Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Wanajamvi habar Naomba msaada namna ninavyoweza ipata filamu ya ROOTS 1977,ama maarufu kama "kunta kinte" maana juhudi zangu na maarifa yamegonga mwamba.... Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
19 Replies
8K Views
Nimeshindwa elewa kabisa Castle lite wamewaza nn kumleta msaani kama Future nchi Tz. Sidhani kama Future ana Mashabiki wa kutosha na sina uhakika kama asilimia kubwa ya watu wanamfahamu...
8 Reactions
153 Replies
13K Views
Soviet vs Naz
0 Reactions
2 Replies
537 Views
THE ISLAMIC WIFE (Mke Muislamu) Sehemu Ya 1 Mtunzi... MoonBoy Simu No, +255714419487 WhatsApp Inapoanzia Rasmi NDUGU WASOMAJI WANGU... SIMULIZI HIII... HAITOKUWA NA VIPENGELE VIREFU, KAMA...
0 Reactions
78 Replies
21K Views
Wana jf wenzangu natumai mwaendelea vyema na wkend. Nikirudi upande wa Harrison Ford mimi mpenzi wa movie zake nyingi hasa pale anapokutana na mikiki ya hali ya juu na kupambana wakati mwili wake...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
666 Views
hivii utaratibu wa bann ukoje wakuu. ..?? tunapigana tuuu bilaa kupewa taarifa na kama kuna kosa kwanni tusiambiwe kwanzaa na hao ma mods.Tangu juziii nilikuwaa najalibu ku login JF naambiwa no...
0 Reactions
10 Replies
886 Views
Makhirikhiri, Haki wanawake wengi wa Afrika wameumbika haswa!... Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Eti hawa wahenga waliishiaga wapi? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Wakuu natafuta tamthilia ya kihispaniola iitwayo la esclava blanca ama the white slave kwa kiingereza. Kwa yeyote mwenye soft copy ama maujanja ya kudownload naomba anisaidie. Kwa sasa ni episode...
0 Reactions
0 Replies
824 Views
Kama kawaida, timu yetu ya Taifa ya mpira wa miguu imetolewa michuano ya CHAN na timu ya Taifa ya Rwanda. Inasikitisha sana. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
13 Replies
788 Views
Chanel gan inaonyesha mechi ya Taifa stars na Rwanda??? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
405 Views
Salaam wakuu,kuna remix ya wimbo akatambala imeimbwa na saida karoli nimeisikia Leo kwenye kituo kimoja cha redio.Nimejaribu kuitafuta mitandaoni lakini sijafanikiwa,kama kuna aneweza kufanikisha...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Bakayoka Monaco fc kwenda Chealsea
0 Reactions
0 Replies
808 Views
UPEPO WA USIKU-3 BONIFACE BIRAGE Upepo ulitoa kama mlio wa ulalamishi flani hivi!Matawi yalizidi kulalama na katika ule ulalamishi kulionesha kwamba kuna dalili nje!Dalili ya mvua kunyesha! Bario...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Kiukweli me nashindwa kuelewa sijui wana matatizo gani...eti nasikia wanatamani hâta anko Magu awe wao sijui wamelimisi rhumba kali?!!..wanaona sie tunafaiidi dozi ya kupauka nguo mpaka...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
mzee wa mask off soon anadondoka dar kuja kuandika historia na lazima niwepo pale na nahitaji mbebez wakwenda nae najua mpo humu na midomo imewakauka usijali utakunywa savana mpaka ujikojolee hela...
0 Reactions
7 Replies
792 Views
Habari vipi wakuu?? Nilikuwa nachek itv mida fulani naona wakaweka ile tamthilia ya Wakenya ya cobra squad, niliwahi kuichek kipindi fulani but kwa sasa naanza kuielewa coz walipata support kubwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom