Diamond - Naivasha
Rayvanny- Mombasa
Rich mavoko - Nairobi
Chameleon - Nairobi
Conclusion
Kenya kuna pesa mingi ya entertainment.. Kenyans spend sana kujibamba
LDC sasa nani atawaburudisha hapo...
azam tv imemeleta basket mouth jijini ambapo ataburudisha leo usiku ndani ya ukumbi wa mlimani city conference center-mlimani city mall,dar es salaam.
mimi nitakuwepo,kama na wewe utakuwepo basi...
Ndugu wana JF,naomba kufahamu kuhusu malipo ya star times,kwani nasikia waweza lipia kwanzia 500 na kuendelea vipi hili lina ukweli ndani yake?,kwani kwa sasa si kukuza kwa vyuna tu hata pesa...
Hii ni kwa dodoma namtafuta mkali wa Rnb na harmon nifanye nae kazi kwa Ngoma yangu Mpya nitakayotaka kuifanya mwezi huu wa kwanza.
Pia na msichana Mwenye sauti kalii nae anaitajika .
...
Tuikaribishe 2018 kwa Rap-Hip Hop Battle kati ya Old Schools kama mimi na New School wafuasi wa akina Kendrick Lamar.
For the sake of this battle, Old School ni ngoma zilizokuwa released 1990's...
MUZIKI NI HARAKATI
SEHEMU YA KWANZA: MIRIAM MAKEBA
Muziki ni sanaa; ni ufundi wa kuwasilisha mawazo yaliyomo katika fikra za binadamu kwa njia ya sauti na vyombo vya muziki ili kufikisha ujumbe...
Wanajamvi naomba kuuliza kwa wale wajuvi wa mambo ya miziki ya Pop, Hivi huo wimbo Michael Jackson aliuimbia wapi? Au alishirikiana na nani? Maana kuna maneno ya kiswahili yale "...Nakupenda pia...
Napenda sana utulivu hasa kipindi hiki cha mapumziko hapa nasikiliza kipindi cha easy sunday clouds radio huku naendelea na JF. Muwe na maandalizi mema ya kuelekea siku inayofuata ya 2018.
*TIARAEI:* Askofu Kakobe tunataka kujua utajiri wako uliupataje.
*Kakobe:* Kwa Yesu.
*TIARAEI:* Umesema una hela nyingi sana.
*Kakobe:* Ndiyo
*TIARAEI:* Umezihifadhi benki gani?
*Kakobe:* Kwa...
KOMBORA KIOTANI-33
BONIFACE BIRAGE
Balozi alikwisha kaata roho!Hangaiko la kutetea uhai wake lilikwisha nguvu na sasa aliona na kuhisi wepesi ulioambatana na usingizi mzito sana vikimjia...
Naanza fasta bila kukuchosha
Toka ananza kuimba kuna muda nikahis anaimba utani utani tu manake nyimbo kadhaa ni kama za watoto za kuchekeshana mfano hiyo zezeta Awaaaaaaaaaaaaap kwangu sijaona...
Mimi ni mpenzi wa comic movies specially zinazotengenezwa na hawa jamaa wa Marvel studios so nitajaribu waletea all release dates za comic heroes movies toka kwa hawa jamaa. Kwa kuanza naanza na...
Habar wana jukwaa
leo ninahitaj kwa yule mwenye ufaham juu ya masuala ya kucheat kwenye line ili uweze kutumia internet bila kulipia popote atuwekee hiyo taaluma.
habarii wakuu i real appreciate the analysis coming from you guys especially very experienced producers hizi samples niupande wa verses bado sijaongeza intro,outro ,chorus and hook or bridge...
Wana jamvi habari za sikukuu, nimekosa mdaa WA kwenda movie kuangalia movie ya jumanji.. Naomba aliekua nayo anitumie link ya kudowload... Or watch online... Asanteni week end njema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.