Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

"Seven Keys of Creation" ni dhana inayopatikana mara nyingi katika mafundisho ya kimetafiziki, kiroho, au ya siri. Ingawa tafsiri zinaweza kutofautiana kulingana na mila au chanzo, funguo hizi kwa...
1 Reactions
2 Replies
93 Views
Umoja wa Walimu wasio na ajira nchini Tanzania (NETO), umemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hassan na Serikali, kuwasaidia Walimu hao kupata ajira na kuweka usimamizi...
2 Reactions
9 Replies
992 Views
Kama utahitaji kupinga hili basi wewe ni mbishi tu tangu kuzaliwa. Ukabila nchi hii upo nje nje kabisa ni rahisi sana kukuta watu wa kabila moja wako zaidi 96% kuliko makabila mengine ikiwa tu...
30 Reactions
135 Replies
4K Views
swala la karma ni kwamba Kila tendo tunalofanya lina matokeo yake. Ukimuumiza mtu leo, huenda ukasahau, lakini ulimwengu hautasahau. Maumivu uliyosababisha yanaweza kurudi kwako kwa njia...
15 Reactions
75 Replies
2K Views
Jamani mji wa kahama una lodge na Guests house nyingi Sana...kulikoni .. Ndo kusema ni mji wa kibiashara Sana kuliko mji wowote Kanda ya Ziwa... Na madada powa nao hawako nyuma ni wengi wa kutosha...
6 Reactions
63 Replies
2K Views
Niipi siri ya kutumia Energy drinks na Paracetamol, Kwa lengo la ku boost nguvu za kiume.....?? ↳Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana hili swala la vijana kutumia Energy drinks +...
0 Reactions
10 Replies
384 Views
Mkoa wa Katavi hii leo umezindua maadhimisho ya siku ya Wanawake ambayo ulimwenguni yatahitimishwa March 8, 2025 huku yakiangazia nyanja kuanzia mafanikio, changamoto na hata mustakabali wao, sio...
0 Reactions
1 Replies
159 Views
Kama kichwa cha habari kinavojieleza, Rais mwinyi alifariki tar 29-02-2024 na kalenda ya mwaka huu hamna hio tarehe. Je, kutakuwa na kumbukumbu ya kifo chake kama ilivo kawaida ya kukumbuka siku...
1 Reactions
8 Replies
210 Views
𝗛𝗶𝗶 𝗻𝗱𝗼 𝘀𝗮𝗮 𝗽𝗲𝗻𝗱𝘄𝗮 𝗱𝘂𝗻𝗶𝗮𝗻𝗶 𝗸𝘄𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟮𝟬𝟮𝟱 Kama utaniambia ni saa gani naweza tumia kwa mwaka 2025 basi hii TWS earphones smartwatch 2.01 ni saa ya kijanja ambayo yenye kukufanya uonekane smart...
1 Reactions
3 Replies
107 Views
Katika miaka ya hivi karibuni, matumizi ya vinywaji vya kuongeza nguvu (energy drinks) yameongezeka kwa kasi hapa nchini Tanzania, hasa miongoni mwa vijana. Ingawa vinywaji hivi vinatangazwa kama...
5 Reactions
14 Replies
383 Views
Nimekuwa naona mara kwa mara ikishafika saa6 kamili usiku (00:00) au ndani ya dakika kumi za mwanzo network ya Voda inazima kabisa! Inarudi baada ya nusu saa au pengine inarudi saa7! Kwanini...
1 Reactions
6 Replies
131 Views
Napenda sana vinywaji baridi lakini huwa inafika stage nasumbuliwa na tonsils. Kumeza mate kwa maumivu na taabu, Ubaya wa huu ugonjwa ukianza, mafua yanafuta, kikohozi nacho kinaanza, n.k.
0 Reactions
4 Replies
110 Views
2 Reactions
20 Replies
382 Views
Miongoni mwa mambo machache mazuri ambayo yaliwahi kufanywa na Magufuli basi kumteua Salvatory Mabeyo kuwa CDF. Hapana shaka utumishi wake jeshini na Taifa ni wa kutukuka. Moja ya jambo kubwa...
3 Reactions
11 Replies
286 Views
Ni kitu cha kwaida kuona kuwa mfumo wa kisheria wa nchi yoyote, mchakato wa haki na uwajibikaji ni msingi muhimu wa utawala bora. Hapo ndipo tunapozungumzia, nguvu na mamlaka ya Mkurugenzi wa...
0 Reactions
2 Replies
69 Views
Sijaona sarafu nyingine. Hata vitu kununua bei zinapangwa kuanzia 500. Labda viwili miatano au vitatu 1000. Ni ishara ya mfumuko wa bei?
2 Reactions
20 Replies
351 Views
Ndugu zangu wa JamiiForums, napenda kushiriki nanyi tukio la kushangaza lililotokea maishani mwangu, ambalo lilinionyesha wazi kuwa uchawi upo! Mpaka leo nikikumbuka usiku ule, mwili hunisisimka...
30 Reactions
232 Replies
7K Views
Wakuu, Hivi ni kwamba wanawake hawapendani au imekaaje hii. Huyu dada alienda saluni, ikatokea tu hana hela wakaamua kwenda kumnyoa na kumrekodi kabisa. Dkt. Gwajima D tunaomba uitazame hii
19 Reactions
142 Replies
4K Views
Wana JF, Leo Tunaweka Mezani Ukweli Usiosemwa! Muda mrefu tumeshuhudia nyumba yetu ikisimamiwa na mama mwenye kilemba chake. Yeye huja na tabasamu jepesi, lakini macho yake huangaza mbali, kana...
5 Reactions
12 Replies
451 Views
MFANYABIASHARA Khamis Luwonga (38), anayetuhumiwa kumuua mkewe Naomi Marijani na kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa, amedai haogopi kunyongwa hadi kufa wala adhabu nyingine yoyote...
57 Reactions
262 Replies
27K Views
Back
Top Bottom