Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Habarini wadau, nimeona leo kitu cha kushtua kidogo, Shirika la bima la Taifa (NIC) wameingia barabarani wakishirikiana na Traffic kukagua bima za vyombo vya moto. Hili jambo linakaaje kwa watu...
1 Reactions
25 Replies
467 Views
Salaam Wakuu wa JamiiForums, Katika mji wa haki, kuna wenye viti vya dhahabu na kuna waliokalia mawe. Kuna wanaokula bila kupika, na kuna wanaopika bila kuonja. Katika soko la wazi, sauti za...
5 Reactions
1 Replies
150 Views
Mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru. Kweli ni neno la mungu. MUNGU haabudiwi kila mahali, yeye anautaratibu mmoja. Anachagua sehem ya kuabudiwa. Na wote watakaomuabudu hapo basi watampata na...
1 Reactions
2 Replies
107 Views
Ikiwa ni msimu wa sita kwa Taasisi ya Tulia Trust inayoongozwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya mjini Dkt. Tulia Akson kugawa bima na mahitaji muhimu kwa...
3 Reactions
31 Replies
442 Views
Yuko wapi ? Je bado ni mbunge ? Imebidi kuomba kumfahamu zaidi , maana tetesi zinaonyesha kwamba kuna ndugu yake alidakwa na sembe pale AIRPORT , je yeye mwenyewe hakuhusika ? Elimu yake sina haja...
1 Reactions
42 Replies
11K Views
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, amewaahidi wafanyabiashara 802 walioondolewa ili kupisha ujenzi wa Soko Kuu la Mwanza kuwa watapewa kipaumbele katika soko hilo ili waendelee na biashara zao...
0 Reactions
3 Replies
116 Views
Habari zenu wataalam, Tunafahamu Serikali ya jamhuli ya muungano wa Tanzania haitambui uraia pacha. Kwa kesi ya namna hii mali za raia aliebadili uraia mali zake utafishwa. Naomba wabobezi wa...
1 Reactions
3 Replies
149 Views
WAJUMBE wa Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi mkoa wa Kilimanjaro wamewataka wakandarasi wa ukarabati wa skimu ya umwagiliaji ya Ndungu na Kihurio kuongeza kasi ili wananchi waweze kunufaika...
1 Reactions
2 Replies
89 Views
Ukifanya tafiti utagundua tendo la ngono kidunia ufanyika sana kusini mwa jangwa la Sahara kuliko sehemu zingine za dunia. Hata ukifanya tafiti unagundua waafrika ndio wanaongoza kwa kuwa na...
11 Reactions
59 Replies
852 Views
Moyo wa binadamu ni kiungo cha ajabu, kilichozungukwa na siri za kustaajabisha ambazo bado hazijafichuliwa kikamilifu. Ingawa ni kidogo na kisichoonekana kwa nje, moyo una nguvu kubwa zaidi kuliko...
1 Reactions
0 Replies
100 Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma Shaban Millao mara baada ya kupokea barua ya kuhitajika kwa msaada wa mtoto Abuyasili Abdi Iddy mara moja ameacha kazi zote...
0 Reactions
1 Replies
85 Views
Kampeni ya Mtu ni Afya kwa sasa imeufikia mkoa wa Arusha na tarehe 27 Februari 2025 imeendelea katika Wilaya ya Longido mji wa Namanga na kata zake lengo ikiwa ni kuwafikia wakazi wa meeneo yote...
0 Reactions
1 Replies
68 Views
1. Unasababisha umasikini Mithali 6:9-11 9 Ewe mvivu, utalala hata lini? Utaondoka lini katika usingizi wako? 10 Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, Bado kukunja mikono upate usingizi! 11...
0 Reactions
3 Replies
107 Views
Maafisa maendeleo ya Jamii pamoja na Watendaji wa Serikali wilayani Nyang’hwale, mkoani Geita, wametakiwa kuendelea kutoa elimu kwa vijana kuhusu matumizi sahihi ya mikopo ya asilimia 10...
1 Reactions
3 Replies
146 Views
𝗖𝗵𝗶𝗻𝗮 𝗶𝗺𝗲𝗷𝗲𝗻𝗴𝗮 𝗻𝗱𝗲𝗴𝗲 𝘇𝗮 𝗻𝘂𝗰𝗹𝗲𝗮𝗿 𝗱𝗿𝗼𝗻𝗲𝘀 𝘇𝗶𝗻𝗮𝘇𝗼𝗿𝘂𝗸𝗮 𝗺𝗶𝗹𝗲𝗹𝗲 𝗯𝗶𝗹𝗮 𝗸𝘂𝗵𝗶𝘁𝗮𝗷𝗶 𝗸𝘂𝘁𝘂𝗮 𝗮𝗿𝗱𝗵𝗶𝗻𝗶 Kampuni ya Teknolojia ya Nishati mpya ya Betavolt iliyopo nchini China imezindua betri ndogo ya Nyuklia...
1 Reactions
10 Replies
312 Views
Kuna wakati unajiuliza mbona kama hatuko serious? Inawezekanaje viongozi wakawa wanafanya mambo ya kipuuzi na hawawajibishwi? Hili ni tatizo. Inasemekana Ulega aliwahi kuwaita akawapatanisha...
0 Reactions
1 Replies
135 Views
Naona Hati Miliki nyingi zina sharti la kuendeleza kiwanja ndani ya miezi 36, huu muda hautoshi, walau iwe miaka mitano, au ihesabiwe kwa asilimia ya maendelezo. Ni hayo tu
0 Reactions
3 Replies
139 Views
Nimetafakari sana juu ya jambo hili, katika mambo ambayo Watanzania bara wamekuwa wakimlalamikia Raisi Samia kwamba anafanya mambo fulani kama vile uraisi wake wa Jamhuri ya Muungamo wa Tanzania...
3 Reactions
44 Replies
665 Views
Top 10 African countries with the weakest currencies in Africa 2025 1)-São Tomé and Príncipe 🇸🇹 22,281.8 Dobra 2)-Sierra Leone 🇸🇱20,969.5 Sierra Leonean Leone 3)-Guinea 🇬🇳 8,626.3 Guinea Franc...
0 Reactions
2 Replies
282 Views
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa elimu na kusisitiza suala zima la utunzaji na usimamizi wa Mazingira katika soko kuu la Kariakoo litakalokuwa linafanya kazi...
0 Reactions
1 Replies
93 Views
Back
Top Bottom