Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Swalama ndugu zanguni? Mpaka sasa zoezi la sensa linaendelea huku likisuasua, lakini msikate tamaa muda bado upo wa kurekebisha kasoro zilizopo. Back to the topic, mimi ni mwanaume wa miaka 35...
24 Reactions
122 Replies
15K Views
Na Waandishi wetu Tunu Bashemela na Abrahamu Ntambara KAMATI ndogo ya Ulinzi na Usalama wa Waandishi wa Habari Mkoa wa Dar es Salaam imeazimia kuendelea kuwapa waandishi wa habari elimu ya namna...
0 Reactions
0 Replies
209 Views
Kijiji cha Mundindi kilichopo wilayani Ludewa kilipewa fidia ya Tshs 464 na kati ya hizo Tshs 400 milioni waliamua kununua hati fungani katika benki mojawapo nchini itayowapa gawio la Tshs 41 kila...
3 Reactions
6 Replies
572 Views
Hii ni ile hali ya kuweka dhana juu ya jambo fulani au mambo fulani, kwa lugha nyingine kudhania mambo pasipo uhalisia. Hii hali hutufanya tuishi katika ulimwengu ulio jaa uongo ndani yake,na...
1 Reactions
2 Replies
213 Views
Wakuu, Niliweka uzi majuzi wa shimo lililokuwa linazidi kuchimbika kutokana na bomba kuwa na hitilafu na hivyo kutiririsha maji na kufanya ardhi eneo hilo kubonyea kirahisi na kuharibika (zaidi...
0 Reactions
0 Replies
228 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ameitaka Wizara ya Nishati na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhakikisha mradi wa njia kuu ya kusafirisha umeme kutoka Tabora...
1 Reactions
5 Replies
231 Views
Hii picha nilipiga tarehe 08/03/2024 asubuhi Lindi - Tanzania. Hakika Tanzania ni nzuri Aiseee. Camera tu ndio unaniangusha sasa Mla Bata njoo huku
20 Reactions
63 Replies
2K Views
MREJESHO WA KIKAO CHA DHARURA KATI YA NHIF NA CHAMA CHA MADAKTARI TANZANIA- MAT Utangulizi, Tunapenda kuwafahamisha madaktari nchi nzima kuwa mnamo tarehe 10/07/2024 tulipokea barua ya mwaliko...
0 Reactions
0 Replies
362 Views
Barabara ya Dar es Salaam-Lindi imekatika eneo la somanga na kukata mawasilino kabisa kati ya Dar na Lindi hivyo hamna gari lolote la kwenda Lindi au Kwenda Dar. Kwasasa abilia na wote wenye...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Lindi iko mwambao wa pwani(Factor kubwa kwa ukuaji wa miji/mji), ina beach nzuri (biashara, utalii, uvuvii), ina makumbusho ya majengo ya kale ambayo pia ni utalii wa kihistoria, bado ina ardhi na...
30 Reactions
420 Replies
33K Views
Habari wana JF wenzangu, Hebu tujaribu kuliangalia suala hili, huenda hofu na wasiwasi juu ya hili jambo ikapungua miongoni mwetu. Karibuni.
0 Reactions
2 Replies
143 Views
Nimehudhuria ibada za Wasabato mara kadhaa. Mara zote nimeona msisitizo mkuu wa mahubiri yao ni kuhusu siku ya Sabato. Lakini pia niliona kuwa mahubiri yao kwa sehemu kubwa yanatoka kwenye vitabu...
6 Reactions
30 Replies
920 Views
Mahakama Kuu ya Tanzania, imemwachia huru mzee wa miaka 78 ambaye alihukumiwa kifungo cha maisha jela kwa madai ya kumbaka mtoto mwenye umri chini ya miaka 18 na kumwambukiza virusi vya Ukimwi...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Moja ya mambo yanayotisha sana katika maisha ni kufilisika. Ulikuwa na mali zako kidogo zilizokuwa zinakusaidia na kukupatia chochote, na ulikuwa na watu waliokuzunguka ambao uliwapa kazi na japo...
1 Reactions
0 Replies
299 Views
Hello habari, Mimi ni kijana niliezaliwa mnamo mwaka 1995 katika kanda ya kaskazini hapa nchini.Nimesoma shule mbalimbali hadi kufanikiwa kupata digrii ya kwanza katika chuo cha Taifa cha...
8 Reactions
48 Replies
4K Views
Anaitwa Nabii Jeremiah Jr toka Zambia ndie nabii mdogo kuliko wote kwa sasa mwenye upako akitenda miujiza
1 Reactions
8 Replies
414 Views
Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu ya kila asomae. Kuna mtihani mkubwa umewakumbuka wananchi wengi Leo unaosemekana kusababishwa na gari ya jeshi kuharibika na kipande cha barabara kufungwa kwa muda...
3 Reactions
41 Replies
2K Views
Mwenyezi Mungu anatufundisha kila Siku tu kuwa tusitegemee Wanadamu bali tumtegemee zaidi Yeye mtoa Ridhiki.
1 Reactions
0 Replies
214 Views
Ningekuwa raisi Samia, ningefuta leseni za kampuni zote zinazoleta usumbufu kwa wateja pasipokujali zimetoka nchi gani hapa duniani Wakuu kuna baadhi ya makampuni yanayoleta usumbufu kwa wateja...
0 Reactions
0 Replies
180 Views
Utafiti mpya unaeleza kuwa tabia ya kuweka akiba haitakuacha tu na pesa taslimu bali kunaweza kukusaidia kulala vizuri pia. - Kuhifadhi pesa kiasi kidogo tu mara kwa mara, kunaweza kuboresha afya...
6 Reactions
4 Replies
239 Views
Back
Top Bottom