Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Papa Francis amesema Jahananu haipo! Alipoulizwa wanaokufa na dhambi wanakwenda wapi, akajibu: Wanapotea angani na hakuna adhabu wanayopewa. Does Hell Exist? Pope Francis Says No In New Interview...
0 Reactions
157 Replies
27K Views
Hello! Binafsi Mimi ni mkristo (Charismatic Christian), mlokole. Hapa sizungumzii dini ipi au dhehebu lipi ni bora au sahihi mbele za Mungu. Nazungumzia watu bora katika jamii waluofanywa na...
15 Reactions
86 Replies
3K Views
Polisi wamesema wanamshikilia mwenye duka Hilo bila kumtaja Kwa madai ya sababu za kiuchunguzi. ==== A woman named Faraja Bembela, 28, a resident of Lusisi village in Tanzania and a grocery...
0 Reactions
5 Replies
486 Views
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu wakazi 11 wa Ifakara Morogoro kifungo cha miaka mitatu jela au kulipa faini ya shilingi milioni sita kwa kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mtoto huyu anaitwa Sabrina Issa Shaban anasoma shule ya msingi Msigani darasa la tatu jana majira ya saa 13:000hrs mchana alikuwa anatoka shule kurudi nyumbani lkn hajafika nyumbani kwao hadi...
1 Reactions
4 Replies
353 Views
Kuuliza si ujinga. Nakumbuka mara ya pili walitangaza kujenga barabara Ubungo Kimara. Watu waoga wakavunja mpaka leo hii ile njia haijajengwa. Sasa kuna hii njia ya kmr bonyokwa tunapenda sana...
0 Reactions
2 Replies
423 Views
Habari wakuu, Hii barabara kuanzia Segerea-Bonyokwa mpaka Kimara kwa sisi wakazi wa maeneo hayo ilikuwa kero kubwa sana sababu kutokana na ubovu wake hasa kipindi cha mvua. Hii barabara imekuwa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Barabara ya Kimara mwisho bonyokwa kwenda segerea ilkua chini ya TARURA ghafla tumeskia imechukuliwa na TANROADS ambao wanajenga barabara bila kulipa fidia kwenye maeneo ya watu ambapo barabara...
0 Reactions
1 Replies
509 Views
Nimeifuatilia hii kampuni kwa kweli inauza viwanja kwa bei rafiki na wanaruhusu kulipa kidogokidogo ila changamoto inakuja kwenye page yao wanayotumia ya instagram wamelimit coments kiasi wateja...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Mnamo tarehe 29 Aprili nilifika katika zahanati hiyo iliyopo Halmashauri ya Mbinga Kata ya Lusonga nikashangaa kuona wanawake wajawazito wanatozwa Tsh 500 wakidai wahudumu wa pale wakidai kwa...
1 Reactions
8 Replies
334 Views
Moja ya amri kumi ni kuabudu siku ya sabato, Siku takatifu iliyotengwa na Mungu kuturuhusu KUPUMZIKA kwa kuziweka kando shughuli zetu na tunashukuru kwa kujumuika pamoja kwenye shughuli za kuabudu...
3 Reactions
181 Replies
4K Views
Nimeona nchi nyingi za Bara la Ulaya, america, Australia na Asia zikifanya jitihada za kuvumbua teknolojia ambazo kimkakati zinakuwa muhimu kwa nchi na historia ya vizazi vijavyo, kwa sasa China...
1 Reactions
2 Replies
165 Views
Ninavyojua, watumishi wa secta binafsi huchangia mfuko (NSSSF) mara mbili ya watumishi wa umma (Serikali) 1. Namaanisha watumishi wa secta Binafsi huchangia asilimia 10% ya mshahara na iliyobaki...
1 Reactions
1 Replies
160 Views
Maisha Yana Badirika sana Kuna Muda unaweza kufikiri kwamba umefika mwisho Kila kitu kimeisha na hakuna tena TUMAINI la maisha. Lakini MUNGU anavyobadirisha maisha ya MTU ni kwamba ... Muda...
6 Reactions
2 Replies
330 Views
Maafisa wa Polisi nchini Kenya wameingia katika mitaa mbalimbali ili kukabiliana na mamia ya waandamanaji katikati mwa jiji la Nairobi. Waandamanaji hao wamedai lengo la maandamano hayo ni kutaka...
1 Reactions
10 Replies
449 Views
Kwa mnaojua au mnaofuga Paka me Nina swali moja Kwa mfano nyau kazaliwa leo halafu ukamtenga na mama yake je atajua umuhimu wa kufukia kinyesi chake?? Na kama atajua ni nini hiko kitachomwongoza?
3 Reactions
14 Replies
364 Views
Anonymous (7d57)
Jamani kuna tatizo kwenye mabucha ya nyama hasa mitaa ya Mbezi Beach, wanajifanya wanauza nyama bei rahisi kumbe kwa kila kilo wanapunguza gram 200. Wanaohusika tunaomba mtuokoe, sina details...
6 Reactions
39 Replies
2K Views
Kwa mawazo yangu kati ya walimu wakuu ambao wanahitaji nishani za kitaifa ni Mwalimu mkuu wa zamani wa Ilboru. Huyu ndiyo alifanya Ilboru kuwa shule ambayo kwa miaka yote ni ya kipekee kwa kutoa...
8 Reactions
49 Replies
3K Views
Wakuu naomba kitabu kinachoitwa THE ANIMAL FARM
2 Reactions
3 Replies
228 Views
Haamini Kama Kuna Siku ya Kiama Ukijiona wewe ni kiongozi, na unaona watu unaowaongoza wanalalamikia uvunjifu wa Katiba, kanuni, miongozo, na taratibu ambazo kwa viapo vyako na ahadi yako kwa CCM...
1 Reactions
20 Replies
570 Views
Back
Top Bottom