Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kwa wana Gwamba wote Bado Tunazikumbuka ahadi zetu? Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote Nitajitolea nafsi yangu kuondoa ujinga,magonjwa na...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
Sijui kama ni watu mnaoshaurika, ingawa nafahamu wazi kuwa tunakuwa pamoja katika majukwaa mbalimbali. Ndani ya nchi yetu kuna tishio la Al- Shababb. Ninachokiona hapa ni kuwa tishio...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Mimi binafsi naona siasa za ofisini kwa tanzania bado hazina mashiko kwa sababu mikutano ya hadhara inawafungua watu weng ambao hawajui kuhusu serikali ama jukumu la serikali kwao.Na vile vile...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hapo ni maeneo ya iyovi Dar -Mby Rd. Hapo wanaovataki kwa pamoja yakipanda mlima. Je likitokea lori lina shuka mlima itakuwaje?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katibu wa itikad na Uenez wa ccm bwana Nape Nnauye amesema suala la mageuz'KUJIVUA GAMBA' ndani ya CCM ni mchakato endelevu na wala si la siku moja kama watu wanavyodhani, sosi:HABARI LEO, MY...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WACHUNGAJI wanane wa makanisa ya Kipentekoste wanaotoka jamii ya wafugaji wa Kimasai wilayani Arumeru wamezihama nyumba zao na kwenda mafichoni wakihofia kukamatwa, kuvuliwa nguo, kutembezwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naona Mwakitwange anaanza kufungua mdahalo kwa kuwakaribisha wageni.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Viongozi wakuu wa serikali watishwa Na Mwandishi wetu 20th November 2011 Waziri wa Mambo ya Ndani, Shamsi Vuai Nahodha Viongozi wakuu wa Serikalini wametishwa kupitia waraka...
1 Reactions
92 Replies
8K Views
Kenyan doctors demand pay increase Photo/PHOEBE OKALL/NATION Kenya medical practitioners, pharmacists and dentists union (KMPDU) secretary general Dr Boniface...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Utafiti niliofanya kwa muda wa mwezi, nimebaini kuwa mabasi yanayosafiri safari ndefu, hayapewi kipaumbele kwenye MIZANI. Hivyo hupoteza muda mwingi, na matokeo yake baada ya hapo huenda mwendo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Leo asubuhi katika Jambo Tanzania TBC, Anne Kilango Malechela amesema kati vifungu ambavyo havitabadilika katika muswada wa katiba ni kile cha Rais kuunda tume ya Katiba na kuhalalisha hilo...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Hivi kwani katiba mpya ni ya m2 binafsi,chama au wananch sote? Basi mi vyama vya siasa vinavyojisifu kua ndowaanzilish wa mchakato huo wananiudh.
0 Reactions
1 Replies
914 Views
Mkazi wa Magomeni amehukumiwa kwenda jela miez mitatu kwa kosa la kuuza kuku waliokufa'VIBUDU'.Hukumu hiyo imetolewa mahakama ya Sokoine Drive Tuwe makini sana na vyakula tunavyokula na...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Jana mi nimejikakamua kwa huu uchumi mgumu nikaweka kisalio cha sh 2000 ili niwasiliane na jamaa zangu. Kama kawaida yetu tuliowengi baada ya maongez kuangalia salio nikakuta 1500 na ushee...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Date::10/28/2008 Waziri Mkuu Pinda akerwa na watu wanaoikosoa serikali Na Ally Sonda, Bomang'ombe Mwananchi WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, ameonekana kukerwa na kelele zinazopigwa na baadhi...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Taarifa zinazidi kutiririka juu ya Ufisadi Imagine.kampuni ya Pan African energy ilijirudishia zaidi ya dola milioni 40 bila eti serikali kujua.kampuni hii imesajiliwa mauritius na visiwa vya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
nimekaa nafikiria kusoma course hii wengine wasema kuwa IT ndio yalipa wengi wasema hiyo hiyo najua riziki anatoa mungu kikubwa nifahamu tu kwa undani sasa na baadaye
0 Reactions
0 Replies
2K Views
OUR ;- Phones- wireless! Coonking-fireless! Food-tasteless! Leaders-shameless! Dress-sleeveless! Relationships-meaningless! Atitude-careless! Wives-fearless! Husbands-mercyless...
0 Reactions
0 Replies
942 Views
Ni kweli kwamba kila mtu ana hisia na pia anajua hisia zitatuliaje,wapendwa kuna jambo hili linalonipa shida kipekee hasa ninapojaribu kulinganisha na maisha ya nchi hii,swala la ngono limekuwa ni...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nimeanza kuamini maneno yenu. Kikwete anaongea na wazee wa CCM Dar-es-salaam badala ya ku-address issue nzito za kitaifa anaanza kuzungumzia sarafu ya Euro mara bei ya Sukari which means vurugu...
2 Reactions
75 Replies
7K Views
Back
Top Bottom