Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
OFAA OFAAA OFAAAAA Kama wewe ni masanii wa muuziki wa aina yoyote na umeshatengeneza audio yako unataka ku shoot video nzuri na yenye kiwango cha juu kulingana na soko la Africa Mashariki kwa...
0 Reactions
1 Replies
669 Views
Nambie kama wwe ni mdau movie gani maskini sana nitainjoy kuicheki Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mashindano ya magari (ARC) kufanyika bagamoyo weekend hii mwenye kujua chochote zaidi tupashane habari Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kampa dongo jamaa. "Mwambieni mfalme wenu koti langu alifute vumbi"
0 Reactions
2 Replies
921 Views
Teacher Isack,hapa kazi tu Bora uwe mshumaa,uteketee mpaka mwisho Kumulikia wengine,mpaka mwanga uonekana Kuliko kuwa sabuni,kusafishia mafisadi Kukandamiza wanyonge,hata mungu hapendezi We raisi...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
ndiyo ilianza kufungua pazia la movie za kibongo nawakumbuka baadhi ya washiriki wa filamu ile kama TID,NINA,MONALISA,BARA na BEKA MAKUKA.
1 Reactions
30 Replies
9K Views
Ktk album ya Jigga 4:44 kuna hii ngoma na jina LA ngoma tu lilivyo nilihisi ni story ya MTU kwa hilo jina so nikaipakua kusikiliza nini haswa kimezungumziwa,Na kwa asilimia kubwa haikuwa km...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hello, kuna huu wimbo wa zamani, uliimbwa na john woka au ras lion i guess, part yake inaimbwa hivi "UMASKINI HUU, UMASKINI HUU, UMASKINI HUU UTAISHA LINI" half kwenye video ya hii song...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Basi Kama ulipita skauti au ulikimbia mchaka mchaka au michezoni kuna nyimbo mbali mbali mliimba. Binafsi leo kuna mmoja nimeusikia kwenye video ya whasapp nimecheka sanaa... ".....Ukipigwa...
1 Reactions
13 Replies
12K Views
Aisee hiyo biti ni kali. Sasa najiuliza nani katengeneza hiyo beat kali namna hiyo. Maana sidhani kama ni Laizer mzee wa kusample. Ukicheki mdundo wa wimbo mpya Harmonize sina unajua kabisa ni...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Habari zenu mashabiki wa Hip-Hop! Leo ningependa tuelezane mambo mbalimba kuhusu music huu ili na wengine wajifunze. Yawezekana kabisa wengi wetu hapa hatujui kwamba hip-hop ina matawi mengine...
0 Reactions
68 Replies
9K Views
Je watanzania mnasemaje nasi tuanzishe mwashindano ya kukimbia tukiwa tumebeba wake zetu? Nadhani yana raha yake.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nikiri nimechelewa kuiangalia hii movie ila ni nzuri saana. Nimeskia soundtrack ya wimbo wa kiswahili sijui nani aliuimba "sikiliza wahenga". Na Jordan Peele alivyolink soundtrack na maudhui ya...
4 Reactions
49 Replies
4K Views
Mwanangu leta mkeka, utandike upenuni, Najua unanicheka, kujanika juani, Sijali naneemeka, na wewe ukae chini, Mwanangu mzazi ngao, kaficha makovu mengi. Mwanangu kuna magumu, ya...
1 Reactions
0 Replies
576 Views
Nimekuwa nikifuatilia humu mitandaoni na kwenye media mbalimbali za Bongo ambapo naona kuna kitu hakifanyiki sawa na inabidi tume ya Fair competition iingilie kati. Unakuta presenter kabisa...
9 Reactions
104 Replies
11K Views
Dude kali of course, ila kama amesemwa mzee wa takeu hivi....
0 Reactions
10 Replies
6K Views
"Peace Perfect Peace" We cry for peace, perfect peace Lord, we cry for love in this neighborhood I tell you no water can put out this fire Only the lord can save us We cry for peace in Kenya Let...
0 Reactions
1 Replies
674 Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
2K Views
*Tanzania Stars[emoji769]* *Diamond created the GRP* *Kiba*:nasibu pole mdogo wangu[emoji38][emoji38] *Mond:* pelekesha ujinga Lupe we *Jux:* lkn Mond ulijua utapata nini...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
830 Views
Back
Top Bottom