Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Mdau, ni wimbo gani wa Bongo Fleva ulihit sana miaka ya 2000-2010?
2 Reactions
33 Replies
1K Views
Kwangu mimi hizi ndo series bora kuwahi kuangalia 1.VIKINGS 2.GAME OF THRONE 3.SEE 4.SIX FLYING DRAGONS 5.FROM 6.INTO THE BADLANDS 7.PEAKY BLINDERS 8.HALO 9.SQUID GAME 10.IRIS 11.ILJIMAE Kama...
2 Reactions
65 Replies
4K Views
Uko tayari kutoa kile tunachohitaji kukupa unachokitaka?
0 Reactions
4 Replies
238 Views
PICHA DIRECTOR NICK NA MAKAMU II WA RAIS WA ZANZIBAR. Mwanahabari na muongozaji wa video Nickson Sawe maarufu kama Director Nick akiwa huko visiwani Zanzibar amekutana na kupiga picha ya pamoja...
1 Reactions
1 Replies
207 Views
Tumalize huu ubishi ulioenea mtandaoni. Je, kati ya malkia wa bongo fleva Shilole a.k.a Shishi baby na msanii chipukizi (underground) anayeheshimika Juma Jux nani mkali zaidi? Kwa wale...
5 Reactions
18 Replies
694 Views
Sauti kama ya ben pol hivi. Ni wimbo wa mapenzi nakumbuka kiitikio Beby so faaa beby so sofaa
5 Reactions
17 Replies
707 Views
Habari za Jumapili wadau, naomba mwenye wimbo jina lake unaitwa NITUME MIMI BWANA kuna mapadre sijui ndo wameimba, ila ni wanaume pekee ndo wameuimba, Mwenye nae auweke tu hapa niuchukue maana...
1 Reactions
0 Replies
162 Views
Oppenheimer ni movie yenye story Nzuri sana ila wengi wanaiona complicated, au niseme boring, kwa wale ambao hawana uelewa sana na mambo ya physics. Hapa nimejaribu kuielezea kwa nilivyoielewa...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Huu mwaka eee ndo mwaka wa kuforce yaani mtake mcitake huu mwaka mtaniita boss Rayvanny Huu mwaka eee ndo mwaka wa kuforce yaani mtake mcitake mtaniita boss Huu mwaka ee wa faida sio loss...
1 Reactions
0 Replies
921 Views
Ilikuwa Jumamosi asubuhi na jua lilikuwa linawaka vizuri. Majirani wa mtaa wa Mjini Ndani walikuwa wanapanga mipango ya weekend yao. Lakini kijana mmoja, anayeitwa Toto, alikuwa na plan ya kipekee...
0 Reactions
2 Replies
346 Views
Filamu nyingi zimetukaririsha kuwa staa akiwa kwenye changamoto basi mwisho wa picha atafanikiwa kukabiliana na changomoto zake wanaita mwisho mzuri(happy ending). Kwenye filamu ya BURIED sahau...
5 Reactions
6 Replies
492 Views
Ni suala lililo wazi kuwa msanii Diamond Platnumz ndiye msanii anayeiwakilisha muziki wa Bongo Fleva kimataifa ambapo kupitia nyimbo zake Diamond ameweza kupenya na kujulikana katika mataifa...
0 Reactions
4 Replies
813 Views
"Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi naenda kwenye mihangaiko yeye namuacha amelala, nilikuwa naacha elfu 40 mezani haongezi hata elfu 5 tunakula hiyo elfu 40 siku inaisha anasubiri kesho tena niamke...
28 Reactions
117 Replies
5K Views
nani amewahi kuona hii series ya superior day ya kikorea inatisha na ni nzuri ya kijana muuaji mchoraji anaua mtu alafu anamchora kwa kutumia damu jinsi alivyomkatakata movie nzuri japo inaogofya...
1 Reactions
3 Replies
185 Views
I Karatasi ya thamani ni pesa vyeti ni uchafu chochote utakacho pesa kwanza Silali kitandani nakesha kuziseti chafu tatu popote niendapo pesa kwanza “Babu hilo goma linanitia stimu yaani siku...
0 Reactions
1 Replies
236 Views
Msanii wa Bongo Fleva, Sarah Michael Kitinga "Phina" aliimba ujumbe huu kupitia Wimbo wa "Sisi Ni Wale" aliouweka kwenye Chaneli yake ya YouTube, Desemba 29, 2023 na hadi Novemba 28, 2024...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Mfahamu Mzee Small. Said Wangamba (Mzee Small) alizaliwa 1955 mkoani Lindi. Na baadae alihamia Dar mwaka 1970 ambapo alipata umaarufu kupitia uchekeshaji na uigizaji. Alipewa jina la utani la...
2 Reactions
8 Replies
887 Views
Naomba nikukaribishe kutazama wimbo kutoka kwaya ya Parapanda Lutheran uitwao Upendo wa Mungu. Yesu akutunze.
1 Reactions
0 Replies
146 Views
Tazama Video | Download Audio Music: Ev.Mhugo Hantish – Yesu Wewe http://gospomedia.com/tazama-video-download-audio-music-ev-mhugo-hantish-yesu-wewe/
0 Reactions
4 Replies
803 Views
Back
Top Bottom