Nimestilka kuona gzt JamboLeo la Leo linalomilikiwa na Familia ya Rais Jakaya Kikwete linapinga Ripoti ya kamati Teule ya kumuchunguza Jairo, Luhanjo na CAG
Jana jioni Baada ya Kazi nilienda Kumtembelea Snangazi yangu ambaye anafanya Kazi TRA kitengo cha Human resource.
Tulijadiliana mambo mengi sana yakiwemo ya Maeneo tunayofanyia Kazi.
Alinipa...
naomba maoni yenu!!! kuna kampuni maarufu kwa uzalishaji wa vyandarua mkoni arusha, kampuni hiyo inawalipisha nyumba za kuishi wafanyakazi wake kwa gharama ambayo haifai hata kidogo.gharama ya...
Chama cha waigizaji Tanzania kimeandaa utaratibu mpya kwa waigizaji wote nchini. Chama hicho kimeandaa utaratibu kwa kila muigizaji kuwa na kitambulisho cha uigizaji ambacho kinatambulisha kazi...
Why Smart People Make Lousy Teams
By
Kimberly Weisul
MoneyWatch) It happens all too often: Put a bunch of really smart people in a room, tell them to solve a problem, and watch as they...
Serikali ilihusika kusababisha ajali ya basi la TAQWA na lori la AZAM
Namsikitikia sana dereva wa lori la Azam na msaidizi wake walivyopotezewa maisha yao kwa uzembe wa dereva wa Taqwa na...
Habari zenu wana JF? Sina hakika Kama ni matawi yote ya NBC au ni hapa tu. Nashangaa kuona watu wamekaa chini sakafuni wazee na akina mama kusubiri foleni iende, inamaana wameshindwa kununua hata...
WanaJF,
Abarikiwe yeyote mwenye nia au uwezo wa kuchangia kwa hali/mali/mawazo katika mambo ya msingi yenye maslahi kwa umma wa Tanzania - awe raia au mgeni, mfadhili wa nje au wa ndani, maskini...
Sipendi kwanini mnatuma jumbe zenu za matangazo kwenye simu yangu? This is nonsense of first class leo nimeishapokea SMS 4 zenye Jumbe za kukera. Nadhani wanakata hela pia, mambo ya aibu haya...
Nimepata hbr ya kuaminika ya ajali ya TAQWA BUS SERVICE kupata ajali mbaya jana 19/11/2011 ya kugongana uso kwa uso na gari la Bahresa aina ya Volvo New model maeneo ya boda ya Runzewe na hii boda...
kata ya sinza leo mabango ya kutangaza maeneo ya wazi yamewekwa barabara ya lion sinza kwa mjibu wa diwani wa sinza renatus pamba CDM amesema kuwa wataweka mabango maeneo yawazi yaliyovamiwa...
ZITTO KABWE AREJEA NCHINI KUTOKA INDIA
Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Mh. Zitto Kabwe.
Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Mh. Zitto Kabwe, aliyekuwa amelazwa hospitali nchini...
leo epic nation ilikuwa mjini mtwara ambapo wamehudhulia wananchi kupita kawaida kuliko hata raisi akija watu huwa hawajai kwa kiasi nilichoshuhudia leo na nia yao kubwa me sijaiona zaidi ya...
Habari Wana JF,
Kwanini hawa 88.4 huwa wanachakachua wimbo endapo ikiwa imemshirikisha msanii ambae mwenye beef nao? Je haki miliki ya mwenye wimbo ataidai wapi? Je kosota hawalifahamu hilo...
Tanzanian hip hop artists are riding a wave of popularity while drawing attention to politics and HIV/AIDS.
ARTICLE | 21 NOVEMBER 2011 - 11:57AM | BY CRAIG HALLIDAY
Trendsetters: Afrika...
Tanzania ni nzuri sana: Umeme upo lakini hauwashwi,
Mafuta yapo lakini hayauzwi,
Mafisadi wapo lakini hawafungwi,
Rais mzembe lakini hajiuzulu,
Mahakama inauzwa ili kujenga Hotel,
Mhindi anatoa...
Extra Terrestrials Visitors From Venus
..
Valiant Thor The Human Alien From Venus,
Washington D.C. V.I.P. During Late 50's
The Valiant Thor Landing 002741-57 Room 4D-717...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.