Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Hii ni nchi moja isiyo na Dini ila watu wake wana Dini, Wapemba mkiwa huku bara hata muwe eneo lenye wakristo wengi ikifika kwarezma ukipakua chakula chako hakuna anaehangaika nawewe Zanzibar...
2 Reactions
9 Replies
175 Views
Wanafanya hivyo kwa mgongo wa kukusanya pesa kwaajili ya kuendesha chama, kitu ambacho kabla ya uchaguzi walipiga kelele sana kwamba ndani ya chama hicho kuna matumizi mabaya ya pesa za chama...
0 Reactions
54 Replies
626 Views
Ndugu zangu habari za muda huu, naomba kujuzwa kwa mabaye nafahamu MKOA wa MWANZA Halmashauri ya wilaya KWIMBA sehemu inaitwa ICHEJA. Hali ya hewa ya maeneo hayo ipoje? Ni umbali gani kufika...
3 Reactions
19 Replies
412 Views
Serikali imekuwa ikitangaza ajira lakini mara kwa mara matokeo hayalingani na ahadi. hii ni kwakada zote Hivi karibuni, tumeshuhudia uajiri wa walimu 6,000 badala ya 14,000 waliotarajiwa, bila...
2 Reactions
31 Replies
775 Views
Wanasema sanaa ni kila kitu hasa ukiwa msanii wa sanaa.. .. Sio usanii wa wizi na udanganyifu lakini Leo tunaangazia kwenye sanaa ya majani ya miti.. Unaweza kuona ni kwa kiasi gani tukiwekeza...
3 Reactions
63 Replies
448 Views
Nafsi tatu zinazofundishwa na madhehebu ya kikristo maana yake nini? Mantiki yake ni ipi? God is not a substance that can be divided into pieces. Yako madhehebu ya kikristo yanayofundisha...
1 Reactions
4 Replies
84 Views
  • Redirect
Anza Kwa kushukuru na toa sadaka Kwa muhitaji sahihi . Nb Hakikisha unafanya Kazi Kwa bidii bidii sio kutumia nguvu bali akili.
2 Reactions
Replies
Views
Uthibitishaji wa Taarifa ni jukumu la kila mmoja katika jamii ili kupambana na madhara ya Upotoshaji kwa kuhakikisha jamii inapata Taarifa Sahihi na kwa wakati. Unaweza kupata maarifa zaidi...
2 Reactions
5 Replies
128 Views
Wilaya ya Kilosa imeanzisha jitihada za kufufua uwanja wa ndege wa Tende uliopo katika wilaya hiyo mkoani Morogoro, ambao ulipoteza umaarufu wake kwa kipindi cha miaka 30 kutokana na miundombinu...
1 Reactions
5 Replies
200 Views
Wakuu mjini pagumu
15 Reactions
57 Replies
2K Views
Nataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa? Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu...
29 Reactions
225 Replies
8K Views
1. Shule za sekondari hasa kidato cha sita. Shule nyingi kwenye practical za physics, chemistry na Biology walimu wa masomo husika wanawachangisha wanafunzi pesa ili wawape madini mapema kabla ya...
3 Reactions
8 Replies
209 Views
MHADHARA (92)✍️ Ndoa nyingi za watanzania zimegeuka kuwa makampuni ya biashara. Siku hizi wasomi ni wengi lakini hawana ajira wala mitaji ya kuanzisha biashara, hivyo wamegeukia kutafuta mitaji...
2 Reactions
2 Replies
124 Views
Poop! Funika, funua... Ngoja niwafunulie! Wadau wa JF, poleni na pilika za maisha, njooni tusimuliane! Leo nimekuja na bango lenye swali moja: "Tunaishi au tunapona?" Maisha yetu ni kama bati la...
3 Reactions
3 Replies
99 Views
Katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGOs) ambayo huadhimishwa kila 27,Februari, mjadala kuhusu hali inayokabili sekta ya AZAKI imekuwa gumzo hasa kutokana...
0 Reactions
1 Replies
60 Views
All in All ukata ni wa moto sanaa tena ukiongezea na hili jua kali hivi unachomeka kisawa sawa hadi unaanza kunukia kama ndafu. Ila tushazoea Uafrika wetu huu, mapambano yanaendelea hadi hio 31st...
11 Reactions
64 Replies
695 Views
  • Redirect
Mbongo kwa ubunifu wa uharibifu au fursa humuwezi naona Pana platforms kibao wabongo wameanzisha zenye mfumo wa kuperform task za kuangalia video ili ulipwe kama ilivyokuwa lbl huku wakishawishiwa...
0 Reactions
Replies
Views
Habari zenu wana jamii forum. Pili poleni kwa msiba wa kitaifa. Nimekuja kwenu kuiongelea ishu ilotokea juzikati kama kichwa cha habari kinavosomeka. Bila ya shaka ishu hii inamuhusu afande sele...
2 Reactions
34 Replies
5K Views
Kwema wandugu? Yani unakuta kuna tukio la kitaifa nakuja kuona matokeo tu mitandaoni. Juzi palikuwa na suala la tuzo za wachekeshaji. Nakuja kuona tu watu wanalalamika yule jamaa hajustahili. Mara...
2 Reactions
14 Replies
247 Views
Back
Top Bottom