Mwaka 1990, ni moja kati ya mwaka uliokuwa na mahangaiko mengi kisiasa na kiuchumi pia. Leo nimeona nijuze katika historia kwa mwanamasumbwi gwiji duniani wa uzito wa juu kulambishwa sakafu ya...
Pepe kalle alikuwa mkongo lkn ana moyo wa kizalendo na mapenzi makubwa kwa Tanzaniania kuliko watanzania wenyewe.kwa nyimbo zake kama Yanga Afrika, na Hidaya hakika alituthamini watanzania kuliko...
Muziki wa bongofleva umefanya mapinduzi sana kuanzia mwanzoni mwa miaka 2000 mpaka sasa, zifuatazo ndizo nyimbo bora za bongofleva zenye ujumbe ambazo hupaswi kuacha kuzisikiliza...
1...
Habari!
Kwa wale waliojaaliwa kuwa na king'amuzi cha dstv, kuna channel no 136 huwa kuna vipindi vya jamaa wanafanya miujiza nk! Mmoja anaitwa the carbonaro effect na Dynamo magics! Hivi kwa watu...
Hakuna ubishi kwamba huu muziki ndiyo unaosumbua zaidi kwa sasa duniani!! Chart mbali mbali duniani zimekuwa zikimezwa na huu muziki, Kuanzia Billboard, Uk top 40 na nyinginezo!
Imefika wakati...
Habari wana jf, nina mpango wa kufungu kitu kinachoitwa Library ( yaani kwa ajili ya kuuza filamu ) sasa nilikuwa nina ombi moja kwenu wakuu wangu mnisaidie list za muvi kali iwe ni sirizi au hata...
Wanabodi, nina mpango wa kuanza kutunga mashairi ya bongo fleva na hivyo kuwa msanii wa Muziki huu, Lengo ni kuja na 'mashairi ' yatakayo wapagawisha watu wa makundi yote..
Ushauri wenu juu ya...
Baada ya kuangalia inakoelekea nchi yetu,
Baada ya yaliyomtokea Tundu Lissu,the great,
Mimi kama kijana wa Chadema naomba nikutafsirie wimbo huu wa Luke dube. Ni mzuri mheshimiwa, utaupenda, hata...
Hii tabia ya wasanii bongo kutunga mashairi tata siielewi kabisa kuna wakati inakuwa ngumu kusikiliza au kutazama na familia.
Kwa mliosikiliza huu wimbo wa Madada Sita unaitwa Usingoje ni...
Tamthilia maarufu ya Marekani Quantico imetumia lugha ya kiswahili katika episode yake ya kwanza season(msimu) ya pili.Tamthilia inayoigizwa na Muigizaji maarufu wa India Priyanka Chopra imetumia...
Kwanza nampongeza aliyefikiria wazo ili la kukutanisha wasanii wote kuzunguka mikoani na kutoa burudani.
Ni uzalendo.Hawa wanao jitenga aidha ktk kujiona kuwa wao ni masitaa au wanataka dau...
Hakika ni bonge la wimbo toka kwa marehemu pepe kale naomba anaejua kuutafsir maana yake napenda sana kuujua.
WIMBO UNAITWA MOYIBI UMEIMBWA NA PEPE KALE.
Nimekuwa mpenzi wa bia aina ya safari kwa muda mrefu sasa lakini ukiangalia kuna utofauti wa chupa zake moja pale kwenye kifuniko ina shingo nene yaani rungu na nyingine shingo nyembamba .sasa...
ukiaangalia vizuri hii movie ina makosa kibao,, moja ya kosa ambalo kwangu lilinikera sana ni huyu mama,,grace mapunda (kama mnavyomuona hapo pichani) akimwambia huyu dada(nisha au salma jabu...
Hivi kuna wimbo mmoja uliwahi kufanyiwa movie moja bongo hapa.ambapo msanii alikuwa mpiga debe stend alaf anakuja kuchukuliwa na jamaa baada ya kuonekana ana kipaji cha kuchana mistar.kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.