Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Unadhani ni nini kinasababisha tatizo la dawa za kupunguza na kuongeza mwili (Kujenga Shape) na vipodozi vyenye madhara kuendelea kuwepo nchini licha ya madhara yake kujulikana? Unapendekeza hatua...
1 Reactions
2 Replies
421 Views
Na kuna sehemu nyingine ya Tanzania nasikia huko ndiko balaa, ila kwakuwa ana Nyota ya Kupendwa tunafichwa tu.
1 Reactions
4 Replies
214 Views
Naanza kwa kuwatukanizia wale wote walio ni laghai nilipokuwa mtoto mdogo kwa kuniambia eti : 1. Nimerithi dhambi ya asili kutoka kwa mtu anaitwa Adam. 2. Eti nimeletwa duniani kufanya...
23 Reactions
99 Replies
2K Views
Wafanyabiashara wa Moshi wenye malori wamegoma kuingiza malori barabarani baada ya sitomfahamu ya kodi iliopanda pasipo kushirikishwa Wakiongea kwa uchungu wamesema wao waliitwa wakajulishwa...
1 Reactions
3 Replies
345 Views
Watoto kutoka Mtwara, Singida, Nairobi n.k wakutwa katika mazingira yasiyo rafiki ya malazi huku wakikosa elimu dunia msikitini Kiluvya wilaya ya Kisarawe mkoa wa Pwani nchini Tanzania wakipatiwa...
23 Reactions
288 Replies
41K Views
Tunapofanya usanifu wa chanzo cha kuzalisha umeme tunakuwa na malengo, bwawa la JNHPP litakuwa na uwezo wa kuhifadhi maji ujazo wa bilioni 35, maji haya yanaweza kutumika kwa zaidi ya miaka miwili...
3 Reactions
3 Replies
725 Views
Akizungumzia maboresho ya Huduma ya Usafiri wa Mabasi Yaendayo Haraka “Mwendokasi”, Msajili wa Hazina, Nehemia Mchechu, leo Julai 15, 2024, amesema kuna changamoto kubwa ya wizi katika huduma hiyo...
7 Reactions
37 Replies
11K Views
Dalili zinaonesha kwamba, watumishi wa Umma walioanza kazi mwaka 2009 mwezi wanapanda daraja, hivyo watakuwa daraja moja na walioanza kazi miaka ya 2003. Hawa wote wana sifa moja. Kama ni kweli...
0 Reactions
4 Replies
361 Views
Habari Wakuu naomba tupeane Connection ya viwanda vidogo au vikubwa vinavyo zalisha bidhaa tofauti tofauti Kwa hapa Kwa hapa nyumbani Tanzania. Kwahyo unaweza kutaja jina la kiwanda na wapi...
1 Reactions
0 Replies
214 Views
Habari Wakuu naomba tupeane Connection ya viwanda vidogo au vikubwa vinavyo zalisha bidhaa tofauti tofauti Kwa hapa Kwa hapa nyumbani Tanzania. Kwahyo unaweza kutaja jina la kiwanda na wapi...
1 Reactions
0 Replies
173 Views
Rais Samia Suluhu Hassan amekataa daraja kuitwa jina lake, akisema ni vema liitwe Mama Maria, mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, ikiwa ni sehemu ya zawadi ya kazi ya kupigania uhuru wa...
1 Reactions
0 Replies
166 Views
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni imewahukumu adhabu ya kifungo cha maisha jela vijana watatu waliokuwa wanajishughulisha na uzalishaji na usambazaji wa pombe kali bandia. Ni...
12 Reactions
169 Replies
9K Views
Wengi tunaamini elimu ni ufunguo wa maisha, ikiwa na maana baada ya kuhitimu nitaajiriwa na maisha yataendelea. Ingawa sehemu kubwa, elimu imekuwa si fumbuzi katika kutatua kero za jamii; na hii...
1 Reactions
12 Replies
467 Views
Niliwahi kuishi UK na nikarudi nikiacha ndugu zangu kule sasa nawaza nawezaje kurudi kuwaona. TARATIBU GANI NIFWATE AU ZIFWATWE ILI NIWEZE PATA VISA NA VITU VINGINE ILI NIWEZE KWENDA KUONDA...
1 Reactions
0 Replies
127 Views
Wakuu nina swali?? LEO KATIKA PITA PITA ZANGU Nimekutana mtandao (Whatsapp status) na dogo mmoja tulikutana ofice moja hapa jijini wakat nasajili campuni yetu.Kwakua yeye alikua very educated...
9 Reactions
37 Replies
1K Views
Nakumbuka kipindi kanisa ni moja tu la katoliki mambo yalikuwa worse sana kiasi ambacho padre alionekana mungu. Kufunga ndoa tu ilikuwa issue sana mpaka utazungushwa weeee mpaka utakata tamaa...
4 Reactions
35 Replies
854 Views
Hii imekaaje wakuu, mbona km tumeoa wake za watu?
13 Reactions
98 Replies
13K Views
Kwa ambao hamfahamu kuna hii michezo ya wakina dada siku hizi wanamichezo yao ya vyombo .inakuwa design kama mpo watu kumi kila wiki anatoka mmoja ila mnachanga hela lakin kupokea ni vyombo au...
6 Reactions
12 Replies
771 Views
Kila mwaka shule za Serikali huagiza wanafunzi wapya wanaoanza kujiunga na shule hizo kwenda na majembe, makwanja, reki, mafagio nk kama sehemu ya mahitaji ya vifaa vya kukamilisha wanaporipoti...
6 Reactions
17 Replies
466 Views
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Selemani Jafo amefichua namna wauza nyama buchani wanavyocheza na mizani na kuwaibia wateja wao kwa kuwawekea vipimo visivyo sahihi. Alibainisha mbinu hizo...
3 Reactions
18 Replies
967 Views
Back
Top Bottom