Kuna kisa kimoja kilitokea marekani ambacho mama mmoja alijikuta mikononi mwapolisi baada ya kwenda kituoni kuanza kueleza kuwa eneo fulani kuna mwili wa mtu fulani nendeni mkautoe.
Lile jambo...
FAHAMU NAMNA YA KUZIMA MOTO WA SHOTI YA UMEME
Habari wadau,
Happy end of the month (January woyoooo),na happy new year kwa familia yooooote ya Home of Great Thinkers (HGT).
Baada ya salaam...
Pita pita mtaani yaani watu wamechoka sana hakuna cha maana maisha yao yamekuwa magumu. Nuru za watu zimepotea na kama watu wamejikatia tamaa.
Kweli ni nyimbo nzuri ila imekosea kuingia 2024
Watoto 3 kati ya 4 wanaishi katika nchi ambako upatikanaji wa chanjo ni mdogo na kusababisha milipuko ya magonjwa: WHO/UNICEF
Viwango vya chanjo za utotoni ulimwenguni vilikwama mwaka 2023 na...
Ukuaji wa Teknolojia ni Mzuri kama ukitumika vizuri. Kwa nini nimeleta hoja hii kwenu?
Unakuta wazazi wote wanachart karibu siku nzima watoto wanaolelewa humo ndani wanabaki kuzunguka zunguka tu...
Habari wanJF.
Hivi huwa najiuliza TBC ni ya Serikali au ni ya chama Fulani, mbona huwa wanazungumzia habari za chama kimoja tu kwani vyama vingine havina haki kutangazwa? Kama ni hivyo vyama...
Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Kihistoria mji wa Yerusalemu haukuwa chaguo la Mungu wetu
Jeriko ndiyo mji maalumu Mtakatifu uliokuwa chaguo la Mungu kuwa makao makuu ya...
Baada ya tukio la kule U.S kumhusu mzee Trump, naomba kujua juu ya hawa wanaotajwatajwa kwa jina la "Secret Service". Huwa ni watu gani hawa, na majukumu yao ni yapi. Je, hapa kwetu Tanzania, wapo?
Kwa sasa naamini ili wasionekane hawausiki na yanayotokea TCRA waliondoa account yao.
Ukweli mtandao X kuna viongozi wanaogopa kuwa na account au kama wanazo basi sio zao.
Na lingine kama TCRA...
Makanisa mengine kama Lutheran na Anglican divai Huwa watu wanashiriki lkn Kwa catholic Huwa wanakunywa wenyewe tena wanazinywea kitimito kabisa kwenye makazi yao
Ni usafiri tulivu, salama na wa uhakika sana, muonekano wa mandhari nzuri sana za misitu, milima na mabonde njiani ni burudani tosha, ukiachilia mbali huduma murua ndani ya treni, mazingira bora...
Kwa wale Matomaso (Wabishi wa Kuelewa daima) mkitaka kuliona hili tafadhali tafuteni Clip ya Msigwa alipokuwa akijiunga rasmi na CCM pale Ikulu/CCM Lumumba na zile Hafla mbili za nyuma za Wanawake...
Tangu Mwafrika alipomjua Mungu hakuna mtoa huduma za kiroho aliejiita NABII hadi ilipofika miaka ya 2010 hadi sasa.
Kwa hiyo kwa miaka yoote hio tangu wa-missionaries walipoukaribisha ukristo...
Ruto anapata wakati mgumu wakenya wamepanga tena maandamano siku ya Jumanne ambayo tarehe 16 mwezi huu.
Lengo ni kuondoka madarakani Ruto si vingine hata abadilishe nini?
Kila hatua unayopiga kwenye maisha ipime kwa kuangalia ulikotoka. jiulize jana na juzi nilikuwa wapi leo niko wapi, majibu yake yatakupa taswira kama unapiga hatua au unarudi nyuma.
Wapo wengi...
Miaka ya 2004 hadi 2006 nilikuwa nikipita mara kwa mara Zambia kuelekea South Africa. Nilikuwa nikibadilisha shilingi yetu kwa kwacha ya Zambia napata hela nyingi sana za Kizambia.
Infact enzi...
She is a woman!
She is black!
She comes from poorest country!
She is from Africa!
What does she think she is, to talk to me?
Does she know any thing about war?
......................
Ongezea na...
Serikali kupitia Wizara ya Habari na Mawasiliano imetoa ufafanuzi juu ya ujio wa Starlink ikidai kuwa haijakataa ujio wao bali inasubiri kampuni ya Starlink itimize masharti yaliyowekwa
Ni salamu za Christmas kutoka Kwa nabii Dominic kiboko ya wachawi wa kanisa la CGC hapa buza Kwa lulenge kuelekea mwisho wa mwaka katika mkesha wa mwaka mpya ambapo Ng'ombe wasio na idadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.