Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Kwenye swala la muziki ,wera namuelewa sana toka bcbg kitambo tu. Wera yuko vizuri sana kwenye utunzi, pilika za jukwaani hawezi, nakumbuka bcbg adolph domingez na Emilia walikua wanamtoa...
0 Reactions
3 Replies
500 Views
Nitaanza na hii ya Songa kwenye Hisia za Moyoni. "Imani ni bora kuliko dini"
10 Reactions
37 Replies
1K Views
Heshima kwenu nyote. Kuna movie moja ya Kizungu niliwahi kuona jina lake humu ndani ila ni miaka zaidi ya mitatu nyuma nimesahau jina. Hiyo movie Starring hajui kupigana, yupo na mke wake na...
5 Reactions
48 Replies
1K Views
Nyota za "Hollywood Walk of Fame" ni alama za mafanikio katika sekta ya burudani, zikibeba majina ya wahusika mbalimbali kama vile waigizaji, wanamuziki, producers, directors, vikundi vya...
2 Reactions
1 Replies
314 Views
Ni tamthiliya ambayo ilikuwa na kisa kizuri ambacho naamini kama wangepatikana watu wenye ujuzi au uzoefu zaidi wangekiandikia na kukicheza vizuri zaidi. Pengine lugha pia inapunguza utamu kwa...
5 Reactions
13 Replies
3K Views
SIMULIZI: NAITWA MUME ZOBA KWA KUMPENDA MKE WANGU. SEHEMU: 1 MTUNZI: Madodi ✍🏼 Whatsapp: 0655 969 973 Naitwa Iqram, kijana mrefu, mweusi mwenye tabasamu la kuvutia ambalo lilikuwa na uwezo wa...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
JOE MAKINI - HAO. A city Your now lucking with the best. Joe makini Aaah.. Yeah. Aaah.. Verse..1. Hawa ongopi hata kusema hukumu imekaribia/ na waimbaji wa dini na hata wao pia/ wanatuzwa na...
0 Reactions
3 Replies
303 Views
Oh na na naaaaa! Eyaaaah INACHOMA 1. Nimeajiriwa kwenye Ajira niliyojiajiriii, Na ninasifiwa utendaji Wangu wa kazi ni nzuri, Navumilia huenda nitapata kivuli, Nitapata kivuli imeshakata miaka...
1 Reactions
17 Replies
609 Views
Wakuu Mwanamuziki maarufu wa dancehall kutoka Jamaica, Sean Paul, aliwasili Tanzania jana (Novemba 29) kwa ajili ya show yake inayotarajiwa kufanyika leo. Katika mahojiano na Bongo 5, alipoulizwa...
8 Reactions
64 Replies
3K Views
JOE MAKINI - DAKIKA 90 Nafika home kisha mama yako anakueleza ndani ya hi game umefunikwa na joh makini mwamba wa kasikazini/ utamjibu nini umefanya kweli kiasi ambacho imewapindi kupana...
1 Reactions
0 Replies
201 Views
1. Apocalypto (2006) 2. Indiana Jones and the Last Crusade (1989) 3. The Lord of the Rings: The Two Towers (2002) 4. The Empire Strikes Back (1980) 5. The Shawshank Redemption (1994) 6. The...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Huu ni Uzi maalum wa kupata flashbacks za nguvu kutoka nyumbani Tanzania Na hata nje ya Tanzania. Karibuni kwa audio, video Na lyrics..
0 Reactions
8 Replies
298 Views
ADILI HISABATI. ---------------------------------------- "Rapper mkongwe na hitmaker wa ngoma inaitwa ‘Peke Yangu’ Adili Mkwela a.k.a Hisabati .. nimefanikiwa kupiga nae stori nae kuhusu...
1 Reactions
2 Replies
657 Views
Wakuu hio movie ya Io capitano naipataje ni bonge la movie la machalii 2 wakitoroka kwenda Italy mwenye nayo anitumie jmn
4 Reactions
2 Replies
538 Views
1: Nas - New York State Of Mind "I never sleep, cause sleep is the cousin of death. Beyond the walls of intelligence, life is defined. I think of crime when I'm in a New York state of mind" 2...
7 Reactions
62 Replies
1K Views
Nimeanza tabia mbaya tangu nikiwa shule ya msingi, nimefanya na watu wengi sanaa tena sanaa. Lakini kwanini naandika kitabu hiki?? Ni kwa sababu ninataka ufahamu kitu; kuwa tangu nianze kuwa na...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimetulia mbele ya kioo cha TV nikasema leo nisikilize nyimbo za injili ili kuiandaa ibada ya jumapili. Kama mnavyojua walevi na wapenda starehe huanza kujiandaa siku ya ijumaa hivyo nami nikasema...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari wadau leo nimejaribu kutumia AI kuandika hadithi ya kijasusi iliyomhusu bwana mdogo Daniel Khalife(Ex-soldier). Twende pale :) Katika ulimwengu wa kivuli na hila za kijasusi, jina Daniel...
2 Reactions
0 Replies
468 Views
Albamu ya Apollo ya Fireboy DML: Safari ya Upekee katika Muziki wa Afro-Beatz Katika ulimwengu wa muziki wa Afro-beat, albamu ya Apollo ya Fireboy DML ni mfano halisi wa ubunifu wa kisanaa na...
1 Reactions
8 Replies
345 Views
MFUMO WA UUZAJI WA ALBUM AMA KAZI ZA WASANII.. Wasanii wa Tanzania wana sababu nyingi sana za kwanini hawatoi album. Baadhi ya sababu kama kufa kwa mfumo wa uuzaji wa album uliokuwa ukifanywa na...
0 Reactions
7 Replies
312 Views
Back
Top Bottom