Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Nitakuwa likizo ya Ramadhani. "Enyi mlio amini! Funga imeandikwa kwenu kama ilivyokuwa imeandikwa kwa wale waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha Allah." (Qur'ani, Surah Al-Baqarah, 2:183)
7 Reactions
19 Replies
256 Views
Kwenye dunia ya sasa, shetani anapambana sana kuwaweka watu mbali na Mungu. Na anatumia mbinu na mitindo ya maisha ya dunia ya sasa kufanikisha hilo: 1. Kuvutia watu kwa maisha ya kidunia na...
7 Reactions
10 Replies
716 Views
Msanii Steven Mengere kwenye Challenge ya Chai na Vitumbua kama kifungua kinywa ambacho Rais Samia Suluhu Hassan alikimwagia sifa akiwa Mkoani Tanga. Kwa hakika hapa inatosha kuonesha kuwa...
2 Reactions
16 Replies
402 Views
LC 300 and alike is not for everyone. Sugua sana goti msikitini na makanisani, omba sana Mungu utaishia kwenye Prado mchaga. Huku kwa ma LC 300 ni dunia nyingine, dunia ya maagano, lazima uwe na...
73 Reactions
342 Replies
13K Views
Huyo si mwingine bali ni C.S. Lewis C.S. Lewis, once a firm atheist, became one of the greatest Christian thinkers and writers of the 20th century. His journey from skepticism to faith was not...
5 Reactions
59 Replies
1K Views
Jamii zetu za kiafrika zimeweka mzigo mkubwa sana kwa mwanaume. Naomba kutambua mchango wenu na kuwapa maua yenu kama ishara ya shukrani. Shukrani za dhati ziwaendee; 🌹 Wanaume wanaoweka...
28 Reactions
93 Replies
2K Views
Kwa watu timamu wa akili na mwili watakubaliana na mimi kuwa BLACK PEOPLE wa Afrika kusini inabidi waache mihemko na wawaache wazungu waishi na waiendeleze hiyo nchi. Ukiangalia makazi mengi ya...
27 Reactions
143 Replies
2K Views
Badala ya kuotesha majani halafu tuzuie mbuzi wasile ni bora tusioteshe majani ili hao mbuzi wasipate pakula Badala ya kuweka mianya ya rushwa kupitia katiba halafu tuzuie viongozi wasile rushwa...
2 Reactions
9 Replies
179 Views
Mlioko Dar es Salaam hebu tafadhalini hebu mtujuze Sisi tulio mbali. Nasikia kuna Tukio la 'Kipuuzi' sana linaendelea huko.
1 Reactions
8 Replies
496 Views
Leo asubuhi nilichapisha uzi hapa kwenye jukwaa la siasa kuhusu Interview za walimu, wengi waliunga mkono hoja ya kuwa interview ziendelee lakini wachache waliendelea kuweka msimamo kua interview...
2 Reactions
1 Replies
172 Views
Mwalimu wa Madrasa, Musa Bashiru Musa (24) ambaye kipande cha picha jongefu (video) kilisambaa katika mitandao ya kijamii kikimuonyesha akiwapiga fimbo za mikononi wanafunzi wake, amepandishwa...
13 Reactions
204 Replies
3K Views
Nikushauri hapa Enyi Serikali hivi vifo visivyoeleweka vya Watanzania wenzetu huko Nje ya Nchi, Muwe mnavifatilia, kila Nafsi ya Mtanzania iwe yenye thamani Basi ikishindikana, tutumie Ujomba na...
14 Reactions
74 Replies
3K Views
Ndugu vijana wenzangu Tanzania, hongereni kwa majukumu ya kila siku. Mawaidha yangu muhimu kwenu leo, ni kuwaomba rafiki zangu wasomi wasaka ajira, kujitenga na uvivu lakini pia kuacha tabia ya...
6 Reactions
44 Replies
633 Views
Anonymous
Jiji la mwanza na wilaya ya ilemela hasa maeneo ya kuanzia mabatini mpaka nyakato hatuna hduma ya maji toka jana siku ya Alhamis tarehe 27/2/2925 mpaka leo Ijumaa ya tarehe 28/2/2025. Maji...
0 Reactions
0 Replies
44 Views
  • Redirect
Waombaji wapya wa leseni za udereva hawawezi kupata leseni, mfumo una renew leseni tu zilizopo hai kwa sasa. Je wenye kuhitaji kuongeza madaraja, kuondoa maradaja na kuhuisha madaraja wafanyeje...
0 Reactions
Replies
Views
" Jana Niliona toleo lilotamalaki sana kwenye Vyombo vya habari kuwa Wazazi wasiwapeleke Watoto wao Kusomea Ualimu kutokana na Maslahi Kiduchu amabyo mwalimu Anapata au Analipwa. Nikaenda mbali...
4 Reactions
45 Replies
1K Views
Vilaza ndo utawakuta gyms wanakuza vidali,shingo,mgongo,Makario,mapaja na wanafanya kegel Watu wenye I Q kubwa kuanzia 100+ utawakuta wanafanya squash, jogging , cycling,hiking,ping pong,chess na...
0 Reactions
0 Replies
68 Views
Serikali unajua dhahiri kuwa na kiwanja cha kimataifa ndani ya hifadhi ya Serengeti ni makosa makubwa na madhara yake ni makubwa kuliko faida ila kwa wachache wanangalia faida za kifedha na...
5 Reactions
39 Replies
1K Views
Back
Top Bottom