Nimefanya video.... karibu
Ila kwa ufupi tu , kuna mtu alisema kuwa
Freddie Mercury alizaliwa King Stone Zanzibar na kukulia visiwani humo kabla ya Wazazi wake kuhamia India na baadaye...
Dear comrades let us compose verses and poems using the about heading YOU WILL STAY ON THE CELL.
Let me start ; here we go...
If you steal our votes you will stay on the cell.
If you take my...
Moja ya lyrics zake ni hizi, zinaimbwa kwa sauti ya kiume "maji yakimwagika hayazoleki, itabidi ukakae ufikiri, yaliyotokea ukiri..", "kuna binadamu wa ajabu.." etc
sasa sijui jina la huu wimbo...
Wazee samahanini kwa kuwaingilia ndani ya masaa ya kazi. Nilikua naomba mwenye hilo Pini la Sugua lenye sauti ya juu.
Maana copy niliyonayo mimi haina sauti af kila nikidownload nakutana na ile...
Wahindi hapa wamefanya utunzi mzuri.
Nilishawishiwa kuitazama na member wa humu.
Mdada Yna.
Kuna mwingine anayeitazama?
Mara nyingi huwa nakosa nafasi ya kuitazama, kama kuna wafuatiliaji...
KIGODORO-01
Nlikuwa nimetoka kwenye harakati zangu za kutafuta riziki na muda huo ilikuwa Ni majira ya SAA 2 usiku
nikirudi getto kwangu maeneo ya kigogo, siku hiyo ilikuwa Ni ya bahati Sana maana...
Habari zenu ndugu zangu, nimetokea kupenda song moja la msanii wa kike hapa Tanzania ila most of the time ukiwa unapigwa redioni hua naambulia maneno machache sana, ambae anaweza kuufahamu si...
"Huwezi kugawa chakula ardhi ni nyeu...ya kijani hivi.Hakuna chakula cha serikali kwani serikali haina shamba!Sileti chakula.Kuna ambao tetemeko lilibomoa nyumba zao kdg wakadanganywa serikali...
CAMERON Diaz has revealed she’s welcomed her first child with Benji Madden.
The 47-year-old actress announced on Instagram that she and her husband added daughter Raddix to the family at the...
Short and Clear, mwishoni mwa mwaka jana ziliibuka habari za penseli kati ya Diamond na Alikiba.
Ilianzia kwa Diamond kumuomba Alikiba ashiriki Wasafi festival na Alikiba akakataa akidai Diamond...
Cheka, Simulia, Lakini Usiombe Yakukute
Jamaa kaamka asubuhi kajikuta kageuka mdudu. Hii hapa simulizi yake, Die Verwandlung, imefasiriwa kwa Kiswahili. Ilichapishwa kwa Kijeremani mwaka 1915...
Naomba kuwe na knock out kwenye Football. kwa mfano leo game yetu pendwa ya simba na yanga naona yanga anenda kupigwa 3:O kipindi cha kwanza. Me nashauri TFF atakae pigwa 3:0 kipindi cha kwanza...
Najua humu kuna kila aina ya member
Wale movies addict tusaidie kidogo. Hii movies inaitea "Bad Starters(1976)" niliiweka kwenye watch list kutoka 2013 ila sijaipata.
Mwenye nayo please anisaidie...
Sehem:02
Haikua kitu rahisi kwa mama yake Gaby kukubal kua mtoto wake ndo amekua mlemavu wa kudumu.Maureen aliingia kwa daktar ili kujua nn kimetokea lakn daktar alimwambia kama alivyomjibu mama...
Sehem:03
Haikua taarfa nzur kwa gaby kusikia kua hatoweza kutembea tena alihisi labda maisha yake ndo yameishia pale.Mama yake alimpa moyo kua pale sio mwisho wa maisha na mungu yupo ana imani ipo...
Umofia kwenu.
Kama kichwa kinavyojieleza. Naombeni msaada wa kuujua huu wimbo. Kwa maana nimetafuta jina lake kwa muda mrefu bila mafanikio. Nayakumbuka baadhi tu ya mashahiri. Haya...
PENZI LA NYOKA MTU
MTUNZI:HAKIKA JONATHAN
WHATSAP:0629905923
*SEHEMU YA KWANZA**
Msitu wa Ukijani ulikuwa kimya sana,ukimya uliopelekea sauti za ndege kusikika kila pembe ya msitu huo.Ndege...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.