Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Dominika njema.
2 Reactions
3 Replies
171 Views
SONEL - POSTA. Chorus.. Posta posta city centre Posta posta city centre Posta posta Dar hii bwana kila mtu ukimuuliza anakwenda posta / Say.. Verse.1.. hi ndio posta Dar town city centre /...
0 Reactions
6 Replies
309 Views
Habari, Ombi hili la Azam TV ni kwa sisi wapenda muziki, tunaomba mtuongezee channel ya Trace Naija. Asante
2 Reactions
11 Replies
443 Views
Naombeni mnitajie app ha kudownload music naona Vidmate inanizingua Kila nikidownload nyimbo inaishia nusu naona kama app hii imeshakua mizinguo inakera
0 Reactions
1 Replies
259 Views
Wakenya wajanja sana. Wametafuta njia ya kuyachota mahela ya msanii Diamond, njia pekee waliyoona ni kumwalika kwenye show na kutengeneza mazingira ya yeye kuvunja mkataba. Paap akaingia kwenye...
6 Reactions
56 Replies
2K Views
Kama Kuna wengine unaowajua Ruksa kuongeza. Juma Nature aka Kiroboto - Sinta mpaka Nyimbo kamuimbia. Mb- Dog --- Nancy Sumari Mpaka Nyimbo kamuimbia Jagwa Kuna msanii wa mnanda alimuimbia -Asha...
0 Reactions
4 Replies
390 Views
Nyota wa muziki kutoka Bongo, Diamond Platnumz, amethibitisha ukubwa wake katika tasnia ya muziki baada ya kutajwa kama msanii aliyeongoza kutazamwa zaidi kwenye mtandao wa YouTube nchini Kenya...
0 Reactions
11 Replies
728 Views
Nilikuwa naomba kujuwa sehemu gani kwa dodoma wanauza suit za special affordable price
1 Reactions
2 Replies
282 Views
Jana usiku kulikuwa na Tamasha pale Nairobi ambalo moja ya Wasanii walioalikwa kutumbuiza ni Wasanii kutoka Tanzania, Diamond Platnumz akisindikizwa na Zuchu huku Msanii mwingine akiwa Rayvanny...
20 Reactions
135 Replies
6K Views
Simulizi: Kurudi Kwa Moza Mwandishi: ATUGANILE MWAKALILE Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Moza alikuwa msichana mrembo ila aliishi maisha ya shida na kumfanya ajaribu kufanya kazi za...
4 Reactions
315 Replies
68K Views
As a music lover, I believe I could name you many. What comes to my mind now & as an answer to your precise question is: “I belong to you”, by Jacob Lee. Enjoy!
7 Reactions
175 Replies
6K Views
Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz afichua kuwa alilipwa dola 150k sawa na TSh. Miloni 374 (373,554,903) kutumbuiza nchini Kenya katika show iliyovurugika mwisho wa wiki. Taarifa hii...
4 Reactions
0 Replies
499 Views
Wakati nasoma shule ya msingi kulikuwa na watu mbalimbali wanakuja shuleni kufanya maonyesho ya mazingaombwe, yale maonyesho yalikuwa na buradani ya aina yake, wanafunzi wengi walikuwa wanalipia...
23 Reactions
119 Replies
3K Views
Japo ya kuwa ni nyimbo za zamani ila always ukiweka bado unapata burudan hile hike. 1.nisamehe ya belly black ft Suma lee 2.ulofa ya top c 3.sina raha ya Sam wa ukwel R. I. P 4.lala salama ya...
6 Reactions
56 Replies
3K Views
Japo mimi sio mtazamaji wa hizi mbanga za bongo ila kwa bahati nimekutana na huyu msanii STEVE MWEUSI ana kipaji apewe support atafika mbali.
5 Reactions
12 Replies
2K Views
MASIKINI WEZANGU - NGWEA. Wachache ndo wanaishi wengine maescorts/ Twiga wanapanda pipa hata bila ya passports / Mikoa mingi bado haina hata airports / Zaidi ya migodini madini kuyaexport / Bila...
1 Reactions
0 Replies
191 Views
MTUNZI: SHAABAN ROBERT. WACHAPISHAJI : Tanzania Publishing House. Dar es Salaam. SURA YA 1 Mfalme Rai Rai, mfalme wa Ughaibu , alikuwa mfalme namna ya peke yake duniani. Alikuwa na tabia...
7 Reactions
45 Replies
11K Views
A man of the people Enters his office to sit on the throne of Party and State, His stick of power Across the table. He looks into the files To see the demands Of the millions of people Who for...
0 Reactions
4 Replies
399 Views
Back
Top Bottom