Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Things are changing over at Buckingham Palace, and by that I'm of course referring to Prince Harry and Meghan Markle's new role as non-royals. Not only have they given up their royal titles, but...
0 Reactions
2 Replies
982 Views
Habari comrades. Conflict of interest ni tukio ambolo taasisi ya jamii inapotumiwa kwa manufaa binafsi ya mwajiriwa wake. Kwenye hii mada taasisi ya jamii nayolenga ni kituo cha Radio Clouds FM...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Chocolate City rapper, Blaqbonez fears no man as he hit the studio to reply to Tanzanian rapper, Khaligraph Jones with this dope track titled “Green Blaq Green“. The self acclaimed (Best Rapper In...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu alamsiki. Wakuu, ni siku tatu sasa cpati Clouds FM hewani. Siyo mpenzi ila kuna vipindi viwili hivi naweza kusikiliza nikipata muda. Sana Sport Extra na Power Breakfast asubuhi otherwise...
3 Reactions
36 Replies
5K Views
Habari zenu wana jf.Mie hapa nina swali.Hivi,fasihi inaelekezaje jamii.Nime uliza hili swali katika forum hii,kwa sababu ya kazi za kifasihi nilizo wahi kuzipitia katika forum hii,kama,Namchukia...
0 Reactions
0 Replies
712 Views
Na Robert Heriel Alijitazama kwenye kioo kikubwa cha kabati akiwa chumbani kwake. Kila alipojitazama hakuona kasoro yoyote katika mwili wake. Aligeuka huku na huku akiendelea kujitazama. Macho...
4 Reactions
11 Replies
4K Views
January 18 Happy birthday Pep Guardiola mtaalamu wa soka . Happy birthday David Batista. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarin wakuu.. baada Ya kusikiliza wimbo mpYa wa stamina-asiwaze nikasema kweli muda ndio kila kitu Refer miaka Ya nyuma "stamina" ashawai chana mistat hii katka moja Ya nyimbo zake "Ndoa ngum na...
0 Reactions
2 Replies
882 Views
Hii dogo kaua humu. ==== Tanzanian singer; Killy has now dropped Amenikaa; his first banger of the year featuring Nyanda of Brick and Lace and Singah from Nigeria. On this groovy love song...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
KWA NINI UMENIZAA? Na, Robert Heriel. Taikon wa Fasihi. " Mama! maama! maaa,,." Aliita kwa sauti ya kukwaruza huku akimtingisha Mama yake aliyekuwa amelala. Mama aliamka kwa uchovu akamtazama...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
RIWAYA: UKURASA WA 56 MTUNZI: FRANK MASAI MAWASILIANO: 0717738973 SEHEMU YA 2. KOREA KASKAZINI Baada ya umeme kukatika ndani, General Pyong akaanza kuhaha huku na huko asijue anataka kufanya...
3 Reactions
2 Replies
4K Views
Mada yahusika,mwenye link itakayoniwezesha kudownload full movie tajwa hapo juu naomba aiweke hapa Natanguliza shukrani
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Guys, yule mfalme wa Bongo Fleva anayejulikana kama The king Him self Ally Salehe Kiba ametowa goma lake jipya linalokwenda kwa jina la Mshumaa sio siri ngoma ni ya moto sana haichoshi kusikiliza...
21 Reactions
145 Replies
19K Views
Mara chache kukuta mwanamke anayependa music from Congo But some of them have an interest, Bolingo 1.Nzele- Madilu 2.Bandeko- Madulu 3.Ton Ton -Madilu 4.Sydiegi-Madilu 5.Associe - Fally Pupa...
7 Reactions
50 Replies
8K Views
Mimi ni mpenzi sana wa movie, hasa za action na animation, siku za hivi karibuni nimejikuta nikipenda kuangalia makosa yanayofanywa na kuachwa bila kuondolewa wakati wa kufanya editing, sasa sijui...
1 Reactions
1 Replies
914 Views
Heshima yenu wakuu. Katika pilika pilika na huu ugumu wa maisha nimejikuta nauimba huu wimbo baadhi tu ya maneno. ......HATA UKULA UGALI NA CHUMVI Ooooh! SHUKURU MUNGU AMINATA USIFE...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mimi sio Tasa Nikitaka Kuzaa Nitaenda Marekani Kupandikiza Mtoto Kwa Njia ya IVF - na ikitokea kawaida pia ntafurahia Godsplan vyeti vyangu vya uzazi viko salama katika uzazi na Mayai tatizo ni...
0 Reactions
42 Replies
7K Views
Hii ni kutoka kwenye ukurasa wake wa Instagram. MY TAKE: Huyu jamaa kwa sasa hivi wamuache asifananishwe na mtu mwingine kabisa. Pia, Watanzania tuungane kumpa support ya kutosha maana...
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Washakji wametoa nyimbo mpya wana ladha ya miaka ya tisini ile ile yaani hamna kitu hapa kwakweli game imebadirika endeleeni kulea familia zenu tu huko mziki wapisheni kidogo vijana wafanye Sio...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom