Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Mzee mbabe untouchable mkali ka Mugabe, Hakuiva na Manji wenye ganji akasema akabwe, Panya wakafyata mkia wakapotea wenye ngebe, Acha kumpinga ukimsema unanyea debe, Hakua mlevi wa uhuru kunyata...
0 Reactions
1 Replies
770 Views
Baada ya kipindi kirefu kuongea kwa mafumbo dhidi ya wamiliki wa Clouds FM kuwanyonya wanamuziki akianzia na wimbo wake wa Joto Hasira, mwanamuziki Judith Wambura ameendelea kuwaishambulia redio...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
TBC wanaonyesha Watanzania kwamba kila jambo linawezekana! Channel yao TBC1 sasa inaonekana kwa watumiaji wa DSTV popote Africa... kupitia channel no. 143. ya DSTv. Kwa kweli mimi nawapongeza...
1 Reactions
8 Replies
14K Views
...tunaanza kuchukua kidogo kidogo nchi yetu toka mikononi mwa mafisadi. Tulikuwa mstari wa mbele kupambana na mafisadi na jana matunda ya JF yameanza kuonekana. Tumewaangusha akina Lowassa...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Nadhani kwa watu waliojitahidi kupereresha bendera ya Tanzania na hawa Varda Arts wapo Heko kwao..., Kwa kweli Uzalendo upo Moyoni na Uzawa ni kwenye Vitendo wala sio kwenye Ngozi..... Moja ya...
0 Reactions
5 Replies
349 Views
SEHEMU YA 01: Damu nyingi zilikuwa zinanitoka upande wa kushoto wa kifua changu kiasi cha kunifanya nilowe chapachapa. Nilijitahidi kuinuka pale nilipokuwa nimelala huku damu nyingi zikiendelea...
23 Reactions
292 Replies
129K Views
Ni bonge moja la movie kwa mwaka huu 2023, nimeipa namba 1, nairudia mara zote nikiimiss. Wenzentu wanajua kuigiza na kuandaa movie, hilo halina ubishi. Huyo Sisu ni mwanaume mmoja hivi mtu mzima...
10 Reactions
97 Replies
8K Views
Kulingana na mtandao wa Spotify imetangaza wimbo wa “Champion Sound” wa mwanamuziki kutoka Nigeria David Adeleke (Davido) aliomshirikisha rapa kutokea South Africa Lethabo Sebetso (Focalistic)...
0 Reactions
2 Replies
507 Views
Mimi naona maisha yangekuwa magumu sana, hii haijalishi ni aina gani ya muziki ila kila binadamu anasikiliza muziki! Kuna muda unaweza tengwa na kila mtu ila music will be there! Bado sielewi hii...
12 Reactions
64 Replies
1K Views
Teaser Trailer ya series ya House of the Dragon imetoka. Ni Prequel ya Game of thrones. Inaanza tarehe 21 August 2022. Hii series mpya toka HBO ikielezea kiundani chimbuko na historia ya House...
3 Reactions
331 Replies
19K Views
Ladies and gentlemen, Tupia lyrics zako pendwa kweny comments, jina la nyimbo na performer wa hio nyimbo. Sio lyrics za nyimbo nzima, just kipande tuu unachokipenda ambacho hata ukiwa maybe...
7 Reactions
53 Replies
2K Views
NJOO TUMSOME MIA KHALIFA Anaitwa Sarah Joe Chamoun mwenye asili ya kiarabu .Pua mchongoko , macho ya kuita na kimwili kidogo kidogo kinachoweza kubebeka, angekuwa bongo waswahili wangemwita...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari wakuu, Ni wasanii gani unapendekeza watoe remix ya wimbo kama vipi wa Mez B, Ray C na Noorah. Wasanii watatu. Nani aimbe sehemu ya Mez B Nani aimbe sehemu ya Ray C Nani aimbe sehemu ya...
1 Reactions
13 Replies
323 Views
Huu mwaka tangu uanze kiukweli sijawahi na sikudhani kama nitadondosha chozi!,Ila baada ya kuitazama hii movie iitwayo NO WHERE nimejikuta machozi yakinitiririka kama mtu aliyepatwa msiba...
7 Reactions
44 Replies
2K Views
Nimekuwa nikisikiliza nyimbo za haka karembo duuh, kasauti kana chombeza aisee. Huyu dada anae sauti.
2 Reactions
8 Replies
484 Views
Kama kichwa Cha habari kinavyoeleza. Naomba kiwasilisha
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Guys! Nostalgia is a real disease. Niliangalia katuni utotoni mpaka leo Bado zile theme songs, characters, story lines zinaexist nyuma ya ubongo wangu. Tukutane hapa wazee wa CN, nickelodeon...
11 Reactions
55 Replies
2K Views
Katika ardhi ya Jos, jimbo la Plateau, Nigeria, tarehe 18 Novemba 1981, mapacha Peter na Paul Okoye walizaliwa. Kama nyota wawili wakongwe waliovutwa kwa nguvu ya ajabu, walionyesha vipaji vyao...
0 Reactions
2 Replies
756 Views
Mimi kwakweli ile album ya wenge musica bcbg yenye nyimbo kama masuwa, bana lunda, ndombolo n.k ilinikuta katika mapito magumu. Leo hii nikisikia nyimbo yoyote ya kwenye ile album nakumbuka...
4 Reactions
89 Replies
2K Views
Miaka 10 iliyopita ndiyo tulipata ladha halisi ya muziki wa Bongo Flava, zipo nyimbo nyingi sana kali zilizotoka ila hizi 20 naamini zilifanya vizuri kwa wakati wake kwa kuzingatia uandishi &...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom