Things are changing over at Buckingham Palace, and by that I'm of course referring to Prince Harry and Meghan Markle's new role as non-royals. Not only have they given up their royal titles, but...
Habari comrades.
Conflict of interest ni tukio ambolo taasisi ya jamii inapotumiwa kwa manufaa binafsi ya mwajiriwa wake. Kwenye hii mada taasisi ya jamii nayolenga ni kituo cha Radio Clouds FM...
Chocolate City rapper, Blaqbonez fears no man as he hit the studio to reply to Tanzanian rapper, Khaligraph Jones with this dope track titled “Green Blaq Green“. The self acclaimed (Best Rapper In...
Wakuu alamsiki.
Wakuu, ni siku tatu sasa cpati Clouds FM hewani. Siyo mpenzi ila kuna vipindi viwili hivi naweza kusikiliza nikipata muda. Sana Sport Extra na Power Breakfast asubuhi otherwise...
Habari zenu wana jf.Mie hapa nina swali.Hivi,fasihi inaelekezaje jamii.Nime uliza hili swali katika forum hii,kwa sababu ya kazi za kifasihi nilizo wahi kuzipitia katika forum hii,kama,Namchukia...
Na Robert Heriel
Alijitazama kwenye kioo kikubwa cha kabati akiwa chumbani kwake. Kila alipojitazama hakuona kasoro yoyote katika mwili wake. Aligeuka huku na huku akiendelea kujitazama. Macho...
Habarin wakuu..
baada Ya kusikiliza wimbo mpYa wa stamina-asiwaze nikasema kweli muda ndio kila kitu
Refer miaka Ya nyuma "stamina" ashawai chana mistat hii katka moja Ya nyimbo zake
"Ndoa ngum na...
Hii dogo kaua humu.
====
Tanzanian singer; Killy has now dropped Amenikaa; his first banger of the year featuring Nyanda of Brick and Lace and Singah from Nigeria.
On this groovy love song...
KWA NINI UMENIZAA?
Na, Robert Heriel.
Taikon wa Fasihi.
" Mama! maama! maaa,,."
Aliita kwa sauti ya kukwaruza huku akimtingisha Mama yake aliyekuwa amelala. Mama aliamka kwa uchovu akamtazama...
RIWAYA: UKURASA WA 56
MTUNZI: FRANK MASAI
MAWASILIANO: 0717738973
SEHEMU YA 2.
KOREA KASKAZINI
Baada ya umeme kukatika ndani, General Pyong akaanza kuhaha huku na huko asijue anataka kufanya...
Guys, yule mfalme wa Bongo Fleva anayejulikana kama The king Him self Ally Salehe Kiba ametowa goma lake jipya linalokwenda kwa jina la Mshumaa sio siri ngoma ni ya moto sana haichoshi kusikiliza...
Mara chache kukuta mwanamke anayependa music from Congo
But some of them have an interest,
Bolingo
1.Nzele- Madilu
2.Bandeko- Madulu
3.Ton Ton -Madilu
4.Sydiegi-Madilu
5.Associe - Fally Pupa...
Mimi ni mpenzi sana wa movie, hasa za action na animation, siku za hivi karibuni nimejikuta nikipenda kuangalia makosa yanayofanywa na kuachwa bila kuondolewa wakati wa kufanya editing, sasa sijui...
Heshima yenu wakuu.
Katika pilika pilika na huu ugumu wa maisha nimejikuta nauimba huu wimbo baadhi tu ya maneno.
......HATA UKULA UGALI NA CHUMVI Ooooh!
SHUKURU MUNGU AMINATA USIFE...
Mimi sio Tasa Nikitaka Kuzaa Nitaenda Marekani Kupandikiza Mtoto Kwa Njia ya IVF - na ikitokea kawaida pia ntafurahia Godsplan vyeti vyangu vya uzazi viko salama katika uzazi na Mayai tatizo ni...
Hii ni kutoka kwenye ukurasa wake wa Instagram.
MY TAKE: Huyu jamaa kwa sasa hivi wamuache asifananishwe na mtu mwingine kabisa.
Pia, Watanzania tuungane kumpa support ya kutosha maana...
Washakji wametoa nyimbo mpya wana ladha ya miaka ya tisini ile ile yaani hamna kitu hapa kwakweli game imebadirika endeleeni kulea familia zenu tu huko mziki wapisheni kidogo vijana wafanye
Sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.