Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Wimbo wowote wenye mahadhi ya rhumba tupia iwe kwa lugha yoyote wewe tupia tu sio lazima kilingala. Ferre gola- marathon
10 Reactions
77 Replies
2K Views
Ni movie ipi ambayo uliichukua ukaingalia mara ya kwanza hukuielewa ukarudia mara ya pili ndo ukaelewa, au pengine hata mara ya pili pia hukuelewa ikabidi ulizie kwa watu waliyo iona wakueleweshe...
8 Reactions
55 Replies
1K Views
SIMULIZI: ELIZA NA NDOA YANGU SEHEMU YA KWANZA (01) man Middo +255 655 969 973 Ilikua 2012 nilipata kumaliza kidato cha 4. Nilijijua kuwa nitafeli tu kutokana na sababu ambazo ndugu na mama...
6 Reactions
60 Replies
22K Views
SIMULIZI: SABABU NI KIFO CHAKO BABA! (Kisa cha kweli cha kusisimua) SEHEMU YA KWANZA (01) MTUNZI: Man Middo Tz +255 655 969 973 Hakika kila kukicha shukrani kwa Muumba kwa kukufikisha siku...
2 Reactions
29 Replies
5K Views
Yeah...!! Aaah Aah Aah Dar es salaam stand Up Again.. Kg song Chuma. Aaah Aaah Aaah Verse.. 1. ( chid benz). Najulikana kama Ugali msingi na Secondari/ Boma primary mita chache na usawa wa...
1 Reactions
1 Replies
227 Views
RIWAYA; BAHARIA NA;BAHATI MWAMBA SIMU; 0758573660 VITABU VILIVYOPITA. • MPANGO WA CONGO • DAKIKA ZA MWISHO • URITHI WA GAIDI • OPERESHENI JICHO LA PAKA • SAUTI YA MTUTU • MBWA...
14 Reactions
220 Replies
62K Views
WATU PORI - NAFSI YA MTU. Watu pori a.k.a washamba a.k.a washamba a.k.a washamba /nyani wapya msitu wa zamani beat mjerumani mambo yote kwa Bonnie/ Sikiliza haya ninayo kueleza leo na kesho...
0 Reactions
4 Replies
636 Views
PROFESOR JAY FT LB GENIUS & IMAM ABAS " NA BADO" Natumia nafasi hi kudhibitisha kipaji changu/ nikiwa ni mkakati wa kuinua jina langu/ na huu sio mkwala tu ni msisitizo wenye nia/ kama kipaji...
2 Reactions
9 Replies
466 Views
Sikuwahi kuwambia watoto wangu kuwa nilikua nafanya kazi gani. Kamwe sikutaka wajihisi aibu kwasababu yangu, pindi binti yangu aliponiuliza nilikua naenda kufanya nini ninapotoka, nilitumia muda...
1 Reactions
1 Replies
491 Views
Wakuu ushauskiliza huu wimbo wa marioo uitwao 2025. Ukiuskiliza huo wimbo ni ameongea mapnzi tu. Akisisitiza kuwa atadumu na mpnz wake Hadi 2030+ Sasa huu wimbo ukiuskiliza kwa upande wa...
0 Reactions
4 Replies
383 Views
ALBUM YA PROFESOR JAY "MACHOZI ,JASHO NA DAMU https://www.facebook.com/100064569174258/posts/pfbid0Eksw2k3qTSg3kzXd5H6BtXzEYYNiNtGTXA6K24WvMf2U6zETpBsMxgtCTF6L1u2yl/?app=fbl "Machozi Jasho na...
1 Reactions
2 Replies
220 Views
Wanabodi, leo nikiwa natoka mahali kwa kutumia public transport, ukapigwa wimbo wa King Kikii, kitambaa cheupe, hivyo from no where, nimetokea kumkumbuka mwanamuziki mkongwe huyu, jina kamili ni...
4 Reactions
34 Replies
5K Views
Baadhi ya watangazaji wanatumi majina bandia(AKA) kwa sababu mbalimbali kama vile ubaya wa majina Original, jina kufanana na la kwenye bibilia mfano Yohana, Yeremia, Petero nk. Kwa hakika sababu...
5 Reactions
123 Replies
3K Views
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!. Watanzania wengi wameshakata tamaa ya maisha na hii si kwa wasiyo nacho tu, bali hata kwa walionacho!. Kila mtu anatafuta pesa kwa njia anayoifahamu yeye...
45 Reactions
370 Replies
93K Views
Mkasa : NDOA ILIVYOTETERESHA IMANI YANGU Mwandishi: IRENE MBOWE (Irene Mbowe Kungwi Lao) Imeletwa kwenu na: BURE SERIES Hiki ni kisa cha ukweli kabisa, anachokielezea Flora, Mwanamke ambaye...
2 Reactions
93 Replies
14K Views
Huyu mzee wakati huo sijui alikuwa anawaza nini wakati anatunga huu wimbo . Kweli muziki ni fasihi ya wakati. Ukiangalia kwa nyakati za sasa ni kama vile kuna mtu(kiongozi) anaona matatizo ya Watz...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Mwamba aliweza kuja na biti kali ambazo zilikuwa na chembe chembe za sound za mwambao akichanganya sound za dance hall. Aliweza kutukosha zaidi na ngoma ya "na wewe tu" na "najua"...
2 Reactions
5 Replies
320 Views
wakuu natafuta nyimbo ya mr blue ile tabasam yenye version ya Q chief. Kila nnayoona kipande cha Q chief kimeondolewa. Mwenye nayo tafadhali. Mim kijana wa zamani nikumbukie enzi yetu
2 Reactions
8 Replies
629 Views
Karibuni kwenye uzi maalumu kwa wale wapenzi wa Comics (Super heros) hasa kwa mashabiki wa DCEU movies na MCU movies. Mimi ni mshabiki wa Marvels hasa Doctor Strange upande wa DC nampenda Joker...
17 Reactions
3K Replies
114K Views
WAKILISHA - SWANGILISH Najiuliza hili swali sipati jibu kamili / Tunacho ongea wabongo kimombo Au kiswahili/ mkoloni katufilisi kiuchumi na kiakili/ anataka tufikiri tuna nuksi tusishamili/ ma...
0 Reactions
3 Replies
229 Views
Back
Top Bottom