanza mpaka sehemu ya mwisho iliyorushwa juzi.. Kwa kweli nikiri tu hakuna tamthilia iliyowahi kutengenezwa...
Kufuatia uteuzi uliofanywa na Ikulu ya Zanzibar kwa Charles Hillary kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Charles Hillary bado yupo kwa mwajiri wake Azam Media na muda huu anaendesha...
Enzi zetu bana hasa sisi watu wa huku Mbeya kulikuwa hamna kabisa majumba ya sinema, badala yake movies zote tulikuwa tukizitazama video shows.
Mfano Mbeya Mjini Video show maarufu zilikuwa...
UKWENI PAMOTO JAMANI; POLE MCHUMBA WANGU.
Na, Robert Heriel
Chereko chereko ziliendelea pale nyumbani. Vigele gele na vifijo vilirindima. Mtaa mzima ulijua kuwa Siku ile Mchumba wa Taikon anakuja...
Nipe 3 bora zako....
1. OCG- Kazeze
2. Mangwea- a,k,a Mimi
3. Prof Jay - Msinitenge
4. Solothang – Sukari ina PiliPili
5. Mwana Fa – alikufa kwa ngoma
6. Solid Ground Family – Mechi Kali
7...
KUMEKUCHA TOT CHAMA CHA MAPINDUZI KUISUKA UPYA ILI IENDANE NA USHINDANI WA KIMUZIKI NCHINI
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, Jumatatu 27...
Zifuatazo ni baadhi ya movie zangu kali nilizokuwa nazipenda sana wakati wa utotoni!
Commando - Arnold Schwarzenegger
Double impact - Van Damme
Drunken master - Jackie Chain
Hadi...
Heshima yenu wakuu
Niende moja kwa moja kwenye mada wapenda movie nawaomba hapa; nilikuwa ndani ya gari naenda mkoani ndo nikakutana na hii movie ya JOHNNY MAD DOG
Sijawahi kuiona ndo ilikuwa...
TAMTHILIYA: CHALLENGE MADE.
SEHEMU: 1
MUANDISHI: WINIFRIDA THOBIAS.
Usiku wa saa tano katika hospitali moja iliyopo nnje kidogo ya jiji la dar es salaam alionekana mwanamke mmoja aliyekuwa...
Mwandishi: Nyemo Chilongani.
Sehemu 01
ANGALIZO: Kazi ya Fasihi ni kufundisha, kuburudisha na mengine. Hiki kichombezo hakitokufundisha chochote, kitakuburudisha tu. Kama hupendi vitu vya ngono...
Wakuu kwema.
Naomba kujua ngoma kali Za Rapa Meek Mill....Zile kali haswaaa mwenye kuzifahamu naomba azishushe hapa. Kwa kuzitaja tu itatosha then ntazitafuta...Asanteni.
#Forgive Me
(verse 1)
Tanga kwa kweli ni kijimji kidogo,
na pia kuna mambo ya uswahili si kidogo.
lakini habari zake kwa kweli ni kubwa,
na mji ule ukiuvamia kwa papara palee,
mengi yatakukumba!
Ukifika Tanga...
Habari,
Nahitaji kudownload movies kwaajili ya kuenjoy week hii, Sasa ninaomba kila mmoja anitajie movie yake pendwa ambayo imemkosha 2020-2021 ili kutokana na majina ya movies hizo na Mimi nipate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.