Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Watanzania ni watu wazarendo sana kwa vitu vilivyo vya kwao! Lakini inafikia mahali wawasilishaji wanaviwasiliaha kimakosa! Uwanja pekee ambao kwa sasa umefifia na uko karibu kufa ni katika...
3 Reactions
68 Replies
5K Views
BEFORE I GO TO SLEEP. Christine anapoamka asubuhi, anashangaa yupo mahali asipopafahamu na pembeni yake amelala mwanaume asiyemjua. Anajaribu kuvuta picha lakini hamna kinachokuja kichwani...
14 Reactions
33 Replies
2K Views
Rapa Na Mfanyabiashara kutoka Marekani Sean “Diddy” Anadaiwa kuwa hatopokea Mualiko Wa kuhudhuria katika Onesho Kubwa La Mavazi Na Mitindo linalofahamika Kama "Met Gala" Taarifa hizi ni baada ya...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
SEVEN DAYS IN HELL (SIKU SABA KUZIMU) Episode-1 Damu nyingi zilikuwa zinanitoka upande wa kushoto wa kifua changu kiasi cha kunifanya nilowe chapachapa. Nilijitahidi kuinuka pale nilipokuwa...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Nimekaa nikaanza kuzikumbuka Tamthilia za zamani kwenye Tv zetu 1.Life Goes on 2.227 3.Fresh Prince of Bell Air 4....... 5........ endelea...
2 Reactions
464 Replies
91K Views
Nilikuwa najiuliza sana inawezekana vipi Watu wanaimba na kucheza zaidi ya Saa 8 na hata hawachoki ila jibu nimelijua.
2 Reactions
8 Replies
560 Views
Umofia kwenu bandugu wote kwenye hiki kilinge chetu cha kujidai. Nina ombi kwenu wadau. Nina mpango wa kuandaa tamasha la stand up comedy huku mkoa ninaoishi, nimeiona hiyo fursa naamini nitapiga...
2 Reactions
1 Replies
318 Views
Kuna wakati Rais Mobutu Seseseko alianzisha sera ya "African Authentication" iliyokuwa na lengo la Afrika kujitambua. Kama mfano aliamua kubadili jina la nchi hiyo kutoka Belgium Congo na kuiita...
2 Reactions
22 Replies
848 Views
Huwa nikimsikiliza sianzi Kumhukumu kwa Madhaifu yake na yaliyompata ila nakuwa makini sana kusikia kile ambacho anakitoa kutoka katika Kinywa chake na hakika huwa navutiwa mno na Madini yake...
2 Reactions
3 Replies
408 Views
Wakuu hongera kwa wikiendi ya leo glories and praise to the LORD: Wakuu kuna jambo linanitatiza kitambo kidogo na sijawahi kuona kama limewahiletwa mezani kujadiliwa,ama mara nyingi mitaani ndio...
0 Reactions
6 Replies
559 Views
Aisee kuna hii nyimbo inaitwa; “Sasa ni lunch time tufunge makazi,” nikiisikia lazima nipate hamu ya kula! Plus kuna nyimbo za marehemu; Siri ya nini Sarafina Kachichi Hizi nyimbo hazinitoki.
4 Reactions
59 Replies
5K Views
Dogo namuona ni Hatari sana na ndiyo Animateur ( Rapa / Mghani / Atalaku ) ambaye namuona anakuja kuwa Tishio kwa Atalaku bora kwa sasa Congo DR Pitshou Lisimo ( GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ) wa...
0 Reactions
2 Replies
260 Views
Franco ambaye alizaliwa Tarehe 6 Julai, 1938, katika Kijiji cha Sona Bata Magharibi ya Kongo, atakumbukwa na watanzania wakati alipofanya onyesho kweye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam mwaka...
16 Reactions
54 Replies
15K Views
Tasnia ya sanaa inaoneka kuwa mtu akiwa mwanamuziki au muigizaji au muhuni lakini imeonekana kuwa na faida baada ya kutoa viongozi mbalimbali nchini. Baadhi ni hawa: 1. Hamis Mwinjuma 'Mwana FA'...
1 Reactions
4 Replies
824 Views
𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : YA JEAN 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : MADILU SYSTEM 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄 : SULE MKANDARASI '''''''''''''''''' '''''''''''''''''''' ''''''''''''' 𝙅𝙚! 𝙐𝙣𝙖𝙬𝙚𝙯𝙖 𝙠𝙪𝙢𝙬𝙖𝙘𝙝𝙖 𝙢𝙥𝙚𝙣𝙯𝙞 𝙬𝙖𝙠𝙤 𝙠𝙬𝙖 𝙨𝙖𝙗𝙖𝙗𝙪 𝙮𝙖 𝙣𝙙𝙤𝙩𝙤 𝙢𝙗𝙖𝙮𝙖 𝙪𝙡𝙞𝙮𝙤𝙤𝙩𝙖...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : BIYA 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : MADILU 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄: 𝙈𝙆𝘼𝙉𝘿𝘼𝙍𝘼𝙎𝙄 """""""""" """""""" """"""" """""""""" """"""" "𝘽𝙄𝙔𝘼" 𝙣𝙞 𝙟𝙞𝙣𝙖 𝙡𝙖 𝙢𝙠𝙚 𝙢𝙠𝙪𝙗𝙖 𝙬𝙖 𝙈𝙖𝙙𝙞𝙡𝙪. 𝙉𝙖 𝙝𝙪𝙪 𝙬𝙞𝙢𝙗𝙤 𝙖𝙡𝙞𝙪𝙩𝙪𝙣𝙜𝙖 𝙢𝙖𝙖𝙡𝙪𝙢 𝙠𝙬𝙖𝙖𝙟𝙞𝙡𝙞 𝙮𝙖 𝙠𝙪𝙢𝙬𝙖𝙜𝙞𝙖 𝙨𝙞𝙛𝙪...
2 Reactions
0 Replies
382 Views
Wacha niwaorodheshee Top 15 ya ngoma pendwa duniani 1. Despacito ya Luis Fonsi na Daddy Yankee yenye watazamaji 8,441,831,151846,384 YouTube 2. See You Again ya Wiz Khalifa na Charlie Puth yenye...
2 Reactions
18 Replies
600 Views
𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : Cavalier Solitaire 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : J.B MPIANA ft PAPA WEMBA 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄: 𝙎𝙐𝙇𝙀 𝙈𝙆𝘼𝙉𝘿𝘼𝙍𝘼𝙎 𝙒𝙖𝙨𝙬𝙖𝙝𝙞𝙡𝙞 𝙬𝙖𝙣𝙖𝙨𝙚𝙢𝙖 "𝙐𝙢𝙗𝙖𝙡𝙞 𝙣𝙞 𝙨𝙬𝙖𝙡𝙖 𝙙𝙤𝙜𝙤 𝙨𝙖𝙣𝙖 𝙠𝙬𝙖 𝙬𝙖𝙬𝙞𝙡𝙞 𝙬𝙖𝙣𝙖𝙤𝙥𝙚𝙣𝙙𝙖𝙣𝙖" 𝙃𝙞𝙞 𝙞𝙣𝙖𝙢𝙖𝙖𝙣𝙖 𝙮𝙖 𝙠𝙬𝙖𝙢𝙗𝙖 𝙞𝙠𝙞𝙬𝙖...
0 Reactions
2 Replies
568 Views
Hii ni miongoni mwa hadithi moja tamu sana. Ni ndani ya kijitabu kidogo chenye mvuto wa aina yake. Kilichochapwa 2007. APUL AENDA NAIROBI I Ilikuwa ikimuelezea kijana mmoja ambaye...
1 Reactions
0 Replies
226 Views
Kwangu mimi ni the red wedding (episode ya the rains of castamere) pamoja na kifo cha Hodor..... Naliaga kabisa kwenye hizi scenes 😭😭 The red wedding 💔
3 Reactions
55 Replies
2K Views
Back
Top Bottom