Nimependa mashairi, hakuna kulambalamba watu. Kijana kayapanga masishairi balaa. Sio kama ngoma za kina chuchu zimechuja hata kabla hazija tumika. Link hii hapa, kula mzigo mnono huo kwa majivuno...
Hii aina ya mziki ni ovyo sana!
Haifundishi jamii zaidi inaharibu.Wasanii wengi wa huu muziki mwanzoni walikuwa wapiga roba na waliza watu tu.
Uchezaji wake wa hovyo yaani ni vurugu.Inakuwa si...
Leo ktk pita pita zangu WhatsApp status video nikamwona cousin wangu kaweka wimbo huu wa wanamziki wa Gospel wanaitwa "Makoma"
Doh ulinikosha sana naupendaje alafu hauchuji unaitwa Butu na Moyi...
Mtunzi Nyemo Chilongani
Sehemu ya 01.
Nilikuwa chumbani kwangu, kichwa changu kilikuwa na mawazo tele. Akili yangu ilichanganyikiwa, kulikuwa na mambo mengi ambayo yalinichanganya kipindi...
RIWAYA; CHELEWA UZIKWE!
NA; BAHATI K MWAMBA
SIMU; 0758573660/0624155629.
DAR ES SALAAM….
Kelele za muito wa simu zilimuamsha katikati ya usiku mnene. Alijivuta kivivu huku akijaribu...
Mkongwe kwenye kazi za kimafia na muuaji wa kukodiwa asie na mipaka john wick,anastaafu hiyo kazi baada ya kuoa na kutulia na mkewe.
Baada ya mkewe kuugua ghafla na kufa, John anabaki kwenye...
.
By Sangu Joseph
.
Unajua ukishakuwa Msanii Mkubwa kuna hatua 2 ambazo utajikuta unazipitia unategemea na hatua uliyokuwa nayo Kwa wakati huo na wewe unazihandle vipi.
Hatua ya 1 ni KUSHAMBULIA...
Habari Wanabodi,
Kuna Videos na Movies ambazo mara nyingi sana ukipanda gari la kusafiri kwenda Mkoa lazima ukutane nazo ndani ya basi hasa kwa hizi Luxury Bus.
Kuna hizi;
> Majuto, JB na Dokii...
.
By Sangu Joseph
.
Kwenye Uchambuzi wangu nimeeleza huenda Alikiba akashushwa kimuziki na Konde Boy Harmonize, Kwa sababu Tu wanaomsupport Kiba ndiyo haohao wanaomsapoti Konde Boy.
Kitakachokuja...
Habari ya saa hizi brothers and sisters, ni matumaini ya mtima wangu kuwa nyote ni wa buheri wa afya...
Ama baada ya salamu, wapendwa nina shida yangu.... Huwa napendelea sana kuangalia series...
Kuna wimbo wa zaman kdogo bongo flava na baadhi ya maneno yanaimbwa hvi: "Ndoto haruf mbaya imetawala mwilini, napita mito na mabonde,, ni safari ndefu inayo chukua miaka mingi... Nisaidiem...
Lina uzito wa tani, jiwe jeusi la chato
Jiwe jeusi si dini, jiwe halina mvuto
Sasa nikusimulieni, limepataje uzito
Hata mkifika mia, hamlibebi kitoto
Washi walilipinga, kutaka kulisimika
Ya rangi...
Nasikiliza ngoma zake kadhaa hapa, nimekumbuka miaka kadhaa nyuma, huyu jamaa alikuwa fundi mnoo, tungo zake bora kabisa, anaimba, anapiga vifaa(ngoma) na ku-rap juu.
Kwangu mimi alikuwa ni...
Hivi ni vifaru vilivyokuwa maarufu wakati wa WW2. Ni M4 Sherman cha marekani na PanzerKampf wagen au kwa kifupi ni Tiger Tank. Hivi Tiger Tanks vya kijerumani ndio vilikuwa vifaru bora na...
Video inaanza kuna mwanamke amevaa mavazi ya chui anatembea kwa miguu minne kama chui halafu anakutana na wanaume watatu nakumbuka alifanana kama jason dalulo ila nimetafuta katika nyimbo zake...
Siku moja asubh na mapema! Nikiwa naenda kwenye biashara yangu! Nilikutana na mzee mmoja akiwa na wazee wengine akaniita akaniambia
Kijana njoo: inaonekana una Mungu sana maana hata kutembea kwako...
Pongezi ya kwanza iende kwa mwandishi wa vitabu Stephen King.
Hii muvi imetolewa kwenye kitabu cha bwana Stephen King kinachoitwa Rita Hyworth and Shawshank.
Waigizaji waliopo ni pamoja na
Tim...
Ilikuwa ni miaka 12 iliyopita siku ya tarehe 28/04/2008 katika shule ya KANTALAMBA BOYS SEKONDARI iliyoko katika manispaa ya SUMBAWANGA, siku ilianza kama kawaida kwa wale waliosoma shule za...
Wadau habari zenu, poleni na majukumu ya hapa na pale.
Pasi na kupoteza muda nataka ku share Mambo fulani fulani ambayo binafsi huwa nayazingatia ninapotazama filamu yeyote ile.
Ipo hivi, wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.