Mwenye hii singeli... sijajua wimbo unaitwaje ila nausikia tu naipenda simba mshabiki wa damu au naipenda yanga shabiki wa damu, mwenye huu mzigo naomba anitumie, na kama ni nyimbo mbili tofaut...
Habar wakuu
Hii ni kwa wale wanaopenda kusikiliza mziki aina ya reggae
Ebu tupia ngoma yoyote ya reggae riddim ukiisikilozaga mwili unasisimka
Mm ni THRE IS A WAY by Tarrus riley
Tupia ngoma...
Poleni kwa majukumu wakuu, ninalo wazo, kupitia uzi huu na jukwaa hili wale wenye vipaji vya kuigiza na kutengeneza move yaani kutunga story tukutane hapa tuone tutashirikiana vipi, mimi nilikuwa...
Wakubwa Mimi ni miongoni mwa wapenzi wakubwa wa kucheck movies,ila movies ninazozipenda ni action,vita na zile za kutisha japo Mara nyingine huwa napenda pia tamthilia za kisiasa sna ujasusi za...
Habari wakuu,
Kuna filamu moja ya Tanzania ambayo ndani yake msanii JB ametumia jina la Erick Ford, kwa anayeifahamu jina anipatie tafadhali.
Natanguliza Shukrani.
Habari wa JF. Kwanza nawapongeza ITV Tanzania kwa kuweka wawakilishi wao nchi kadhaa za Afrika Mashariki. Kenya-Dennis Musundi, Rwanda-Bryceson Bichu, DRC-Austerie Marivika, siwakumbuki wa Burundi...
Habari, kwa yoyote mpenda movies aliepo Zanzibar hasa town hapa Na ana movies Na unahitaji nyingine kama Mimi,
Tunaweza wasiliana tuonane Na kubadilishana movies series Na mambo kama hayo.
Binafsi...
Wadau kwema??
Leo nikiwa nasafiri kutokea Morogoro kuja Dar, njiani kwenye Bus katika video tulizowekewa ni pamoja na ya Msanii anaitwa Ruby, wimbo ni Forever ule Original Version ukiacha remix...
Wakuu, nipo Dar sasa tokea mwezi wa nne mwaka huu. Pamoja na kuwa niliisha ulizia pahala bendi hiyo inapopatikana pindi nikifika Dar lakini sasa nimesahau hivo pamoja na kuulizia lakini maelekezo...
Part 1( Corner stoner)
Huwa inakuwa kawaida ya vijana wengi kwenye kitaa chetu kukutana na kujadili mambo mawili matatu.
Katika hiki kijiwe cha kona nitakuwa ninawaletea stori zilizotokea hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.