Nimefanya mziki kwa muda sasa na niko vizuri lakini kila nikijitahidi kutoboa mambo yakuwa magumu , nimejaribu kwenda kwa waganga mbalimbali lakini hali imezidi kua ngumu masharti ni magumu sana...
Eddie Murphy Smiles In Photo As He Holds Six-Month-Old Granddaughter Evie
Miles Mitchell is Murphy’s 27-year-old son born in 1992 with his ex-wife Nicole Murphy and is one of 10 siblings...
Aaah unaposkia neno ndoa(Ndoa), ujue noma
Kabla kuongea chochote
naomba kwanza kusonya(Msschew...)
Sijali nishauri nani aisee ok twende
Aliyenifundisha mapenzi
Hakuniambia kuhusu kuoa...
Habari wakuu!!
Ni movie ya kitambo mno, na hata jina silikumbuki.
Ni ya vijana fulani ambao wazee wao walikuwa wanajeshi, ikatokea mission wazee wote wakatekwa.
Serikali ya nchi yao ikawa...
Salaam.
Moja kwa moja kwenye mada:-
... Pale mziki unapokukolea kisawasawa na kujisikia furaha ama huzuni iliyopitiliza...
Unafurahia bila kushurutishwa...
Unahuzunika bila kulazimishwa...
Kwa wazee tunaokubali movies au series za wazee wa ngwasuma ma vampire tukutane apa tupeane update kwangu mm movies bora nilizo ziona ni
Underworld
Underworld rise of lycan
Underworld awaken...
Mwokozi umeokoa………………… 1
Twamsifu Mungu………………… 2
Hata ndimi elfu………………… 3
Jina la Yesu, salamu!………………… 4
Jina lake Yesu tamu………………… 5
Baba, Mwana, Roho………………… 6
Ni tabibu wa karibu………………… 7
Taji...
Mimi sio Tasa Nikitaka Kuzaa Nitaenda Marekani Kupandikiza Mtoto Kwa Njia ya IVF - na ikitokea kawaida pia ntafurahia Godsplan vyeti vyangu vya uzazi viko salama katika uzazi na Mayai tatizo ni...
Triggering the brouhaha in the House of Windsor was the shock announcement by Prince Harry and Meghan Markle on Wednesday that they’re kicking their royal duties to the curb.
And moving to North...
Huyu dada namuelewa sana nimeanza kumfuatilia zaidi toka niko Primary. So nahitaji album yake at least moja.
Kwahiyo kuna uwezekano wa kudowload album husika na kupata nyimbo zake zote (Audio)...
Wax figures of the Duke and Duchess of Sussex have been moved from other members of the Royal Family at Madame Tussauds in London.
Prince Harry and Meghan had been placed next to the Queen and...
Meghan Markle has proven to be a very divisive figure. On one hand, she is a popular actress who turned into an actual British duchess. On the other hand, her rise to fame and royalty has left a...
Aisee nimejaribu kuangalia Friday Night Live kwa mara nyingine ila nimeshindwa.
Nimezoea kumuona Sam Misago kwenye hiki kipindi na hawa watangazaji wapya nashindwa hata kuwakubali...
Siku moja nilitupa jiwe na kwa bahati mbaya likampiga bata mzinga na akafa palepale. Japokuwa nilikuwa peke yangu lkn ghafla nilimwona dada yangu nyuma yangu akinitazama. Na akaniambia nimpe elfu...
The final season of game of thrones is coming in April . This is the final and last season of game of thrones and would consist of six episodes only .As per the previous seasons the war for the...
Wasalaam;
Kipindi cha utawala wa bendi Tanzania alikuwapo kijana machachari kutokea Tanga aliyeanza usanii akiwa kama mcheza show katika kumbi mbalimbali za starehe aliyejulikana kwa jina la...
RIWAYA: UKURASA WA 56
MTUNZI: FRANK MASAI
MAWASILIANO: 0717738973
SEHEMU YA 1.
KOREA KASKAZINI
Ni usiku ambao kwa pale Korea Kaskazini ulikuwa ni wa kipekee sana. Baridi kali iliendelea kuwachapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.