Kama mmefatilia sana akaunti za Instagram za Afande Sele baada ya hukumu ya Lulu kutoka ni mtu ambaye dizain anamlaumu Marehemu ‘Kanumba’ kuzama kwny dimbwi la mapenzi na binti mdogo ‘Lulu’ ambaye...
Nakumbuka baadhi ya mistari unaimbwa hivi:
HATUTAFANYA KITU TUTASHINDWAA!
SASA TUNAWAITAA WAJE KUONA EE,MAENDELEO YETU YANAKWENDA VEMAA!!
Please mwenye wimbo huo anipe maana nimeutafuta sana...
Hellow dear lovers of love poems, today i brings to you the following love poem, just read and enjoy.
Enjoy the read.
Love Poem: If I will be blind.
If I will be blind,
Will you be kind?
or you...
Hayo ni maamuzi ya mahakama mapema leo hii baada ya kukutwa na hatia ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa mpenzi wake marehemu steven kanumba
Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
Korean dramas are being popular worldwide due to a number of reasons.
These dramas are usually having stories which have been impressed by the real life events while they are short and the...
Habari wapendwa mimi nimsanii najiusisha na maswala ya uigizaji kwa sasa nipo dar maeneo ya mbezi beach tegeta naomba kama kunamtu anaweza kunielekeza kwenye makundi ya nayojihusisha na Sana'a...
Habari ya mida hii ndugu zangu, mimi naitwa Shabani Kibwe nipo pande za Chalinze, Mimi ni msanii naimba music bongo fleva na tayari nisharekod wimbo kadhaa ninazo ila kiukweli bado sijampata mtu...
jamani naomba msaada kwa mwenye very good experience na sound engineering and piano jinsi ya kuandika the best melodies
refer the beat i have created below i need to add the best melody onto it
Salam ndugu zangu,natumaini Iddi imekwenda salama.
Samahani jamani,ninaomba mwenye link ambayo itaniwezesha kupakua series mbali mbali kwa kutumia simu.
Link hizo ninazo zihitaji zisiwe za...
Habari zenu wakuu naombeni link ambayo itanisaidia kupakua nyimbo mbali mbali iwe bongo fleva au za kidini kwenye simu natumia TubeMate ila kwenye pc ndo sina maujuzi
Tafadhali wana jamvi mwenye hii series inaitwa If Loving you is wrong, nahitaji season ya 5 na kuendelea, please naomba kama unayo na upo Dar niambie nitakufata ulipo, nitakuja na flash...
Nmepoteza uzalendo katka hili baada ya kugundua vipengele vyote Diamond alivyopo anashindana na Prince Davido ambea anackik balaaa Africa na Dunian kote,Watz sio wapiga kura sisi tupo tayar kwa...
Ndugu, kichwa cha habari chajieleza.
Jana usiku nilikuwa na kiu kubwa ya maji, basi nikaingia kwenye jokofu nikachukua machungwa mawili yenye maganda kama machafu fulani hivi (nadhani ya Muheza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.