Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

1. NEW VIDEO | Nay Wa Mitego - Wapo | DOWNLOAD Mp4 Song 2. NEW AUDIO | Mesen Selekta - Chata | DOWNLOAD Mp3 Song 3. NEW VIDEO | Mesen Selekta - Chata | DOWNLOAD Mp4 Song 4.AUDIO | Stamina Ft...
0 Reactions
7 Replies
522K Views
Nakumbuka siku nilifungua ofisi moja ya kurusha miziki ,nilienda kwa mama mmoja anitayalishie dawa ya kuleta wateja wengi waje niwachomee miziki na movie. Alinipa dawa nne mfano wa irizi ya kwanza...
4 Reactions
34 Replies
2K Views
20: Chid Benz - Bongo Dar es Saalam 19: FA - Bado Nipo Nipo 18: Fid Q - Propaganda 17: AY and FA - Habari Ndiyo Hio 16: Piggy Black - Nini Mnataka Mazee 15: AY - Raha Tu 14: Professor J -...
8 Reactions
60 Replies
5K Views
Stori: Innocent Killer (The Revenge) Msimuliaji: Bux the story teller Umri: 18+ Sehemu ya Kwanza: NB: Hadithi hii ni ya kubuni na kufikirika haihusiani na maisha ya mtu yeyote, wala taasisi...
12 Reactions
460 Replies
113K Views
Simulizi hii inahusu utafutwaji wa NYARAKA namba 72 waweza kuiita DOCUMENT namba 72 ambayo ina siri nzito sana ndani yake. DOCUMENT hiyo inadaiwa kuwa na majina ya watu ambao wanatakiwa...
7 Reactions
278 Replies
82K Views
Kama wewe ni mpenzi wa simulizi kali sana za kijasusi na kipelelezi, kama unapenda simulizi zinazohusu michezo ya siasa na namna watu wanavyo iishi siasa kikatili. Kama wewe ni mpenzi wa simulizi...
1 Reactions
187 Replies
30K Views
Kuna wakati unaweza kusoma kitu ukabaki unajiuliza mambo mengi sana juu ya mwandishi wa kitu hicho. Aliwaza nini,alipata wapi hii stori,ana akili yenye uwezo gani hadi kuandika kitu hiki. Basi...
48 Reactions
419 Replies
66K Views
Katika kusoma soma riwaya za kisasa zaidi za karne hii nimetambua kuna waandishi wazuri na wenye hadithi tamu wanafanana namna ya kuandika simulizi zao, maudhui yote kwa ujumla. Kuna George Iron...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mwalimu mstaafu Eloise Parker anaishi peke yake huko Massachusetts, lakini ana mpangaji katika boma lake, Adam Clay, anayeishi maisha ya utulivu kama mfugaji nyuki. Siku moja, Eloise anaangukia...
13 Reactions
43 Replies
3K Views
Habari za kazi wakuu Kama kichwa kinavyosema, nisizunguke saana, mimi nimesoma stori nyingi tu za humu hasa zile TRUE STORY za baadhi ya member wenzetu. Je, kutoka katika stori hizo ulitamani...
4 Reactions
65 Replies
1K Views
Kaminsheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBRC limesitisha pambano la ngumi baina ya bondia Mtanzania Hassani Mwakinyo dhidi Pactick Allotey kutoka Ghana kutokana na promota kushindwa kukidhi...
3 Reactions
13 Replies
821 Views
Utangulizi Maisha matamu sana, haya ni maneno ambayo nisingeweza kuyatamka miaka ishirini iliyopita, sikujua cha maisha wala uzuri…, na si mimi tu wengi tulikuwa kwenye dhahama hizo… Nasogea...
3 Reactions
60 Replies
9K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki uzinduzi wa album ya Harmonize leo tarehe 25 Mei, 2024 katika ukumbi wa Mlimani City...
22 Reactions
341 Replies
21K Views
Wapi naweza kuipata hiyo kanda ya miaka ya 2000's inaitwa vituko vya Muna?
0 Reactions
2 Replies
284 Views
Mamlaka Kusini mwa California Alhamisi ilimkamata mwimbaji Sean Kingston, ambaye jina lake halisi ni Kisean Anderson, kwa makosa mengi ya ulaghai na wizi kwa hati ya kutoka Florida. Kukamatwa...
0 Reactions
4 Replies
752 Views
Mwimbaji nyota wa FM Academia, Malu Stonch amefariki dunia baada ya kuanguka ghafla jukwaani. Hali hiyo imetokea katika ukumbi wa Target Mbezi, Beach, Jumamosi usiku wakati mwimbaji huyo akiwa...
13 Reactions
65 Replies
5K Views
𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : KIMPA KISANGAMENI 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : FRANCO 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄 : SULE MKANDARAS "𝙆𝙞𝙣𝙙𝙤𝙠𝙞 𝙠𝙞𝙨𝙖𝙣𝙜𝙖𝙢𝙚𝙣𝙞 𝙢𝙖𝙢𝙖 𝙠𝙪𝙣𝙖 𝙕𝙪𝙡𝙪 𝙚𝙝" {Uchawi umejidhihirisha wenyewe angani mama" "....𝙔𝙤 𝙡𝙪𝙠𝙤𝙩𝙞𝙨𝙖 𝙢𝙪 𝙠𝙖𝙣𝙙𝙖 𝙠𝙖𝙠𝙬𝙞𝙯𝙞 𝙙𝙞𝙡𝙖...
0 Reactions
3 Replies
310 Views
Wakuu wa sanaa na burudani habari! Kwa wale wanaofuatilia mziki wa bongo watakuwa sio wageni kwa huyu mwanadada anayejiita Dipper Rato. Binafsi nilimfahamu Dipper zaidi ya miaka 15 iliyopita. Ila...
1 Reactions
10 Replies
445 Views
Wakuu shwari!! Ya kale ni dhahabu hii haipingwi wazee. Iko wazi kama mbuzi . Nyimbo za zamani hazijawahi kuchuja Wala kupoteza mvuto wake! Hii ni kwasababu watunzi wa kipindi hicho walitumia...
1 Reactions
25 Replies
1K Views
Naombeni ratiba ya clubs zipi zinapiga 80's, 90' and maybe 20's Hiphop --- Just OldSchool. J3 wapi? J4? J5? Alh? ... JPili? Hizi Amapiano siyo type zangu, zinaniboa sana.
1 Reactions
4 Replies
511 Views
Back
Top Bottom