i naona mbali)
Kwa darubini kali (kwa darubini kali)
Afande anasema wote (wote kimya)
Ntakayo nena hapa yatamgusa mwenye hekima
(Hapo!) hapo ulipo
Kama waipenda pepo kwanini uogope kifo?
(Eehee)...
Huku mmenishauri nitumie dish la DSTV, kwakweli mwana kafurahia sana nasi tumefurahia . Inavipindi vya kidhungu dhungu, unajiona wewe ni wewe tu kati ya majirani wenye azam na startimes.
Startimes...
Nibebe - Nyota Ndogo
“Nibebe” from the album “Mpenzi”
Nyota Ndogo featuring Nonini
Nonini
Ngoma kali hufanya niwakumbushe wakenya
Vile Swahili ni kitamu
Au sio
Nyota aa, Nyota aa
Ndogo oo, Ndogo...
Tanta lala la
Ooh la la la la la
Mmh
Ooh Ghafla visenti sina nimerudi Tandale
Nimeshindwa kulipa BIMA nimeuza Madale
Radio nyimbo wamezima Tv ndio hataree
Umeneja umebaki jina
Hanitaki hata Tale...
Kama ujafika korea basi niwajuze tu? Japo wanakila kitu na wapo mbali sana ila swala la migahawa ya vyakura na huduma za chukura korea wapo vizuri sana.
Biashara ya chakura korea hipo tofauti na...
Wakuu na wadau wa Marvel.
Marvel Studio wametoa teaser ya upcoming superhero movie ya Captain America iitwayo Brave World.
Usichanganye na TV Series yao ya Captain America & Winter Soldier, hii...
Wadau,
Natafuta huu wimbo alikiba alipiga live. Nahisi kwenye moja wapo ya show za clouds media.
Kuna live kadhaa za macmuga lakini kwangu mimi hazikuendana sana na hii ninayotafuta.
Thanks.
Natafuta cover ya wimbo wa Hapana wa msanii Marioo ulioimbwa na mdada fulani hivi ukatumika katika tamthilia ya Jua kali.
Anaeweza kunisaidia namna ya kuupata tashukuru.
Pendekeza nyimbo yeyote ya Lyrics nami nitakukumia
1.NIITE SONGA LYRICS
[Intro]
Yeaah… Duke Tachez.. yeeah
[Ubeti wa Kwanza]
Yeah, kwa uzima nafungua kinywa nachomoa hii habari
Naisoma kwa kina...
Muziki wa Reggae ni muziki mzuri unaobeba hisia mbalimbali kama, ukombozi wa mtu mweusi, mapenzi, harakati, nk, kwa kifupi ni muziki unaogusa maisha ya mwanadamu kwa ujumla.
Wasanii wa muziki wa...
Binafsi mimi ni mzalendo na nnapenda sana kufuatilia tamthilia za haoa bongo mara moja moja pindi nkipata nafasi nkiwa home,
Kuna hiI Huba series inayorushwa DSTV (Maisha Magic bongo) ni ya muda...
Utangulizi
Binti aliyepewa mimba na Nabii ni story ya kweli kabisa, mhanga kaniomba nisambaze ili mabinti wengine wajifunze, karibuni nyote.
Anaanza kwa kusimulia.
PART 1
Nimelelewa kwenye...
Nguvu ya Muziki
Kila moyo una wimbo. Pahali ambapo maneno yanashindwa, muziki huongea. Muziki huzungumza kwa hisia. Muziki huleta uwiano kati ya roho, nafsi na mwili.
Muziki ni mwanga wa...
HII NI SIMLIZI YA KISAYANSI NA KITEKNOLOJIA. MTUNZI NI YULEYULE TARIQ HAJJ.
HAYA NI MAONO YA MAISHA YAJAYO.
RIWAYA NYINGINE ZILIZO TANGULIZIA NI
1. CODE X
2.CODE. X 2 MCHEZO WA KIFO.
3.COD X 3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.