Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Akifanyiwa mahojiano na kituo cha Habari cha Global TV Dkt Sule ameeleza masuala mbalimbali yanayohusu kupata mali kwa kutumia majini. Akifafanua kwa imani yake kuwa kupata mali kwa Majini si...
6 Reactions
219 Replies
12K Views
Kijana mmoja almaarufu kwa jina la SON mkazi wa Sengerema jijini Mwanza amekuwa gumzo kwa wakazi wa wilaya hiyo kwa kujifanya askari wa jeshi la polisi. Kijana huyo mwenye mtandao mkubwa wa...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Unafkiri kwa nini wanafunzi wanaolipiwa mikopo na Serikali kwenye vyuo vya Serikali wanazuiliwa kufanya mitihani ada ikichelewa, wakati ada inalipwa na Serikali? Kwamba hawaamini kama watalipwa?
2 Reactions
5 Replies
246 Views
Hawa jamaa historia inawahukumu sana, 60% ya wazungu wote wana depression ambayo imekuwa affected na historia ya hio race. History ya slave trade imeeathiri sana akili za current generation ya...
3 Reactions
13 Replies
540 Views
Hii nchi ina vituko sana, kumbe 5G ni mchongo tu[emoji23][emoji23][emoji23] Huku mitandao ya simu ikijitapa 5G kuenea nchi nzima, na nape akijitapa hivyo, ukweli ni kuwa hali sio hivyo Dar sehem...
3 Reactions
16 Replies
793 Views
Huu mjadala nimeutoa Facebook tuuchakate kwa mapana yake. Ni kwa nini taasisi za kanisa zinapotengeneza faida waumini hatuhusishwi na wala hatunufaiki na lolote? Ukondoo sasa basi, tunatumia...
10 Reactions
23 Replies
1K Views
Salama humu. Sijui ni lini hizi noti zilianza kutengenezwa na kuanza kutumika, naona ni muda mrefu sana umepita. Na ni muda sasa muafaka wa kupata noti mpya hasa hizi za tsh 1000 na 2000. Unajua...
1 Reactions
7 Replies
339 Views
Kabla ya yote tufahamu kuwa kinacho muua mtu si kiasi cha msukumo wa umeme (Voltage),bali kinacho fanya tukio la mauaji ni kiasi cha mtiririko wa umeme (Current). KIASI CHA UMEME WA TANESCO...
6 Reactions
6 Replies
2K Views
Ni igizo fulani hivi ila naendelea kufuatilia, bado sitaki kuamini.
4 Reactions
7 Replies
9K Views
UNYONYAJI NA UTAPELI WA MADHEHEBU YA DINI. Kwa Mkono wa, Robert Heriel. Angalizo; Makala hii inaweza isimfae kila mtu, hasa wale watu waliofunga fikra zao. Ikiwa wewe ni mmoja wao watu hao...
16 Reactions
65 Replies
7K Views
Sio kawaida huyu member kukaa kimya hivyo.....kulikoni? Jukwaa linazidi kukosa watu WA maana...
2 Reactions
0 Replies
175 Views
Nmekuwa nikiangalia mawazo mengi ya vijana humu ndani. Wanachukia wenye pesa... Wanachuki kali sana ambayo inasababishwa na Utapiamlo. Wengi wakiwa wadogo hawakupata chakula kizuri na wengine...
11 Reactions
46 Replies
5K Views
Habari za wakati huu wanajukwaa Naomba mnitoe ushamba na mtujuze kwa wale ambao hatufaham ni sababu zipi za kiufundi hupelekea matumizi ya kokoto katika ujenzi wa njia za reli.
0 Reactions
22 Replies
1K Views
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amesema Tanzania imeshika nafasi ya kwanza barani Afrika kwa kufanikiwa kusambaza umeme nchini kote kwa asilimia 80. Mhe...
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Huyu "alimtabiria" Mbowe kutokushinda uchaguzi kiti cha ubunge Jimbo la Hai 2020 na ikawa hivyo!
0 Reactions
7 Replies
295 Views
USAMBAZAJI WA UMEME VIJIJINI NDANI YA JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI KUANZA TAREHE 20.7.2024 Afisa wa REA Mkoani Mara ametoa taarifa kwamba usambazaji wa umeme kwenye vitongoji vyetu unaanza tarehe...
0 Reactions
2 Replies
243 Views
Hati za umiliki wa ardhi 1,134 zatolewa Sabasaba 2024 Wananchi wa Dar es Salaam, Dodoma na Pwani wafurika kupata hati zao. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imetumia fursa ya...
1 Reactions
1 Replies
336 Views
Na tukiamua kucheza 'Netball' hatutaki kusikia Kukohoa na Kupumua kwa juu na Sharti Kuu ni Kuvaa Bukta au Gauni.
0 Reactions
2 Replies
205 Views
Yaani hizi taasisi zinatoa huduma muhimu sana lakini huduma zao ni duni sana. Kati ya Taasisi hizi tatu, ipi ni ya hovyo zaidi?
0 Reactions
14 Replies
417 Views
Back
Top Bottom