Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

kanumba akiwa na 21yr's alicheza filamu hii, watu wengi sana hawajawahi kuiona ila sasa ipo YouTube nenda kaitazame.
1 Reactions
6 Replies
453 Views
Hey, hey, hey, hey If you want to be happy for the rest of your life Never make a pretty woman your wife So for my personal point of view Get an ugly girl to marry you If you want to be happy for...
0 Reactions
4 Replies
322 Views
Ili umuelewe lazima uwe umesoma Cuba au una C flaat kwa sababu nikki mbishi huwa hawaimbi vilaza kabisa.Yeye yupo mbele muda https://www.youtube.com/watch?v=hdA0WP4skII
4 Reactions
38 Replies
1K Views
Baada ya miaka mingi ndio sasa tunaanza kumuelewa Diddy na janja janja zake. Wakati wanajua namna pac alivyokuwa analalamika kwa kuwaanganisha bad boys na tukio lake kupigwa ila bado waka toa...
0 Reactions
1 Replies
292 Views
Nikiwa kama mdau mkubwa wa muziki wa bongo fleva huwa naona kuna kitu kabisa kinamiss! Hawa wasanii wetu wa kuimba ambao tumekuwa tukiwaita wabana pua namna yao ya uimbaji huwa haishawishi kabisa...
12 Reactions
60 Replies
1K Views
MSANII DUDU BAYA. Msanii Godfrey Tumaini maarufu kwa jina la Dudu baya, amefunguka juu ya wimbo ambao ulimpa umaarufu " Mwanangu Huna nidhamu" Msanii Godfrey Tumaini maarufu kwa jina la Dudu...
3 Reactions
4 Replies
632 Views
  • Poll Poll
Helo! Zoezi la upigaji kura kwa ajili ya tuzo hizi umeanza. Pigia kura wimbo wako bora kati ya wasanii hao waliofanya vizuri Afrika kwa mwaka wa 2024.
2 Reactions
9 Replies
439 Views
Mzee wangu aliwah kunambia kuwa ntapata shida sana nikiwa mtu mzima dunia hii. Sabab aliniona ni mtu ninayependa na ku enjoy ukwel na hii imesababisha nikose hata marafiki wengi. Hizi movie za...
9 Reactions
56 Replies
6K Views
MWANA FA ( SONG - NAZEEKA ) Wote bado wana fuata mi ni kama mdundiko/ hata ujifiche wapi sauti itakufuata ulipo/ busara na maumivu katikati ya kauli zangu/ mimi ni kaka mkubwa jamaa msibishane...
0 Reactions
4 Replies
516 Views
Ukisikiliza nyimbo za kihaya na Design yake ya uchezaji, vikitumika vizuri tunapeleka Bongofleva kwenye Grammy. Grammy wanapenda vitu asilia, na sio vya ku-copy. Ukisikiliza hii nyimbo ya...
0 Reactions
1 Replies
245 Views
Hello Jamii Forums, Naombeni support, nifikishe walau Views 500 kwa project yangu ya hivi karibuni, na walau Subscribers 100. Mimi Ni Producer/Songwriter na kwenye nyimbo zangu najaribu mix...
0 Reactions
4 Replies
189 Views
[Blue] yep yep kushuka na kupanda, jana tumeshuka cheki leo tunapanda nimepata idea ya kusambaza kanda, nimepata show za kenya na uganda burundi na rwanda, twende pamoja twende tukasake chanda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu, natumai mko poa. Nimekuwa mpenzi wa vitabu kwa muda mrefu, pia nimewahi kusoma vitabu vingi, ila niseme tu hichi kitabu sikuwahi kukimaliza nadhani wakati kinatoka sikuwa...
1 Reactions
48 Replies
8K Views
SISTER P FT. UNIQUE SISTERS "NIMERUDI TENA" ""Nimerudi Tena nina maana katika fani/ nataka kukumbuka Enzi zangu za zamani/ niliposhika mic watu walinipenda/ nikawa kimya kidogo watu wakaponda/...
3 Reactions
7 Replies
483 Views
CHANGAMOTO ZA WALIMU KATIKA TAIFA LETU LA TANZANIA.. "kutokana na uhalisia kwamba hali ya elimu kuzidi kuwa mbaya nchini hali hii imetokana na Changamoto zinawakabili walimu kama ifuatavyo:-...
0 Reactions
1 Replies
351 Views
THAMANI YA MWANAMKE KATIKA JAMII. Mwanamke amekuwa nguzo muhimu sana ndani ya familia pale ambapo mwanaume anakuwa hajui wajibu wake ndani ya famili , Hii imekuwa ina tokea katika nyakati...
1 Reactions
1 Replies
220 Views
UMUHIMU WA ELIMU. Dunia ya leo inahitaji utaalam/ufundi wa namna nyingi/Mbalimbali kwa mtu mmoja ili afanikiwe na kuwa kivutio katika soko la ajira na kuweza kwenda na wakati kulingana na...
1 Reactions
2 Replies
200 Views
CRAZY BUFFA FT ZAHARANI.. - MUELIMISHAJI.. Masela wote...!! kaeni chocho...!! Madawa ya kulevya haina ya faida kwako.. ebu sikiliza Eeeh.. huyu ni muelimishaji Eeeh Eeh..!!! Verse ..1. ( crazy...
0 Reactions
0 Replies
160 Views
BRONX FAMILY - MAMBO YOTE. "Huu ni mwanzo wa chimbuko wa Hip Hop ya Bongo walikuwepo Gwm, niggers 2 public na k wa kwanzania , Mic walishika wakiwa ma mc wenye vipaji ingawa kuna wengi walipinga...
0 Reactions
0 Replies
139 Views
K ARATA DUME - AFANDE SELE Alichoimba kwenye Karata Dume kilitimia !! Baada ya mtoto wa afande sele mwana Dada " Tunda" kubukua mitihani kidato cha 6 mwaka 2019, Afande Sele msanii mkongwe wa...
1 Reactions
0 Replies
326 Views
Back
Top Bottom