Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Wakuu naomba mwenye power season 4 au link nipate huu mzigo naskia umetoka mimi bado sijaupata
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wana JF na JF kwa ujumla. Kuna wimbo mmoja siukumbuki jina kabisa aliimba Bizman kwenye ile Album yake ya Nipe Muda. Maudhui ya wimbo huu yanahusu maisha ya mwanaume na mwanamke kwenye ndoa...
1 Reactions
18 Replies
6K Views
Downlaod na usikie nyimbo yangu inaitwa BINADAMU WA LEO, Sina management kama umeipenda kazi yangu na una Nia ya kunisogeza hatua moja mbele tuwasiliane Pm, Nina kazi nyingi hii ni moja wapo tu...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Dogo Domo una stress trust me, na nina wasiwasi unapuliza sasa hivi mboga. Ngoma tatu lakini hakuna jipya lenye kuleta muonekano mpya unafeli brother. Mapenz yana kusumbua, tafadhali...
9 Reactions
57 Replies
6K Views
Wakuu, nipo hapa Mzizima tokea mwezi wa nne na hapo nyuma niliisha tupia humu kuisifia band hii ya muziki. Naomba kufahamishwa ukumbi na siku wapigapo muziki ili nifike na kupata faraja.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Huyu mdada anajua anachokifanya.
3 Reactions
17 Replies
7K Views
Kupitia mtandao wa twitter wa star wa Nigeria @Patorankingfire ameweka wazi siku ambayo ataachia ngoma yake ya #LoveYouDie alomshirikisha@Diamondplatnumz aliandika hivi. "Wait for it" Je...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
nmeangalia video mpya ya diamond ENEKA jamaa katisha kwa kweli apa kina davido ,wiz tecno watasubiri xanaaaa Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wana JF! Naomba kuuliza jamani kuhusu huu mchezo wa boxing. Hivi huwa wanaangalia vigezo gani hasa ili mtu kupata ushindi? Nimeona mapambano kadhaa lakini huwa yananipa changamoto kuhusu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wasalamu JF members,kwa wale wapenzi na wafuatiliaji wa Mtv Shuga inaendelea na Tanzania tunawakilishwa vyema na Msanii wa bongo fleva Vanessa Mdee,hivyo Basi kwa anayejua link ya kuweza...
0 Reactions
3 Replies
896 Views
Mshambuliaji mpya wa Manchester united Romelu Lukaku amefanya mazoezi kwa mara ya kwanza na timu yake hio huko la Angels U.S.A youth.be/spSb03Q5iJU
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wakuu kuna movie inaitwa the birth of the dragon imetoka mwaka jana mwishoni mishoni mwa mwaka mwenye nayo tafadhari maana nimeitafuta kila mahali napoweza nimeambulia patupu.
0 Reactions
4 Replies
985 Views
Wasalamu JF members,kwa wale wapenzi na wafuatiliaji wa Mtv Shuga inaendelea na Tanzania tunawakilishwa vyema na Msanii wa bongo fleva Vanessa Mdee,hivyo Basi kwa anayejua link ya kuweza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wasalamu JF members,kwa wale wapenzi na wafuatiliaji wa Mtv Shuga inaendelea na Tanzania tunawakilishwa vyema na Msanii wa bongo fleva Vanessa Mdee,hivyo Basi kwa anayejua link ya kuweza...
0 Reactions
0 Replies
761 Views
Au kinyume chake ni movie gani huipendi lakini inapendwa sana? Karibu!
0 Reactions
61 Replies
7K Views
Naomba mwenye kujua application nzur na rahisi ya ku download move through LAPTOP
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Singeli kali inayotikisa nyanda za juu kusini. Yenye kulielezea vizuri jiji hili.. Download hapa Audio | Losso Jr - Green Singeli | Mp3 Download
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu. Kuna nyimbo za injili kutoka albam fulani hivi nilikuwa nazisikiliza sana kipindi bado mdogo. Kwaya iliyoinba siikumbuki ila baadhi ya mistari ninayokumbuka ilikuwa hii...
0 Reactions
3 Replies
9K Views
Mwenye wimbo unaitwa "nimerudi salama" nadhani umeimbwa na moro jazz kama sikosei. Nauhitaji sana mwenye kua nao naomba tafadhali,.. Asante.
0 Reactions
4 Replies
834 Views
Wale wananaopenda action za bongo hapa ndio uwanja wetu. Taja action movie unayo ikubali kutoka bongo. Mimi. 1. BAGA Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom